Kijeshi, Admiral wa Navy ni cheo sawa na General wa Army. Muundo wetu sasa hivi unataka kuwepo na General mmoja tu kwenye TPDF ambaye ndiye CDF. Hiyo inakinzana sana na muundo wa jeshi zima, kwani...
Kama kawaida yangu ya kuchanja mbuga mitaa ya watu, Ijumaa hii nilijikuta nikiangukia mitaa ya Vingunguti. Kusema kweli, mengi niliyoyaona yalifungua macho yangu kuhusu hali halisi ya maisha ya...
Huyu bwana ni wazi anasumbuliwa sana na uovu aliofanya Dar es Salaam, ambao ulitia ndani kuteka na kuua watu. Sasa hili linamchanganya sana kiakili, na huenda anapata ndoto na maono yanayomvuruga...
Mida hii ya saa 12:29 nikiwa katika maandalizi ya mwisho kabisa kuelekea kanisa la Ufufuko na Uzima chini ya askofu baba Josephat Gwajima kwa ibada pia nitakuwa nawamegea mambo kadhaa ambayo...
Kutokana na ongezeko kubwa la vyombo vya moto, vyombo vya usafirishaji na mitambo mbalimbali inayotumia barabara, ipo sababu ya mitaala na miongozo ya ufundishaji au utoaji mafunzo yoyote nchini...
Sitaandika yote kuficha kujulikana Kwasababu za usalama wangu na sitataja Kituo (mojawapo ya vituo vya police DSM) Kwasababu walio nifanyia hayo mateso, wapo na wanaendelea na utumishi wao kuumiza...
USISHANGAE KUONA ALIYETAKIWA KUKUTETEA NDIO ANAHAMASISHA UPIGWE
Ukiona hayo usishangae hata kidogo kwa sababu yoyote anaweza kuwa yule usiyemtarajia kuwa.
Unaweza msaidia kiberiti awashe moto wa...
SINCE CREATION, WORLD POPULATION IS ESTIMATED AT AROUND 109-117 BILLIONS
Given a current global population of about 7.8 billion, the revised estimate means those alive in 2020 represent nearly 7%...
Ushahidi wa kuibuka Kwa Bahari Mpya inazidi.kuwa wazi.
Wanageolojia wanazidi kuonya kwamba ilidhaniwa itachukua mda mrefu ila Utafiti Mpya unaonesha itachukua mda mfupi zaidi.
Nchi mbalimbali...
Kiongozi wa Walio Wengi Bungeni, Kimani Ichung'wah, amemtuhumu aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kufadhili vitendo vya Utekaji na Mauji nchini humo kwa lengo la kuichafua Serikali ya Rais...
Nimesikia muwekezaji mmoja Mkubwa tu ( Vasso Agroventures) kwenye media akilalamikia kutozwa kodi kubwa na zisizo eleweka pamoja na kuingiliwa miradi yake ya uwekezaj na mwaka 2021 amepata...
Nimegoogle nikaona konyagi inatengenezwa na kiwanda kinaitwa Tanzania Distillers. Kwa muda sasa kinwaji chenu kimekuwa kikinasibishwa na ndugu Mbowe pale ambapo wahasimu wanataka kumtweza au...
Nipo kikazi mkoa fulani na huwa nina kawaida ya kusafiri between towns kutokana na nature ya kazi yangu na ikibidi huwa nalala lodge/guest unapofika usiku au ninapohisi kuchoka/kupumzika.
Sasa...
Now I'm doing 50+
Leo nimesoma Bible nikaona umri wa binadamu kuishi ni miaka 70
Nimegundua I have only 20 yrs kuwepo hapa Jamvini na duniani.
Nilichoamua kufanya nimeona nianze Kuwa Karibu na...
Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana...
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeifuta kesi ya mwanahabari Erick Kabendera, aliyokuwa ameifungulia kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Public...
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeitaka Kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom kufika mahakamani na kuwasilisha nyaraka inazotarajia kuzitumia katika kujitetea...
Maxence Melo ambaye ni Mkurugenzi wa JamiiForums, jana Aprili 25, 2022 alikuwa katika kituo cha E FM Radio akielezea mambo mbalimbali kuhusu taasisi yake, harakati, mijadala na mambo mengine...
Ujenzi wa Mradi wa SGR hapa Mwanza ambao kwa muda mrefu umekuwa hauna mwendelezo umesababisha kero ya foleni hasa katika Barabara ya magari eneo la Mswahili Mkoani Mwanza.
Kero hiyo ipo zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.