Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
CNN) -- An 11-year-old California girl snatched from the street in front of her house in 1991 had two children with the man accused of taking her and was forced along with the children to live in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asalaam/Alaikum, Rehma na Amani ziwashukie Waislam wote popote walipo. Amin. Ndugu Waislam, Nimeona cd inayoonyesha mtu mmoja tena anae jiita Muislam anadai kuwa yeye ni...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Hata mimi nilikuwa nikiamini katika jambo hili, kwamba watu wenye uwezo mkubwa kiakili huwa na mafanikio katika maisha. Nilikuwa nikiamini hivyo kwa sababu nilikuwa nikijua kwamba ni wale wenye...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Hakuna kitu kinachovutia kama unapoenda dukani kununua kitu ukakuta kitu hicho ndio kile kile unachotaka wewe na ubora ni ule ule ulioutegemea kutokana na matangazo uliyoyaona yanayohusu bidhaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna mwana Jf nilijaribu kumtumia j'ment hiyo attachment ikagoma.Nilisahau kuwasiliana na watu wa IT. Sasa nimeivunja mara tatu najaribu nikishindwa mnipe ushauri tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I am having hard time sending this link...kama kuna mtu anajua how send me your email niweze ku fwd....oops nitamtumia my cuzin mwanakijiji....
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Pregnancy and the ever growing size of your belly do not mean that you cannot participate in a biking contest. Well there are special bikini contest held for pregnant women. Days have gone when...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kamata kamata ya mabasi yanayokwenda mikoani kwa kisingizio cha kuwa Chassis imeungwa sehemu ya nyuma mwishoni, Hii tumeona ikileta usumbufu kwa abiria ambao wameisha kata tiketi tayari kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimepitia vichwa vya habari vya magazeti yote asubuhi hii, yakiandika kuhusu alichosema Kardinali Pengo kule Mwanza wakati wa mazishi ya Askofu Mkuu Anthony Mayalla. Wakati magazeti mengi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
The Broken Woman Lying in a recovery room in a hospital in Riyadh is a woman paralyzed from the neck down. When asked what happened, she replies: “My husband came to me accompanied by a...
1 Reactions
0 Replies
885 Views
Wahenga walisema, kulea mimba si kazi bali kazi ni kulea mtoto. Ni dhahiri kabla ya kuutoa msemo huo walizingatia mambo kadha wa kadha yanayoizunguka jamii nzima kulingana na hali halisi ya maisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gonga Hapa kuangalia TV live Kwenye Kompyuta yako.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Things falling apart Do you know that Nairobi is now acting as the capital city of SIX countries. Kenya, Somalia, Sudan, Rwanda, Uganda and Tanzania. Uganda and Tanzania exchange rates are...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HOLDING BUS PROPRIETORS ACCOUNTABLE COULD REDUCE ROAD ACCIDENTS. In a nutshell, passenger transportation business should cease to be considered as one of the income generating activity for every...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani wana jamii naombeni msaada wenu kwa mnaojua hizi shule ziko sehemu gani mkoani morogoro.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Taarifa zinazoingia hivi punde ni kuwa Basi la SkyLink toka Mwanza kuja Dar limepinduka muda si Mrefu maeneo ya Gairo, likiwa limevuka kidogo eneo hilo. Mtoa habari anasema watu wengi wamefariki...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
TWO FRIENDS WERE WALKING THROUGH THE DESERT . DURING SOME POINT OF THE JOURNEY, THEY HAD AN ARGUMENT; AND ONE FRIEND SLAPPED THE OTHER ONE IN THE FACE THE ONE WHO GOT SLAPPED WAS HURT...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wateja wa Kawe Club, hasa wa nyama ya ng'ombe, kuna haja ya kuwa makini kama unajali afya yako. Hivi karibuni kumetokea cases zinazojirudia za watu kuugua matumbo vibaya sana baada ya kula...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Naomba kuuliza. Je, Mlemavu lazima awe ombaomba? Kila ninaposimama kwenye mataa za kuongozea magari kwenye barabara za Dar ninakuta walemavu wana omba wakigongagonga madirisha za magari na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
novelist Sebastian Faulks has sparked muslim outrage by branding the KORAN"the rantings of a schizophrenic" he continues to say the words of Prophet Mohammed were depressing and one...
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Back
Top Bottom