Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ametaka kunguru weusi au maarufu kama kunguru wa Zenji waangamizwe. Mimi binafsi ninamuunga mkono mkuu wa mkoa kwani kunguru hawa ni kero kweli kweli hasa kwenye ma...
Ni kwamba ile ni meli kweli, tofauti na wengine walivyodai kuwa ni boat
Sio ya mafuta ila ni ya mizigo inayopelekwa znz na ilikuwa inafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu na kilichotokea ni kwamba...
Wakuu,
Napata taarifa sasa hivi kuwa kuna meli ya mafuta ya Bakhresa inaungua moto karibu na Posta ya zamani, naambiwa imeshaungua zaidi ya nusu...
Kama kuna wenye kuwa karibu na eneo hilo pls...
It wouldn't happen to the Koran: Pope attacks Glasgow art gallery's invitation to vandalise a Bible
By Graham Grant
Last updated at 10:53 AM on 28th July 2009
Pope Benedict XVI believes the...
Lesbian couples cause run on Swedish sperm banks
Published: 23 Jul 09 13:06 CET
A shortage of healthy sperm and a spike in demand from lesbian couples has caused a backlog of artificial...
Katika gazeti la leo la Uhuru, maoni ya editor , wanazungumzia eti kwamba wasichana waliozaa wakiwa shuleni wasiruhusiwe kuendelea na masomo kwa sababu hawawezi kufanya vyote, yaani kulea watoto...
Jamani kwa taa rifa tu inmeiona kwa macho yangu meli inaungua hapa bandarini.inasemekana jamaa walikuwa wanaifanyia maintanance,ni ya mizigo.kwa jinsi ilivyochoka itakuwa ni ya kibongo tu,jina...
Wabongo tunajifanya WAJANJA SANA kumbe hatuna lolote, mladi wa maji wa serikali morogoro road na bagamoyo road 'BURE' WAKANDALASI WAJAMAA' WACHINA' serikali wamelipia kila kitu, wako watu...
Wanajamii,
Nina kaka yangu aliajiriwa na TRC tangu amalize chuo cha Reli miaka ya 1990 upande wa karakana kama fundi wa Engine za Treni. Sasa mwaka 2007 akiwa kitengo hicho hicho cha ufundi wizi...
Wana jf, kazi mbaya unayo ukiwa huna 'NZURI' kazi yeyote unayofanya sasa usiidharau hata kidogo hatakama inamapato madogo inakujengea heshima kubwa kutokana na hali ya sasa ya maisha ngumu.Kwa...
Kampuni 13 jijini Dar es Salaam zakiuka mkataba ya kufanya biasharaNa Zaina Malongo
KAMPUNI 13, jijini Dar es Salaam zimebainika kufanya biashara kinyume na taratibu za miktaba waliosaini na...
Hatuoni aibu loo!
Inasikitisha sana dunia ya leo kwa nchi kama Tanzania kuona na kusikia habari za baadhi ya watu kuwaua Albino kwa ajili ya kazi zao za kishirikina.
Mungu atuepushe!
Wakazi wa Tegeta eneo la wazo hill wamelalamika kwa ukosefu wa maji safi huku wakiishi mita chache tu kutoka lilipo tanki kubwa la dawasco. Jana nilikuwa maeneo ya huko, eneo maarufu kama...
Wazungu wezi wa ATM wamkataa mkalimani
na Happiness Katabazi
UPANDE wa mashitaka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, jana ulishindwa kuwasomea mashitaka raia wawili wa...
habari za mda wana jf wenzangu.
leo napenda pia kushea nanyi kwa mara nyingine mazungumzo yangu na baba yangu tuliyofanya kwa njia ya simu mara aliporejea nyumbani toka huku niliko alipokuwa...
Njia ya kuepukana na nightmare ni kulala bila ya nguo (kama ulivyo zaliwa)na sio tu inakuepusha na ndoto mbaya, pia inapelekea kukuzisha afya ya sehemu za siri kwa kuziacha kuwa free inapofika...
'Tafadhali Mungu, ibadilishe ngozi yangu niwe kama mzungu' nilikuwa nikiomba dua kila siku kabla ya kulala. Kwa kawaida mtu ungeona ni ndoto lakini kwangu imekuwa kweli kwani hivi sasa nimekuwa...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wananchi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa iliyofanyika huko Kaboya mkoani Kagera Jumamosi hii.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
charles mukuru on the move
Tanzania in Peril:
A Response to John Mashaka & Dr. Shayo
My fellow countrymen, as I start; I am aware that some of us hate the fact that our fellow Tanzanians, Mr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.