Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jamani naomba nijulishwe ni nani hao wanahisa wakubwa wa precision airways
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
31 Replies
41K Views
Wadau, ningependa kufahamu ni utatuzi upi umefikiwa na Askofu mkuu wa kanisa la Kilutheri dhidi ya mgogoro ule wa Dayosisi ya Pare ambapo wenyewe wale wa Upareni walitaka waundiwe dayosisi yao n...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Bia ya Kili ilizindua tangazo lake lipya wikendi hii, shooti ikianza pale Trinity bar na mnaji moja Tangazo hilo wanaloliita “Fikisha Tanzania Katika Hatua ya Juu Zaidi” linafanyika katika mikoa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau, finally wababe wanaopishana kila wakati katika kilele cha PREMIER league wanakutaka wik end hii…. Je! Nani atacheka n nani kununa unahisi? Naomba maoni yenu… NB Remember, yeyote...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama kuna kitu napenda kufanya katika maisha yangu ni kutia watu moyo, nafurahia sana kufanya jambo hili. Hakuna tukio naweza kusema huwa linanipa furaha kama kumwona mwanadamu anabadilika kutoka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kutokana na kushamiri kwa Ufisadi Tanzania, nimependa kuanzisha hii thread, kusudi watu tubadilishe muelekeo. Kumbuka mabadiliko yanaanza na wewe, sio yule au serikali! Hivyo ningependa tujiulize...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hapa tushasikia maneno ya mawaziri (akiwemo waziri Khatibu) kuwa hakuna mkataba wowote unaoonesha nchi hizi kuwa zimeunganishwa kisheria.Kwa maana hiyo iko wazi kabisa kuwa muungano huu ni haramu...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Wiki ya kusulubiana Dodoma Na Mashaka Mgeta 2nd November 2009 Joto la Richmond lapanda hadi asilimia mia Kamati ya Mzee Mwinyi ana kwa ana na wabunge Takukuru waendelea kuwawinda wabunge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MBUNGE WA RUANGWA KWA TIKETI YA CCM MH. SIGFRID NG'ITU (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA TAASISI YA MIFUPA YA HOSPITALI YA MUHIMBILI (MOI) ALIKOKUWA AMELAZWA TOKA SEPTEMBA 14...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Imengundulika kuwa waamuzi wa mchezo uliochezwa jumamosi kati ya Simba na Yanga hawakuwa na njama za kuikandamiza timu yoyote, ila tatizo ni viwango duni vya waamuzi wa soka. Na tatizo hilo ni la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hilo tifu tifu sijui litaisha lini, maana mpaka kufikia kuondoleana mabango........
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rejea kutoka katika matangazo madogo madogo ya tarehe 27th october 2009 yenye kichwa cha matangazo kisemacho'' Je, unahitaji kupata kipato cha ziada?''. Sasa chukulia tayari umefungua biashara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau, nimeamua kuleta hili dukuduku ili minisaidie kutoa mawazo baada ya kuteseka sana wiki iliyopita nilivyokuwa pale mkoani Dodoma kwa ajili ya mapumziko mafupi. Some tym huwa najiuliza, Hivyi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, moja ya matatizo makubwa ninayoyaona katika nchi hii ni jinsi ambavyo linapofika suala la kutumia haki zetu kidemokrasia kwa kupiga kura watu hawajiandikishi. Hii imebainika hata sasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Rais Kikwete anahusika moja kwa moja na mgawo wa umeme nchini Isango KWA wanafalsafa nilishasema hakuna neno la bahati mbaya. Kila neno hutolewa kwa kukusudia jambo fulani, huwezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Utafiti usio rasmi unaonesha kuwa Watanzania wengi huwa hawaendi kazini siku za Ijumaa isipokuwa kwa wale walioajiriwa katika sekta binafsi. Wale wanaokwenda kazini husemekana huenda kujionesha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
H o w D o We R e v e rs e t h e Br a i n Dr a i n ? Thank you for the pleasant introduction as well as for inviting me to share my thoughts on turning “brain drain” into...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Caged in the human zoo: The shocking story of the young pygmy warrior put on show in a monkey house - and how he fuelled Hitler's twisted beliefs Last updated at 1:10 AM on 31st October...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwanini shule za binafsi zanzibar hazirusiwi kufanya mitihani ya kitaifa ya darasa la saba na form 2? Au kiwango cha elimu cha shule za binafsi kiko chini kuweza kuifanya hiyo mitihani? Je hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom