Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
  • Closed
Baada ya Sakina Datoo kuondolewa katika uongozi wa IPP media na Msaki kujiuzulu, mhariri wa makala Loy Nabeta naye ameandika barua ya kujiuzulu wiki iliyopita. Je kulikoni IPP media
0 Reactions
73 Replies
12K Views
Wabunge walivalia njuga sana suala la kuanza utekelezaji wa miradi mingine ya barabara kama ule wa Dumila-Kilosa na Korogwe -Handeni na kuacha miradi ambayo imekuwa kwenye ilani ya chama kuanzia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni katika harakati za kupambana na UKIMWI Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya simu za mkononi ya Celtel Tanzania, imetoa sh. milioni 40 kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, ikiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kova, aliliambia Ijumaa Wikienda juzi kwamba kitendo cha Mkenga kimemkwaza yeye kama kiongozi wa kanda ambayo koplo huyo anafanyia kazi, lakini pia ni aibu kwa jeshi la polisi. Kamanda huyo...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Nilikuta picha ya Rais wetu katika Blog ya Michuzi akiwa katika mkutano pamoja na Rais wa RHODESIA,ukiangalia utaona kuwa Rais wetu anajaribu kujiweka mbali na Mugabe, hii inatokana na waingilishi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu pamekuwa na mawazo kuwa baraza la mawaziri ni kubwa . Hii inatokana na katiba kumpa Rais uwezo wa kuamua kuwa na ukubwa gani wa baraza hilo. Ingekuwa vizuri, ikiwezekana (kabla ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, My wife wangu ni kama amewahi kutumia hizi cream, sasa sijui kama kuna solution kabla mambo hayajaanza kwenda Kombo! Naomba msaada wenu wadau. MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA)...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Nawasilisha hoja ya ajira ya magaidi na majasusi.ambazo nadhani ziko wazi Naposema magaidi na majasusi ninauhakia serikali yetu inaoa majasusi wakulinda utawala. serikali yetu ina majasusi wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
ndugu zangu, wakati wa kampeni za uchaguzi Jakaya Kikwete aliomba kura kwa wananchi wa Same Mashariki kwa ahadi kwamba atajenga barabara ya Mkomazi-Bendera-Kihurio-Ndugu-Gonja-Kisiwani-Same kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau kuna link hapo chini ambapo Obama ameweka wazi mishahara ya waajiriwa wa Ikulu yake. Nimeshaangaa kuona ni kitu public..wakati hapa kwetu ni siri kiasi na hatuna hakika kuna wafanyakazi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
nimejiunga na JF muda si mwingi uliopita naanza kugundua kuwa nimekuwa teja wa jamvi hili kila siku napenda kupitia na kusoma wakati mwingine na kuchangia mawazo hamuoni kwamba nimeanza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kama mjuavyo wikiend ilyopita maonyesho ya 'kimataifa' ya Sabasaba yalianza Dar na baadhi yetu nadhani tumebahatika kufika kule, pamoja na maana yake nzuri, maonyesho haya naona yana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa kama wananyakazi hawa wa TBC ni ukoo mmoja na kwanini wote wawepo kwenye taasisi moja? 1. Tiddo Mhando 2. Evans Mhando 3. Neema Mhando 4. Rehema Mhando
0 Reactions
29 Replies
11K Views
Alitabiri kifo cha kiongozi na mtu maaraufu nchini kutokea mwezi Juni Tayari wafuatao wametutoka: Kaimu Mufti Mkuu, Sheikh Suleiman Gorogosi Prof Haroub Othman Kabla yao alitangulia Mwana...
0 Reactions
54 Replies
14K Views
Hivi bado tuna ngojera mashuleni kwetu! maana nikuwa mkali sana (Naipenda sana) kulumbana na kufoka foka yaani ngojera group member ipo siku hizi mashuleni? just curious kama kuna mtu ana data...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
AMAZING OR WHAT Do you know that, it is in the American Costitution, That if The Sultanate of Oman's Sultan Makes a visit to the USA The President of The United States Him Self has to be at the...
0 Reactions
5 Replies
969 Views
Spika aokoa jahazi la serikali kuhusu hoja ya Mbunge Selelii Na Exuper Kachenje, Dar WIKI mbili baada ya Mbunge wa Nzega, Lucas Selelii (CCM), kuwasilisha hoja kuituhumu Wizara ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Niliamka usingizini leo muda wa saa 9 kasoro usiku nikasikia TBC kipindi fulani kinaishiria.Kuna fundi wa nguo alikuwa akihojiwa,kwa kweli nahitaji mawasiliano naye yeye moja kwa moja au kupitia...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kisanduku cheusi chapatikana Comoro Imeandikwa na Mwandishi wa BBC. Aina ya ndege iliyopata ajali. Maafisa wa Ufaransa wanasema waokoaji wamepata kinasa sauti cha ndege...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Michael Jackson’s death may trigger another wave of Jackson Mania. The first vestiges of this phenomenon have already appeared in Russia and Ukraine. The media of Ukraine’s Zaporozhskaya Region...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Back
Top Bottom