Birth of an Elephant live
Actual birth of a Elephant at Safari Park, Taro, Bali on 9-9-2009
http://www.youtube.com/watch?v=llIv20mScP8
Londolozi
http://www.youtube.com/watch?v=9uKRKumeEh4...
Mwanafunzi aliyesahauliwa na serikali afariki
Alitakiwa kwenda India tangu mwaka 2006
FAIDA Kyando (18), mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya...
Nimepata Msiba WanaJF
Sipo 18th November 2009, 04:40 PM
Rating: (1 votes - 5.00 average)
Ndugu wana JF leo mchana nimepata msiba wa Babu yangu Mzaa Mama anayeishi huko Arusha. Huu msiba mzito...
NILIJIITA WAZIRI MKUU KIDOGO WANIUE
Mkuu wa nchi moja alikwenda kutembelea hospitali ya wagonjwa wa akili ili kujua maendeleo na huduma wazipatazo, siku hiyo wendawazimu wenye kichaa kikali...
Fununu za mgomo c2c tv.
Wafanyikazi C2C TV production wanajiandaa kufanya mgomo baada ya bodi kuamua kutowalipa mishahara mwezi huu kwa kuandika barua inayosema kuwa tv haiilipi kampuni.
Pamoja...
Make CAG report on the UBT public
By Editor
26th November 2009
News that the government is now collecting 4m/- in revenue per day from the Ubungo Bus Terminal (UBT) compared to a paltry...
Baada ya kumaliza degree yake ya sheria mlimani Bwana Rwegoshora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya kuhudumia clients(wateja) .
Siku ya kwanza wakati ndio...
Jumamosi iliyopita, msafara wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ulilazimika kusimama njiani baada ya wakazi wa kijiji cha Mkunya wilayani Newala, mkoani Mtwara, kuziba njia wakiwa na mabango huku bango...
Sasa Jeshi litakuwaje na uhuru kama linategemea misaada kutoka nje ya afrika?
AU: Donors Slow in Paying Up for Somalia Security
Filed at 10:45 a.m. ET
NAIROBI, Kenya (AP) -- The African...
Kuntzkamera its a museum in St. Petersburg. Its a really strange place, was founded by Russian Tsar Peter the First. He collected different weird stuff all over the Russia to this museum...
Mwandishi Wetu
Ni mbio za kuteka wafuasi
MPASUKO uliotajwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa upo miongoni mwa wabunge wa CCM pekee, umeanza kusogea na kugawa si tu Baraza la Mawaziri na viongozi...
Ni ukusanyaji mapato kituo kikuu Ubungo
Latangaza kukusanya milioni 4/- kwa siku
Familia ya Kingunge ilidai kupata mil. 1.5/-
Mbunge wa Kuteuliwa, Kingunge Ngombale-Mwiru.
Makusanyo ya...
Alalamika kubadilishiwa Mtoto Aliyekufa
Wednesday, November 25, 2009 2:00 PM
MWANAMKE mmoja Fatuma Mohamedi [26] amewalalamikia manesi wa hospitali ya Mwananyamala kuwa wamembadilishia mtoto wake...
Mkapa na Moi 'wasahauliwa' kualikwa
Ndiyo walioasisi EAC mpya
JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) ilifanya maadhimisho ya kutimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, wiki iliyopita...
Wanajamii,
Sina uhakika kama kila mtu anakifuatilia kipindi kimoja kinachorushwa na TBC1 (Jerry Muro) kuhusu hali halisi ya usafiri wa Reli Tanzania haswa kati ya DSM na Kigoma.
Kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.