Bosi wako anapokuambia kuwa hana uhakika wa kulipa mishahara kwa miezi iliyobaki kukamilisha mwaka, labda mpaka mwaka kesho, haiathiri utendaji wako wa kazi wa wafanyakazi?
Mimi mpaka sasa hivi nasubiri matokeo rasmi ya serikali za mitaa kwa nchi nzima. Nasikia tu chama tawala kimeshinda kwa kishindo ila hakuna data za Tanzania nzima.
Wizara inayohusika naona iko...
Tumekuwa wepesi wa kulalama kuhusiana na mustakabali wa taifa letu lakini "watawala" ni kama hawaelewi lugha tunayozungumza au wanabeza tunayolalamikia.
Kipi kifanyike kutunusuru na maangamizi...
Juzi hapa seif khatib alihojiwa na kusema kuwa yeye hajauonapo waraka wa Mungano alichokiona yeye ni picha za wasisi wakikabidhiana waraka huo, cha kujiuliza leo inakuwaje wazi huyo huyo anawambia...
Wachangiaji mbalimbali walitoa ushauri kuwa CHADEMA ihame kutoka www.chadema.net iwe na domain name yenye jina la kitanzania. Naona wamekubali ushauri huo na sasa wanapatikana kwenye...
Wakuu habari za hapa jamvini?huu ni mtizamo wangu na ningependa niwashirikishe wakuu pia. Serikali ya JK mpaka sasa imeshaharibu mambo mengi tukianzia na hili la richmond..na kutokana na unafiki...
Desk jobs could raise the risk of prostate cancer
Last updated at 8:50 AM on 29th October 2009
Men who have desk jobs are more likely to develop prostate cancer, research suggests...
Kila mara humu ndani kunakuwa na hoja mbalimbali zinazohusu mustakabali wa nchi yetu. lakini katuni hii ya Masudi, al maarufu Kipanya ndiyo imemaliza kila kitu kuhusu utanzania wetu.
juzi...
2009-10-29 08:39:00
Govt to fund presidential contestants in 2010 raceBy Damas Kanyabwoya, Dodoma
THE CITIZEN
The government has decided to partly finance expenses of presidential candidates in...
Wakati sakata la watoto wa vigogo likiendelea kutafutiwa ufumbuzi baadhi ya mashirika mbali yameendelea kuwajibika katika hili na kutia simanzi kwa jinsi hali ya kung'ang'ania watoto wa vigogo...
Mwanamke mmoja (jina kapuni) amefika temeke hospitali jana na kudai kuwa mjamzito, na baada ya muda kidogo akampigia simu mme wake kuwa amejifungua mtoto, lakini daktari wake amemwamia kuwa mtoto...
kuna wakati nahisi kama hii nchi haina vipaumbele na viongozi wetu wapo kiubinafsi zaidi, kwanini mienendo yetu au shughuli zetu haziendani na wakati tuliokuwa nao?
inafika hatua sasa inakuwa ni...
Bahi wala pumba za mahindi na Danson Kaijage, Bahi PAMOJA na juhudi za kutoa msaada wa chakula katika maeneo mbalimbali mkoani hapa, Wilaya ya Bahi bado inakabiliwa na uhaba mkubwa wa...
1.Vyama vya siasa havitatakiwa kuwa na uhusiano na vyama vilivyo nje ya nchi
2.Kila mgombea hatatakiwa kuwa na biashara
3. Kila chama kitatakiwa kueleza vyanzo vya mapato yake ktk uchaguzi...
There are things that only Ugandans do that you wont find elsewhere.
We are the only people who bend all the rules, as long as we dont break them. Its the only country where you...
Mods tafadhali najua hapa si mahali pake lakini naomba muiache kidogo walau isomwe na wengi maana jukwaa hili ndilo linapitiwa na wanachama wengi zaidi.
Kwa sasa niko schengen huku nafanya kakozi...
How long before our passports become worthless? :mad:
Tanzanian drug dealers overtake Nigerians in supplying illicit drugs to Botswana
by Reuben Pitse
29.10.2009 9:33:44 A
Tanzanian drug...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.