Wakuu hebu nisaadieni kwa hichi kisa kilichompata rafiki yangu alipokwenda ubalozi wa marekani.
Leo 15/07/09 kati ya saa 9:30AM-11AM asubuhi niliegesha gari langu nje ya ubalozi wa marekani...
Na Jabir Idrissa
WAZIRI Kiongozi wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, ametoa kali. Anasema haoni faida yoyote katika utaratibu wa maswali ya papo kwa papo ndani ya Baraza la Wawakilishi (BLW).
Kama...
hIVI KARIBUNI LIMEZUKA (kuanzishwa) GAZETI MOJA LIITWALO NIPE HABARI AMBALO LINATOAK DAR LAKN HABARI ZAKE NYINGI ZIMEELEMEA ZENJ. JEEE NDIO GAZETI LA KUELEKEA UCHAGUZI 2010 ZENJ?
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta, ametoa siri ya ujasiri alionao katika kukabiliana na vita dhidi ya ufisadi awapo kwenye kiti chake bungeni.
Sitta, alitoa kauli hiyo hivi...
INASEMEKANA NCHI NYINGI ZILIONDELEA KAMA jAPAN, DENMARK SEREKELI NA RAIA HUTUMIA GARI ZA BEI YA CHINI TOFAUTI NA TZ UTAONA MASHINGI, BMW , LAND CRUSER. KWNINI
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamepinga kauli ya Waziri wa Miundombinu, Dk. Shukuru Kawambwa, kwamba kampuni hiyo inaendesha shughuli zake vizuri.
Wamesema kauli hiyo ya Dk...
Utata wa mkataba wa Kampuni ya Karamagi wafikia kikomo
Na Ramadhan Semtawa
HATIMAYE serikali imemaliza utata wa mkataba wa Kampuni ya Tanzania International Container Service (Ticts), baada ya...
mIMI NI MSOMJAI MZURI WA GAZETI LA MWANAHALSI. LKN SIKU HIZI NIPO NJE YA TZ, SIAPTI KUSOMA MWANAHALIS. NAOMBA MWENYE SOFTCOPY YAHABRAI ZA 15/7/2009 ANITUMIE
Kwa muda mrefu nimekuwa nasikitishwa sana na uchakavu wa magari yanayosambaza saruji ya twiga jijini. magari mengi katika hayo yamekuwa yakishindwa kupanda kimlima cha njiapanda ya kawe kutokea...
Published: 15 Jul 09 16:47 CET
A cunning internet con artist posing as a love-struck woman from Ghana has succeeded in defrauding a number of Swedish men of hundreds of thousands of kronor...
BREAKING NEWS - Ndege Yaanguka Iran na Kuua 150
Wednesday, July 15, 2009 12:40 PM
Ndege ya shirika la ndege la Iran, Caspian Airlines imedondoka ikiwa safarini kuelekea nchini Armenia na...
Katika Toleo la Jumatano Julai 8-14 2009 katika Ukarasa wambele uliandikwa UDINI WATEKA BUNGE katika gazeti la MwanaHalisi.
Ndani ya habari hiyo ilisema" Tayari kunataarifa ya baadhi ya wabunge...
Mimi Chinese boy sometimes nafurahia kuishi kwa hawa jamaa lakini sometimes ni noma.Yaani Hi5 ni zaidi ya mwaka hatuwezi ipata hapa,youtube karibu mwaka...Ilipo banwa Hi5,watu wote wakajikita...
Umetenda jambo jema kama mkuu wa nchi kwa kutungozea majaji; nathubutu kusema hadharani kuwa ni uteuzi makini kwa waliostahiki.
Nimefurahishwa na ujasiri wako wa kutambua kada hii ya mahakama...
Taarifa za hivi punde kutoka Bukoba ni kuwa polisi wawili waliokuwa na tabia ya kuzizia wananchi na kuwatoa rushwa wamevamiwa na wananchi kisha kupigwa mithiri ya vibaka kabla ya kuokolewa na...
A form of Ebola virus has been detected in pigs for the first time, raising concerns it could mutate and threaten humans, scientists report.
Reston ebolavirus (Rebov) has only been seen in...
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kampuni ya ndege ya tanzania (ATCL)liko katika mchaakato wa kubadili jina na kuitwa AIRTANZANIA EXPRESS...akiongea na mtoa chanzo amesema wameambiwa tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.