Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mambo ndiyo hayo tena....
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Wafanyakazi wa Azam iliyo jirani na Quality Plaza wamegoma
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jana kwenye kituo cha Runinga cha Chanel 10 walirusha habari ikionyesha uchafuzi wa mazingira wa hali ya juu ambapo kuna kiwanda kimoja kimeruhusu sumu kutiririka kwenye bonde la Mto Msimbazi na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
While other telecom companies are busy reducing costs and tarrifs TTCL seems busy to burden its customers with unnecessary cost elements. Case in point is that despite bidding and joining...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati nchi ilipata dhoruba ya ukame, tuliagiza majenereta, makampuni mengi yanatumia jenereta wakati umeme unakatika Pale DSM mjini kelele kila mtaaa; huu si ni uharibifu wa mazingira kwa maana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilimsikia Naibu Waziri wa Elimu Mh Mwantumu Mahiza akiongea na wanafunzi wa ualimu kule Songea (source TBC Taifa jana jioni). Aliulizwa kuhusu mishahara midogo wanayolipwa walimu. Alijibu kuwa...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Kero na karaha za nyumba za kupanga zimejidhirisha huko maeneo ya Mikocheni B baada ya mama mwenye nyumba kuvitoa vitu vyote vya mpangaji wake ambaye alikuwa safarini na kisha kuigeuza nyumba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Breaking news?
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Hivi mtu unapochangia mada hapa jamii forum ama mahara pengine popote , ama mtu unapoamua kujiunga na chama fulani cha siasa ama, unapongombea nafasi ya uongozi katika chama chochote , unafanya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Saturday, August 22, 2009 8:33 AM Baba mmoja wa nchini Marekani ambaye alikuwa akimfundisha mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 13 kuendesha gari, amefariki baada...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tume iliyoundwa na CCM kuchunguza mwenendo wa bunge sina imani nayo kabisa. Mjumbe Msekwa alibwagwa na kutolewa uspika na Samweli sitta hivyo kisasi chake atalipiza kwenye ripoti ya hiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajamani kutokana na hali ya mivutano katika mambo ya muungano ,kunaonekana kuna mivutano iliyowazi ambayo imefikia hadi viongozi wa juu wa serikali mbili zilizopo kurushiana maneno ya ubabe na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WATU watatu wamenusurika kifo baada ya kuanguka kutoka garini na kuangukia barabarani na kuponyeka kukanyagwa na magari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajemeni nawauliza hivi mshindi wa SCANIA ya bahati nasibu ya mwl nyerere ameshapatikana? mi nimeshinda plau hadi leo sijaliona!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu ninaleta jukwaani habari ambayo kama hujaisikia kutoka eneo la tukio ni lazima uwe na mashaka na uwezekano wa tukio husika. Leo kulikuwepo mkutano wa hadhara huko jimboni Busanda ambako...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
MWANAMKE mmoja wa Kijiji cha Mambegwa Msowelo Kilosa ,Morogoro anashikliwa na polisi Mkoani Morogoro, kwa tuhuma za kumuua mume wake kwa kumvuta sehemu za siri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
We all know that very few African countries are in the business of manufacturing arms of any kind save for South Africa. We are all net importers of military armaments we deploy in our conflicts...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mvuta Sigara maarufu wa aina ya Sportsman inayotengenezwa na Tanzania Cigarette Company (TCC), kama miezi miwili iloyopita nimekuwa na uzito kwenye kifua, pumzi kubana na kukohoa mara kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nawatakia wana jamii wote mfungo mwema.Mungu atupe nguvu tumalize salama.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
angalia maajabu haya hapa:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom