Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
“Hello there. I just wanted 2 let you know that please stay away from the beaches all around in the month of July. There is a prediction that there will be another tsunami hitting on July 22nd. It...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika jamii (makabila) nyingi hapa Tanzania watoto wanaozaliwa katika ndoa wanakuwa wa ukoo wa baba (Patrilineal system), na baba mzazi ndiye mwenye watoto. Lakini pia kuna jamii chache ambazo...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Uganda: Oil Reserves Rival Saudi Arabia 's, Says U.S. Expert Date Posted: Tuesday 02-Jun-2009 By Edris Kisambira Kampala - Uganda 's oil reserves could be as much as that of the Gulf...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nemeona thread ya :Akina dada na salon za kiume!! Je mnasemaje kuhusu akina KAKA kwenye SALON za KIKE? tena akina MAMA/DADA uzipenda sana SALO za aina hii, je kulikoni?????????
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tuanelekea wapi?? haki za wanyama zi wapi?? nalo hili tutalaumu wazungu??
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Katika siku za hivi karibuni kumezuka kasumba ya karibu shule zote zilizoko katika mikoa ya kanda ya ziwa kuagiza waganda kwa ajiliu ya kufundisha katika shule nyingi zinazoitwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani mimi sikumwelewa vizuri mh heshimiwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania Samweli sitta wakati akitoa rambi rambi za king of the pop marehemu Michael jackson ni kweli nakiri...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuna mtu aliniambia zamani kwamba Wahindi (wengi) hawawezi kukupatia chenji yako mtu mweusi (Mwafrika) baada ya kununua kitu dukani mwao kupitia mkono wao wa kulia. Niliambiwa sababu ni kwamba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Siyo siri tena kuwa Wabunge wetu wameungana kupinga ufisadi.Wabunge wa CCM ambao wameonyesha njia katika mapambano juu ya ufisadi ni Selelii,Ole Sendeke,Kilango n.k.Jamani tuwaunge mkono ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia summer njema wadau wote walioko ughaibuni. Hiki ni kipindi sasa cha kufurahia hali ya hewa kama uko TZ vile. Ukipita huko mitaani sasa barbecue kwa sana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimefurahishwa na jambo moja ambalo kidogo linaashiria mwelekeo mzuri katika elimu yetu hapa bongo, miaka mitano iliyopita nakumbuka pale kwenye kitongoji changu ungesikia watoto waliofaulu darasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa hili, nachukulia kuwa mtu yeyote aliyefanikwa kupata elimu ya sekondari na kuendelea ni MSOMI. Nashangazwa kuona kuwa wasomi wengi wa Afrika wanakumbatia utamaduni wa kimagharibi kwa nguvu...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Suala la waalimu kugoma sii jipia maskioni mwa watu wengi. Tulishuhudia mgomo wa waalimu Tanzania, na sasa waalimu Kenya nao wako kwenye mgomo. Miaka ya nyuma hatukuwahi kusikia waalimu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
inna lillahi wainna illaihi rajihunna marehemu profesa haroub othman miiraji profesa haroub othman, mmoja wa wahadhiri waandamizi wa chuo kikuu cha dar es salaam, amefariki dunia asubuhi hii...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kadri siku zinavosonga, Waafrika tunazidi kupoteza utamaduni wetu na historia pia. Nadhani ingekua ni jambo la hekima kuutunza utamaduni na historia yetu kwa ajili ya vizazi vijavyo. Wenzetu watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanaJF Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu mmoja ananiambia nyumba imeungua maeneo ya Magomeni Kagera pia inasadikiwa kuwa familia imeteketea na moto huo. Chanzo cha moto huo inasemekana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa Haroub Othman amefariki dunia leo alfajiri. Hizi ni taarifa nilizozipata kwenye TBC One. Kifo hiki ni pigo kubwa kwa wanasiasa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Amiri jeshi mkuu,mwenyekiti wa chama-that means mbunge yoyote atakaye ishutumu serikali anaweza fukuzwa uanachama then akapoteza ubunge,kinga ya kutoshtakiwa,............bonge la msululu wa mambo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
INNA LILAHI WAINNA ILAIHI RAJIHUNNA kwamba Kaimu Mufti Mkuu, Sheikh Suleiman Gorogosi amefariki dunia katika ajali ya gari akiwa safarini akitokea Mtwara kwenda Lindi. Kwa mujibu wa taarifa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
By Gatonye Gathura, Citizen Correspondent, Nairobi Scientists have found a way of eradicating HIV infection from the human body by "smoking" out the virus from its hideout cells. The new...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom