Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mzee wa red cars anajulikana hadi kwa mkulu wa kaya! Hicho ni kipande cha gazeti la Erick Shigogngo mzee wa global publishers wakati huo akitoa gazeti la The Bongo Sun.
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete na kuiba ua moja lenye thamani ya Sh. 5,000, mali ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MWANAMKE mmoja alijikuta yupo kwenye wakati mgumu baada kugundua kuwa amebadilishiwa mtoto wake aliyejifungua kutoka hospitali na kuondoka na mtoto sio wake. Chanzo cha habari kilisema kuwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
If possible send the following information concerning : · Tanzania, Dar Es Salaam Port · Trade volume: exports, and imports in tons (time series from 1995-200 à origin destination portsà cargo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naona wakati mkutano ukianza, Dr. Shein alikuwa interrupted na waandamanaji Wazimbabwe, waliopinga kitendo cha Tanzania kukaa kimya hali ni mwenyekiti wa AU. Mengi yataendelea kuwafikia. Baadae...
0 Reactions
147 Replies
23K Views
Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AM Mwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Ndugu Kama uko na TV yako sasa hivi Fungulia TBC1 wanaonyesha kipindi maalumu kuhusu Vita ya Kagera , uzuri ni kwamba picha nyingi zina rangi kidogo , nashangaa sana wakati huo watu walikuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
The disappearance of five Tanzanian youth footballers has prompted the Swedish Migration Board (Migrationsverket) to tighten entry requirements for non-European players in the Gothia Cup, the...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Sikum moja baada ya serikali kutoa taarifa za uwekezaji tata wa mgodi wa makaa ya mawe huku ikionekana kuna utata kumbeba rais mstaafu benyamini william mkapa ambaye kampuni yake ya ANBEM ilitajwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Leo nimekumbuka pesa tulizokuwa tunatumia tulipokuwa watoto wadogo, sisi tulikuwa tunaita hela. Kwa mfano: Hela tano (senti kumi) uliweza kununua andazi moja au pipi gololi sita. Hela kumi (senti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Eneo la tukio likiwa na mabaki ya tindikali na alama za adamu Friday, July 24, 2009 11:46 AM Mwanaume mmoja nchini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana ndugu wapendwa katika bwana nimependa kuwapa moyo watanzania hususani serikali ya tanzania msijisumbue na makelele ya baadhi ya watu ...hii mahakama inayopigiwa kelele haitakuwa katika jina...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
I turned from black to white: How a skin disorder changed a man's identity and his place in the world By Luke Davis Last updated at 8:28 AM on 24th July 2009 As a five-year-old, every night...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu! Wilaya ya Ukerewe ni walaya ambayo iko ndani ya mkoa wa Mwanza, Wilaya hii kutokana na utajiri wake wa maliasili, Ziwa, Mistu Minene, Ardhi yenye rutuba na Vivutio vingi tu vya utalii...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Kwenu wana JF:: Leo hii ningependa kukumbushana umuhimu wa kinywa,vuvia kinywa chako na ubadili ulimwengu wako wa kiroho..,wapo watu weingi hawajui umuhimu wa kuchunga kinachotoka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Hii ni jinsi nionavyo mimi kuhusu watanzania na maisha yao ya kila siku. Nimewatazama watanzania wenzangu kama watu wanaoishi kwa matukio yaani leo wamesikia hili kabla...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Sisemi mimi kama Chereko bali nachereka na maneno ya Waziri Kapuya kama nilivyosoma kwenye habari Leo jumamosi iliyopita -eti Watanzania sio waaminifu na hawajui kiingereza ndio maana kwenye...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Wakuu, naleta kwenu mada hii kwa nia njema kabisa kuhusiana na wenzetu walioko nje ya Tanzania ambao ni member hapa JF. Nimekuwa nikisoma post zao na michango kadhaa kuhusiana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakati inajulikana kabisa kuwa ushuru wa forodha unasimamiwa na mamlaka ya mapato tanzania(TRA) ambayo iko chini ya serikali jamhurii ya muungano Tanzania,kuna habari mamlaka hiyo inatoza ushuru...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, ninavyofaahamu mimi mitishamba ni dawa nzuri sana kama ukizijua na kujulia kizitumia. Mababu zetu ziliwasaidia sana kabla ya kuja za kizungu na feki za kichina ambazo zingine ndio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom