Sisi tumeambiwa maandamano haya ni hadi ofisi za msajili wa vyama, nyinyi polisi kwa nini mnatulazimisha kwenda kidongo chekundu? Alihoji mwandamanaji mmoja wakati anajibishana na afisa wa...
This blog is in violation of Blogger's Terms of Service and is open to authors only
http://mawowowo.blogspot.com/
If you are an author of this blog, tell us who you are! Sign in using your Account.
Wana jf,nilishangaa sana kusikia kuwa baadhi mawaziri wa kenya ni marufuku kuingia marekani iwapo hawatatekeleza suala la utawala bora na kutekeleza sera zilizopo.......mshangao wangu ulikuja...
Jana nilikuwa naangalia kipindi cha Runinga cha ITV cha usalama barabarani ambapo walikuwa wanahojiwa abiria na madereva kuhusu speed za mabasi. Baadhi ya abiria waliohojiwa walikuwa wanakubaliana...
Na hii `meter tuliyofungiwa kwenye ID zetu ni nini tena nyie mods?
( angalia kwenye ID au Avatar yako, hii yenye rangi ya kijani na njano)
Au ni Speed Governer ya aina fulani?
`
Embu tujuzeni...
The online entry registration period for the DV-2011 Diversity Visa lottery is between noon, Eastern Daylight Time (EDT) (GMT-4), Friday, October 2, 2009, and noon, Eastern Standard Time (EST)...
Ndugu zangu,watz tumekuwa tukifurahia sana mabadiliko ya sayansi na teknolojia ikiwemo mabadiliko ya bidhaa mbalimbali bila kujua athari zake.Nasikia bidhaa nyingi zinazoletwa hapa kwetu...
Semina hiyo inashirikisha wajumbe toka wilaya za LUSHOTO,HAI,HANDENI,SIMANJIRO NA MANISPAA YA ARUSHA.Jumla ya wajumbe ni zaidi ya 120,ambao watalipwa Tsh 65000 kwa siku kwa siku 14.
Kama mjumbe...
Last Sunday nilikuwa natoka Tabora kuja Dar kwa usafiri wa ndege ya Precision Air.
Kero ya kwanza (ambayo ni ya muda mrefu) niliipata pale kwenye security check ambapo jamaa (Tanzania Airport...
Tanzania is to close down the Mbezi transit checkpoint by end of September as it is unable to adequately serve trucks destined for hinterland states.
According to the Tanzania Revenue Authority...
Nimepata email, kwenye official email yangu ambayo ni highly secured na sijui jamaa wameipata vipi, ila imeingia kama "SCAM". Ninachotaka kufanya ni kushare na watu na kuwatahadharisha kuwa japo...
Raisi Jk hivi karibuni amezindua Ubalozi wa Tanzania huko Marekani ambao umeigharimu serikali yetu 13.5 Bilioni ikiwemo Milioni 477 za kulitunza kwa mwaka.
Nchi yetu kwa sasa imekumbwa na janga...
Haki za wafanyakazi siku hizi hazipo kabisa.Nakumbuka nilipoanza kazi nilisaini mkatataba na serikali ambao hata hivyo ulivunjwa bila mimi mwenyewe kushirikishwa.Leo mfanyakazi hana haki...
Maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama kitaifa yanaanza leo huko mkoani mbeya.
Dar es salaam tumeianza wiki hiyo kwa foleni ndefu sana bararani, hasa sisi watumiaji wa njia ya ali hassan mwinyi...
Leading for Change 2009 Community Summit, this Saturday, 9/ 26, 11AM-1PM, at the Center of Families, 3333N-4st, Mpls 55412
Twin Cities Lost One of the Greatest Journalist:Swallehe Msuya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.