Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hii imetokea jana asubuhi. Mzee huyu amefariki baada ya pressure ya mawazo iliyotokana na kuhuzunika mke wake alipougua. Interest yangu na Ephraim Kibonde ni kwamba yeye ndiye aliyesabsbisha...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Anayetuhusu sisi tuliompokea ni Kristo aliye Bwana na Mwokozi wetu Tafakuri ya hekima kwa wenye hekima Siku njema
2 Reactions
50 Replies
685 Views
Kuna mahala nilikuwa katika Kikao kidogo ndani ya Ukumbi na kuna Dada kwa kutokujua kuwa alikuwa anatuonyesha Video ya bure ya kilichopo katikati ya Miguu yake (ila Kimefunikwa) na alipojulishwa...
4 Reactions
21 Replies
910 Views
Wakuu nahisi Nina shida psychologically... Nashindwa kufanya Mambo mengi kwa sababu ya kuwaza hasi kila Mara, nahisi kama kitabu kitanisaidia zaidi kupambana na hali hii.... Kama Kuna mtu anaweza...
3 Reactions
9 Replies
249 Views
ni kweli ajali huwa zinatokea kila mwezi kutokana na maagano ya kishetani,mila na kutambikia mizimu kila mwezi. Hali inazidi kuwa mbaya mwezi wa mwisho wa kila mwaka, kwa sababu watu dizaini...
1 Reactions
5 Replies
309 Views
Dereva wa gari kubwa ya kuchanganyia zege yenye namba za usajili T. 414 BPD ambaye jina lake halijafahamika kwa haraka, amefariki dunia, huku watu wengine watatu wakijeruhiwa katika ajali...
0 Reactions
2 Replies
496 Views
#Repost @wasafifm —— Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Happyness Khalfan amekatwa mkono na mume wake Charles Peter kwa kosa la kukataa asisome ujumbe mfupi (SMS) kwenye simu yake mara baada ya...
1 Reactions
9 Replies
557 Views
Hii media ilivyoanzishwa tuliona kama ni mkombozi kwenye Tasnia hii kwa kutoa habari za ukweli na uhakika lakini ghafla imekuwa ndivyo sivyo... Toka imeingia ubia na AZAM MEDIA imebadilika sana...
0 Reactions
3 Replies
314 Views
Kuna mdau mmoja hapa ameniuliza swali, nami nikaona niwashilikishe wana JF. "Je mapenzi/upendo yanaifadhiwa moyoni au ubongoni/akilini" Upi mtazamo wako?
1 Reactions
0 Replies
90 Views
Hili jiko bwana linataka shule, ukinunua mfano lile la 3500W, ukapika kwa hizo watt zote 3500 basi umeme wa 10,000/= utalast masaa 8 tu. Lakini kuna siri moja. Na hii nimepractice mimi mwenyewe...
13 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu naomba kufahamu maana hizi pangua za hivi karibuni zimesababisha nivurugwe sielewi elewi naomba kwa anaefahamu anifahamishe vizuri. Hivi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana...
10 Reactions
24 Replies
684 Views
BASHUNGWA ATOA ONYO KALI KWA MADEREVA WAZEMBE, ASISITIZA VYOMBO VYA MOTO KUFANYIWA MATENGENEZO. 📌 Serikali haiko tayari kuona maisha ya Watanzania yanawekwa rehani na madereva Wazembe. Waziri wa...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
MBUNGE MARTHA GWAU AWAGUSA WANAWAKE WA SINGIDA DC & IKUNGI KWA MAJIKO YA NISHATI SAFI YA GESI YA KUPIKIA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Martha Nehemia Gwau amekabidhi majiko ya Gesi...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
Hapo vipi? Awali ya yote nadeclare yakwamba ni kisasi cha milele na shetani na lazima nitalipa kisasi juu yake. Nije kwenye mada husika ya kwamba ninaposema hii vita kati ya mwanadamu na shetani...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Picha ilianza na Mimi. Nilibahatika ya kufaulu na kwenda shule nzuri tu ya sekondari ambako pia nilifauli kwenda masomo ya juu. Nikiwa nimekomaa na masomo ya biashara, ndoto kuu ilikuwa kuja kuwa...
14 Reactions
47 Replies
2K Views
Hii ni kali ya mwaka. ======== Joyce Ojala (32), Mkazi wa Matalawe Mjini Njombe, anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na Watu wasiojulikana ili kumlazimisha...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Katika pita pita zangu, nimekutana na hoja ya pasta mmoja wa Kenya akisema kuwa kuna Mungu na pia kuna miungu, na miungu ni sisi wanadamu. Watu walicheka sana na kumuita mnafiki. Kuna watu wengi...
0 Reactions
1 Replies
387 Views
Napenda niwe wa kwanza kuwatakià heri ya xmass na mwaka mpya . Mambo mengi muda mchache . So xmass na sìku hzi kuingia hùmu nì kidogo sana . Nawatakia furaha na amani kwenye huu msimu wa xmass...
2 Reactions
6 Replies
175 Views
Welcome On board... Nawatakia wadau wote wa JamiiForum, wakiwemo members na non members na Uongozi mzima Wa JF, ukiongozwa na Director Maxence Melo, heri ya sikukuu ya Christmas 2024 na mwaka...
2 Reactions
0 Replies
207 Views
Wivu wivu wivu wa mapenzi unazidi kutoa roho za watu wengi waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi jamani. ===================== Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Castory Abusalam Kindole...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom