Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Saad Specialist Hospital Khobar City, K.S.A Tel#: +96638826666 When Calling; the answer machine will answer you then choose ext.# 3 Or Call the direct line for the charity program...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamaii nimepitia pitia kwenye internet niakakutana na kitu kinaitwa CIA fact book. NIkajaribu kutafuta information kuhusu nchi yangu Tanzania, kweli nilichokutana nacho huko hata mimi mwenyewe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zilizozagaa sehemu mbalimbali mchana huu zinasema Dk Edward Hosseh, bosi mkuu wa Takukuru amejiuzulu wadhifa wake. Wenye taarifa za uhakika watupashe.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
9/2/2009 Serikali yatishia kuzifuta taasisi zikiwemo za dini Na Salim Said SERIKALI inakusudia kuzifutia taasisi 100 za dini nchini, kutokana na kushindwa kutekeleza majukumu yao na kutoa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mi naomba mtusaidie jamani ,nimeona watu wanalalamika awajalipwa mishahara yao.mpaka leo...kuna marafiki zangu nao wanalalamika wacha...kuhusu mshahara tena makampuni makubwa na mashirika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu ni miongoni mwa wafanyakazi wanaojenga Hotel ya ghorofa 25 pale opposite na Peagot House. Wafanyakazi wote wanavaa Hard hat kama one of the PPE lakini hakuna hata mmoja mwenye Safety boot na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salim Said na Ummy Muya SHURA ya Maimamu Tanzania imezindua rasmi mwongozo wa pamoja kwa Waislaam kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Waraka huo, ambao...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Nionavyo mimi wakati fulani ni kama Menejimenti za Benki huwa zinapendelea wateja wao kulundikana kwenye foleni ndefu na kushinda ndani ya benki zao kama vile hawana kazi za kufanya. Utakuta benki...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wiki iliyopita Muungwana mmoja alikwenda Kutibiwa Bugando, Hospitali ya Rufaa Kanda ya Ziwa --- alipofika mapokezi akaambiwa hana appointmenta kwa hiyo hawezi kutibiwa vinginevyo alipe shilingi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wengi wanaamini hilo Discuss
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Siasa ni kilimo, Hii ilikuwa ni sera ya zamani sana ya kisiasa hapa Tanzania. Japo sikuhusika nyakati za sera hii enzi za mwalimu Nyerere, bado nafikiri kuwa ilikuwa sera nzuri. siasa za siku hizi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwandishi wa habari wa siku nyingi sana Mzee etu Mohamed Ali Karim , maarufu kama Mzee masomo wa huko zanzibar amefariki Duniya. Mzee huyu ni maarufu sana pale darajani ana duka lake la vitabu na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakati nasafiri kwenda ng'ambo niliacha kwenye account yangu sh. million 7 katika moja ya benki hapa nchini. Niliishi huko kwa muda wa miaka minne. Baada ya kurejea nilikuta account yangu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ALL CAPS emails lead to woman's firing Mon Aug 31, 2009 11:04PM EDT WHAT COULD BE MORE ANNOYING THAN THIS? MAYBE IF IT WAS...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF kuna jambo limekuwa likinisumbua sana kwa siku nyingi. Kila niendapo kanisani huwa najaribu kuangalia dada zetu wanavyovaa na huwa najiuuliza maswali mengi sana. Nashindwa kuelewa kama...
0 Reactions
67 Replies
12K Views
Kwa wale ndugu za ngu wachagga waliozoea kuwa Moshi kwao saa sita mchana biashara hiyo imesitishwa kwa muda kutokana na madereva wa mabsi waliokuwa katika mgomo kuamua sasa kuwa watiifu wa sheria...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati wahanga wa mabomu ya Mbagala wakiwa bado hawajasau vizuri yaliyowakumba siku za nyuma....mlipuko mwingine wa bomu ulitokea juzi na kusababisha tafrani ya aina yake kwa wakazi hao ambao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana Taifa wa Chama cha Mapinduzi (Uv-CCM) Hamad Yusuf Masauni, ameachishwa kazi katika Wizara ya Nishati na Madini. Hata hivyo, taarifa kutoka vyanzo vya habari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Assalamu alaykum. Kwa waislamu wanaoweza kutoa msaada wa tende ili tutoe kwa waislamu wenzetu wa wilaya ya Rufiji, kuanzia jaribu mpakani, Bungu, Kibiti, Ikwiriri, Nyamwage, Chumbe mpaka Muhoro...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Vipi refa anapoamua kukwatua? Napenda nami leo nichangie kidogo kile ambacho kinajiri hapa JF. Kwa muda mrefu sana, mambo ya siasa na dini ndio yamekuwa kama ajenda kuu za wadau humu ndani ya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom