wakuu unajua kuna vitu hata mtu mdogo akiangalia anajua kama kuwa viongozi wetu wa nchi siyo wazalendo aliyekuwa mzalendo alikuwa Julius Kambarage Nyerere,Sokoine na wengine waliotanguli japo na...
Tuesday August 04, 2009
EAC anthem coming in November
AUSTIN BEYADI, 4th August 2009 @ 00:37
THE Speaker of the East African Legislative Assembly, Mr Abdirahin Abdi, has said that...
Kikwete ashauri Watanzania kununua matrekta badala magari ya anasa
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ametaja anasa za Watanzania kuwa moja ya mambo yanayofanya sekta ya kilimo kushindwa...
Wakuu nimepitia andiko takatifu na kukuta kumbe kila kiongozi anatoka kwa Mungu kwa hivyo aheshimiwe na kupendwa. Warumi 13: 1. Unasema 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu, kwa maana hakuna...
Wapi kwa wapi jamani Zanzibar wapo mbele sana ila matatizo ya Muungano ndio yameididimiza ,ona hawa baada ya kusikia kuwa ile sehemu ya aina yake ya kujipumzishia pale Mjini Unguja imekuwa kama...
Ndugu wananch...kwa wale walioachwa na wake/waume zao soln yaweza kupataikna muda si mrefu....kuna mswaada unatarajiwa kusambazwa makanisani kuruhusu iwapo mtu ataaachwa na mumewe ama mkewe kwa...
Habari nyeti zilizonifikia zinadokeza kuwa kutakuwa na mjadala motomoto wa ripoti juu ya Meremeta siku ya Jumapili kuanzia kama saa 1.30 za asubuhi kwenye StarTV... Hope u'll be there!
Hii, kama ingekuwa inafanyika Tanzania basi nafikiri HELSB wangerudishiwa hela zao nyingi na vyuo vikuu, badala ya kuendelea kukimbizana na wahamitimu kurudisha mikopo.
Jobless Graduate Sues...
Wakuu
mwanamuzi Ambwene Yesaya (AY) usiku wa kuamkia jana alinusurika kifo kufuatia mashabiki kuvamia katika guest alikokuwa amefikia katika wilaya ya karagwe mkoani kagera wakishinikza...
Umoja huu utaitwa Taxpayers Alliance.
Umoja huu utaangalia fwedha yote ya walipa kodi inatumikaje na itaomba ushirikiano wa karibu na kamati ya fwedha ya bunge.
Pia "Code of Conduct" na kanuni...
Kazi za Mbunge ni kutunga sheria na kuisimamia Serikali.Serikali ni mtekelezaji.Mahakama ni mfuatiliaji wa matumizi ya sheria zilizotungwa na Bunge.Kwa kuanziasha mfuko wa Jimbo,Wabunge...
Parliament questions and answers E-mail this to a friendPrintable versionEnter Constituent or MP Name
No items on list
Kumbe kweli jaamaaa yenu ni bubu bungeni
By Miniini Mlera
Canada
Legendary African hospitality can at times get excessive. A visit to Africa by a popular American leader invariably creates a storm of excitement among many Africans. The...
Jana jioni nilimuona Bwana Luhanjo akijaribu kumsafisha Rais Kikwete.There was compete lack of seriousness and committment.Yes,hawa ndio aina ya viongozi tulionao.Nilimsikiliza kwa makini...
Ajali, Ajali, Ajali!!!!!!!!
Tutakosaje kupata ajali kwa mwendo wa kasi wa magari Sam Nujoma? Hivi watu wote kasi kasi wanakimbilia wapi? Shoprite? Mwenge? Ubungo? Kichekesho kweli kweli...
Ushauri katika Mamlaka husika Kigamboni ni kuwa kuna TAXI zinapaki kwenye njia ya kutokea abiria kwenye Kivuko zinapaki njiani ambapo ni kero kwa abiria.Kama walivyofanya kwa Daladala kwa...
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani (WHO) ya mwaka 2005. Kazi husababisha maumivu na vifo kwa kiwango kikubwa kuliko matumizi ya madwa ya kulevya au ulevi wa pombe vikijumlishwa kwa...
Leo ni tarehe 30 July 2009,na hakuna dalili yeyote kwamba wafanyakazi wa serikali watapata mishahara yao.Mitaani tunasikia wafanyakazi wa serikali kuu wakiilalamikia serikali yao katika kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.