WAJAMENI NAONA JF TUMEFANIKIWA ZOEZI LA UFISADI WA VITUO KWA UPANDE WA TERMINAL..SASA KUNA HUU UHUNI UNAOENDELEA HAPO OFISI ZA JIJI UKIONGOZWA NA MEYA WETU WA JIJI...KUGAWIA WATU VITUO..HII...
Kwa wale wasoma vitabu vya dini mnamkumbuka ibrahim
mnajua alitaka kumfanya nini mwanae issaka...mnajua nini kilitokea
basi yawezekana ndugu una matatizo mengi sana...yawezekana unamtikisiko wa...
Wakuu, Nasumbuliwa sana na hawa wadudu. naombeni ushauri wenu, nitumie dawa gani kkuwatokomeza? natumia DOOM, RUNGU mwanzo zilisaidia, lakini sasa hawa mbu nadhani wamevumbua ujuzi mwingine...
Suddenly your house lights go off. From your window you find that your neighbors still have their lights. So you go out of your house to check the Meter Box. But once you open the door, a knife...
Unapoingia kwenye geti la Hospitali ya Mount Meru, mkono wa kulia kuna Transfoma ya Tanesco, ambayo iko katika njia ya waenda kwa miguu.
Jana nikiwa natoka ofisini kwangu, niliona kwa mbele...
Today I passed by a building which has an ATM machine. There was an old man looking at me. Suddenly, he called me. He said he did not know how to read, so he gave me his ATM card and asked me to...
Inawezekana leo ni Eid El hajj kwa wengine? Nimeona Kanzu nyeupe na Baragashia zake nyingi sana na hijab kwa pembeni. Mi najua ni kesho, kulikoni? Mniwie radhi kama sitaeleweka kwa maana nzuri.
Waungwana naomba msaada wenu juu ya hili neno,
silielewi, lakini nimepata mtoto sasa ni mwezi wa nne umepita tangu alipozaliwa,
mama yake ananinyima unyumba kwa madai kuwa nitambemenda mtoto...
Yawezekana ufisadi ukawa ni hali tu ya kuzidiana mapato yasiyokuwa halali...watu wengi wako makazini majumbani...leohii dunia imebadilika wanaume wanaiba pesaza wake zao....ukiwa kama mdau uko...
Mimi pamoja na familia yangu
wife Nasriyah Saleh Al Nahdi
watoto 1. majjid Hamza Al Naamani (Kulwa)
2. Majjidah Hamza Al Naamani (Dota)
3. Heytham Hamza Al Naamani...
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kuwakumbusha kuwa HIJJA rasmi inaanza kesho katika mji wa MAKKAH.
Mahujaji watakuwa Minna na Muzdaliffa katika kufanikisha ibada yao hiyo adhim ya Hijja...
Jana Kuna dala dala moja ya rafiki wangu wa karibu imekamatwa na maofisa wa TRA ikiwa imebeba abiria aliyekua na box la juice za magendo zenye dhamani ya Tshs 50,000.
Gari hii inafanya safari zake...
To my boss Darry
I tire; I slave in the cubicle, bending all day
To build; my career and take the firm all the way
You seat, in that fancy desk, complaining all day
Over the phone, company phone...
Authentic and unique
You are unique. So think like it, act like it, and make the most of it.
Breakthroughs do not come from following the crowd. You are capable of truly great achievements...
Habarini wana ndugu.....,
habari zilizotufikia hivi punde lile sakata la kushushwa rubani wa airzahra
Kushushwa na mamlaka ya TCAA sasa limepata ufumbuzi..pamoja n kuomba AIRZAHARA waje kutueleza...
Wakuu, tuko kwenye sherehe mahali isiyo na kilevi, maana kuna pia Walokole.
Lakini kumetokea mzozo, maana waandaaji wameweka Kinywaji inaitwa Malta Guiness.KunaWalokole wanaosema kinywaji hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.