Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kijeshi, Admiral wa Navy ni cheo sawa na General wa Army. Muundo wetu sasa hivi unataka kuwepo na General mmoja tu kwenye TPDF ambaye ndiye CDF. Hiyo inakinzana sana na muundo wa jeshi zima, kwani...
18 Reactions
90 Replies
3K Views
Kama kawaida yangu ya kuchanja mbuga mitaa ya watu, Ijumaa hii nilijikuta nikiangukia mitaa ya Vingunguti. Kusema kweli, mengi niliyoyaona yalifungua macho yangu kuhusu hali halisi ya maisha ya...
13 Reactions
40 Replies
2K Views
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga...
4 Reactions
35 Replies
897 Views
Mida hii ya saa 12:29 nikiwa katika maandalizi ya mwisho kabisa kuelekea kanisa la Ufufuko na Uzima chini ya askofu baba Josephat Gwajima kwa ibada pia nitakuwa nawamegea mambo kadhaa ambayo...
74 Reactions
658 Replies
105K Views
Kutokana na ongezeko kubwa la vyombo vya moto, vyombo vya usafirishaji na mitambo mbalimbali inayotumia barabara, ipo sababu ya mitaala na miongozo ya ufundishaji au utoaji mafunzo yoyote nchini...
1 Reactions
1 Replies
171 Views
Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza...
116 Reactions
262 Replies
62K Views
USISHANGAE KUONA ALIYETAKIWA KUKUTETEA NDIO ANAHAMASISHA UPIGWE Ukiona hayo usishangae hata kidogo kwa sababu yoyote anaweza kuwa yule usiyemtarajia kuwa. Unaweza msaidia kiberiti awashe moto wa...
1 Reactions
0 Replies
98 Views
SINCE CREATION, WORLD POPULATION IS ESTIMATED AT AROUND 109-117 BILLIONS Given a current global population of about 7.8 billion, the revised estimate means those alive in 2020 represent nearly 7%...
0 Reactions
3 Replies
173 Views
Ushahidi wa kuibuka Kwa Bahari Mpya inazidi.kuwa wazi. Wanageolojia wanazidi kuonya kwamba ilidhaniwa itachukua mda mrefu ila Utafiti Mpya unaonesha itachukua mda mfupi zaidi. Nchi mbalimbali...
3 Reactions
24 Replies
935 Views
Kiongozi wa Walio Wengi Bungeni, Kimani Ichung'wah, amemtuhumu aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kufadhili vitendo vya Utekaji na Mauji nchini humo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Nimesikia muwekezaji mmoja Mkubwa tu ( Vasso Agroventures) kwenye media akilalamikia kutozwa kodi kubwa na zisizo eleweka pamoja na kuingiliwa miradi yake ya uwekezaj na mwaka 2021 amepata...
1 Reactions
5 Replies
764 Views
Nimegoogle nikaona konyagi inatengenezwa na kiwanda kinaitwa Tanzania Distillers. Kwa muda sasa kinwaji chenu kimekuwa kikinasibishwa na ndugu Mbowe pale ambapo wahasimu wanataka kumtweza au...
1 Reactions
9 Replies
360 Views
Nipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika. Sasa...
7 Reactions
39 Replies
1K Views
Now I'm doing 50+ Leo nimesoma Bible nikaona umri wa binadamu kuishi ni miaka 70 Nimegundua I have only 20 yrs kuwepo hapa Jamvini na duniani. Nilichoamua kufanya nimeona nianze Kuwa Karibu na...
15 Reactions
56 Replies
1K Views
Nina dada yangu ambaye ameolewa. Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu. Maisha Yao yamekuwa kama movie tu. Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
https://youtu.be/BtJKuCfA0pE?si=CM2pbLwJ3Ki3uPQ1
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeifuta kesi ya mwanahabari Erick Kabendera, aliyokuwa ameifungulia kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Public...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeitaka Kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom kufika mahakamani na kuwasilisha nyaraka inazotarajia kuzitumia katika kujitetea...
7 Reactions
61 Replies
8K Views
Maxence Melo ambaye ni Mkurugenzi wa JamiiForums, jana Aprili 25, 2022 alikuwa katika kituo cha E FM Radio akielezea mambo mbalimbali kuhusu taasisi yake, harakati, mijadala na mambo mengine...
34 Reactions
48 Replies
5K Views
Ujenzi wa Mradi wa SGR hapa Mwanza ambao kwa muda mrefu umekuwa hauna mwendelezo umesababisha kero ya foleni hasa katika Barabara ya magari eneo la Mswahili Mkoani Mwanza. Kero hiyo ipo zaidi...
1 Reactions
7 Replies
783 Views
Back
Top Bottom