Salaam, shalom!!
Najaribu kuangalia tofauti kati ya shanga zinatumiiwa na Waganga, maasai, rozali na misaafu ,zinakuwa na mwonekano unaokaribiana Kwa karibu!!
Nini Hasa asili ya shanga, rozali...
Hii ni picha ya watu Wanafanyabiashara juu ya maji taka yanayosambaa eneo hilo la soko.
Kwa Hali hii tutapona milipuko ya magonjwa? Au tunasubiri mlipuko uanze kisha ziundwe Kamati kufuatilia...
IPO Hivi kunguni anafanya harakati zake kimya kimya Tena kwenye Giza Ila ukiwasha Taa anatulia.
Katika harakati za Maisha yako fanya mambo yako kimya kimya acha matokeo yaongee.
Kunguni akiwa...
Punda mmoja huko Kenya katika jimbo la Maragwa amepoteza maisha baada ya kubakwa na wanaume wanne kwa zamu. Wakisimulia tukio hilo,
Wanakijiji wa kijiji cha Kamahuha wanasema kabla ya tukio...
Kwa kipindi kirefu na hata mpaka leo hii watu wengi sana wanashangazwa na piramidi za kale za Misri. Kuna mjadala mkubwa sana jinsi zilivyojengwa, ni nani waliozijenga na walipata hiyo teknolojia...
Nisiseme sana....
Najua humu Kuna wataalamu... Nauliza, mtandao gani wa simu (laini ya simu) ni salama kwa Matumizi ambao unatunza faragha za wateja wake?
Mitandai ambayo ipo tz ni;
1.Tigo...
Ndugu wa hao vichaa ni walipa kodi na wao pia kabla ya kuwa vichaa walikuwa walipa kodi hivyo serikali inapaswa kuchukua jukumu hili la kuwahudumia katika mazingira wezeshi
Baadhi ya ndugu...
Sisi Wakazi wa Mtaa wa Kisonge na Mtaa wa Bin Abeid hapa Mkoa wa Mjini Magharibi tuna changamoto ya mifumo ya Maji taka kutowekwa katika mazingira mazuri na kwa ufupi ni kuwa Miundombinu...
Hivi ndivyo university students wengi wa kike wanavyoishi maisha yao siku hizi, wengi wanaishi maisha yasiyoendana na hali za kiuchumi za makwao.
Na wengi wanaingia kwenye maisha ya namna hii kwa...
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu SAUT CAMPUS ya Mwanza. Changamoto tuliyonayo hatuna canteen za chuo. Majengo yamechakaa sana imefika hatua wazabuni wamekimbia kwa miundombinu kuwa chakavu sana...
I know kuna watu watasema kuwa nimechanganyikiwa ila ni uhalisia kuwa Mifumo hutengenezwa ili kudhibiti matokeo,na ikitokea mfumo ukashindwa ndipo inakuwa ni mapinduzi na kuzaliwa mfumo mpya...
BASHUNGWA ATUMIA GARI YENYE NAMBA YA BINAFSI, APONGEZA UTENDAJI KAZI WA ASKARI BARABARANI.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa akizungumza na askari wa usalama barabara katika...
TUSIPENDE KUWAHUKUMU WATU TUWANAO WAMEFANIKIWA KAMA HATUJUI KWA NINI WAKO HIVYO KWA NDUGU AU JAMAA ZAO
Wapo watu tunawatazama wamefanikiwa sana katika maisha yao ila ndugu zake wako nyuma sana...
Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri...
Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya wazazi, wengi wao wakilalamika kuhusu matunzo waliyotoa kwa watoto wao.
Mfano huyu mmoja alilalamika kwamba alipata shida sana kukumtunza mtoto wake akiwa mdogo...
Leo naona nilite mada Chokonozi;
Wengi tumewahi sikia maneno kama Copyright, Trademark patent na mengine kama hayo. Wengine tunayasoma tu tukifikiri na vibwagizo lakini kuna wengine wanayatumia...
Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.