Katika ulimwengu wetu uliojaa maajabu, kila nchi ina kitu ambacho inaongoza au inajulikana nacho duniani. Wakati mwingine, ni jambo la kufurahisha, la kushangaza, au hata la kusikitisha. Katika...
Waswahel wa Pwani waliosema pesa mwanaharamu sijui ninini kiliwapa mpaka kuna na huo usemi
Nijuavyo mimi ukiachana na mengine yote.
Kuna kitu kinaitwa kichaa cha pesa! Pesa inachizisha watu na...
Wakuu once again
Leo nimesema niongelee hili jambo. Jamani hali huko mtaani inatisha, hivi watu wanajua kuna UKIMWI?
Yani vibinti vya kuanzia miaka tuseme 17 hadi 24 , hawa ndio niseme kama...
Wajasiriamali wanaofanya biashara pembezoni mwa msikiti wa Mtoro wameitaka serikali kuingilia kati mgogoro unaoendelea kati yao na uongozi wa msikiti huo ambapo umewataka wafanyabiashara kuondoka...
Leo ndio nimepata hasa jawabu japo nilikuwa naelewa kuwa walimuua kwa sababu ya kuigiza ile movie ya
" the devils kingdom"
Na kwa sababu ya kugoma kutoa capital sacrifice ya mama yake mzazi...
Salaam ndugu Wana JF,
Naambiwa "Mama" yetu Rais wetu huwa anasoma humu JF.
Kwa heshima na taadhima naomba asome na hii.
Twende kwenye hoja..
Leo hii Kuna jamaa yangu kutoka halmashauri ya...
Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani. Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu...
Mada Fupi tu maana Kuna mambo mengi ya kufanya pia.
Iko Hivi kuhusu Jiji la Dar es salaam
Mm Naona wanawake wa Dar ni warembo sana. Sure cjui ni macho yangu au nn!.
Kuna Saa unajitahidi hata...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri...
Niende kwenye mada
Kwa dunia ilipofika sasa usimwamini kiumbe anayeitwa mwanamke hata awe dadako wa kuzaliwa tumbo moja (labda kidogo mama mzazi japo naye...
Kuna changamoto ya Mfumo wa Employee Self Service (ESS), Watumishi wa Serikali tunateseka.
Nimeanza kutumia Mfumo kwa ajili ya kuomba Uhamisho wa kuhama kutoka ‘Taasisi A’ kwenda ‘Taasisi B’ kwa...
Hili jambo la uchawa binafsi nimeliona ni tatizo ambalo linazidi kutupeleka sehemu mbaya zaidi
Sasahivi makazini boss hata kama anakosea,huwezi kukuta anakosolewa watu wanamsifia hata kwenye...
Wadau hamjamboni nyote?
Mdomo huu umeniponza
Sio utani jana nimenusurika kupigwa vibao na pia nimeoga matusi mengi ya wanywaji wenzangu wa kahawa na wacheza draft hapa kijiweni kwetu
Unajua...
Kuna vitu watoto wanahatibu hadi unajiuliza huyu dogo amewezaje kuharibu hiki kitu, na nini alikua anatafuta huku? Ila uwezi pata jibu kamwe.
Kitu kingine cha ajabu hawa watoto wa siku hizi...
Miaka miwili iliyopita Serikali ilifanya jitihada Kwa kile kilichotajwa kuwapanga machinga, zoezi ambayo lilifanyika nchi nzima. Mafanikio yalikuwa makubwa kwani maeneo mengi ambayo yalikuwa na...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kukusanya Sh trilioni 3.49 kwa Desemba, 2024 kiasi ambacho hakijawahi kukusanywa tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo.
Kadhalika, imepanga kuanzia Januari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.