Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Serikali imesema baadhi ya watuhumiwa wanaodaiwa kumuua Afisa Mtendaji wa kijiji cha Nyahua wilayani Sikonge, Said Maduka kisha mwili wake kuuchoma moto na kuutelekeza porini, watafikishwa...
0 Reactions
2 Replies
368 Views
Wanajamii, Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa Mohamed Mpakanjia aliyekuwa mume wa marehemu Amina Chifupa Mpakanjia hatunaye tena.Amefia hospitali ya Lugalo. Habari zaidi baadaye.
0 Reactions
312 Replies
56K Views
Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi...
15 Reactions
103 Replies
3K Views
Habari za muda huu waungwana, kutokana na ujenzi unaoendelea wa upanuzi wa barabara kutoka Ubungo mpaka Kimara mwisho haya mataa ya hapa Korogwe, Bucha (kwa Thomas) nasikia hili jina lilikuja...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
UPWEKE UMEWAANZA VIJANA MAPEMA, UZEENI SIJUI ITAKUWAJE. NI JANGA KUBWA. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli. Huwezi sema unafurahia maisha ukiwa pekeako. Mtu mpweke hawezi kuwa na furaha. Mpweke ni...
34 Reactions
151 Replies
6K Views
Isaya 65:24 Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; Sio kila kitu unatakiwa kuomba. Vingi unatakiwa kuamini unavyo, hivyo unaanza kutenda kwa msingi kuwa kabla hujaviomba Mungu...
6 Reactions
11 Replies
303 Views
https://www.instagram.com/p/DCY756uK7gC/?igsh=MWV0Z2ljNmw2ODUy
3 Reactions
10 Replies
387 Views
Yatupasa Sasa Ili kuisaidia nchi ni lazima.kwanza kuhakikisha Machawa Wanafedheheka Wakomeshwa utopokwaji bila kutumia akili . Tukifaulu hapa Wale Wajanja wajifichao Wenye kuwatanguliza...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Nikaota ndotoni nikajikuta nasema: Diwani, Watu wanasema mengi juu yako. Eti wewe huna elimu ya kutosha kumudu uelewa wa mambo makubwa. Nakuomba, kwa kuheshimu katiba ya Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
0 Replies
183 Views
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka Kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo.. Watu wa huku wanakatisha tamaa balaa...
30 Reactions
452 Replies
14K Views
Wakuu pamoja na wataalamu wa Mambo,bill kusahau ma-operator wa JF.Nimeshindwa kabisa kusoma jumbe kwenye PM maana haifunguki zaidi ya kuni-direct nifungue messenger na baadaye inaandika...
2 Reactions
5 Replies
212 Views
Habari zenu wakuu, Leo nataka niandike maneno kadhaa kwa vijana wenzangu tunaojitambua. Naandika kuhusu vijana wanao jitambua namanisha wale walio na uchu wa mafanikio na wenye ndoto ama malengo...
36 Reactions
97 Replies
8K Views
Umasikini umefungwa ndani ya fikra na akili ya mtu. Wazazi kama fikra zao ni za kimasikini huwa na uhakika uzao wake wote watakuwa masikini. Katika jamii ninayoishi kuna watoto wengi ambao...
6 Reactions
16 Replies
692 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Karibuni wenye elimu na wanazuoni Niwatakie usiku mwema
0 Reactions
8 Replies
259 Views
Kituo cha Mikutano ya Kimataifa Arusha (AICC) kimeingia kwenye mgogoro mkubwa na wapangaji wake zaidi ya 450 baada ya kuwapatia notisi ya kutakiwa kuhama katika nyumba zao ndani ya siku 60 hadi...
1 Reactions
30 Replies
1K Views
Tatizo hili limekuwa sugu sana, Karibu kila chuo kuna wahadhiri hunyanyasa mabinti kwa kutumia kisingizio "Mwalimu na mwanafunzi wa chuo wote ni watu wazima" wengine wamewahi kufumaniwa baada ya...
9 Reactions
21 Replies
1K Views
Watumiaji wa barabara iliyopo Kata ya Oldonyowasi, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha, wamedai kuwa wakiwa wanapita na usafiri wa magari na pikipiki katika barabara hiyo wamekuwa wakitozwa shilingi...
0 Reactions
5 Replies
672 Views
Itashamgaza kama bado wakati sura zao zimeshafahamika! 1. Wameshakamatwa? 2. Wako wapi? 3. Watakamatwa? 4. Polisi wanahitaji usaidizi wowote? PIA SOMA - Dar: Inasemekana tukio hili la...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Inaonekana ni kati ya mazao yanayouzwa ghali sana. Sisi tunaoishi mikoa ya mbali na korosho inakolimwa, tumekuwa tukiuziwa korosho za kutafuna kwa bei isiyobadilika, miaka nenda miaka rudi. Kwa...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari wanajf, Nilikuwa naomba mrejesho wa walioweza kufanya Astra projection. Maana mimi nimeweza jana baada ya siku nyingi?
7 Reactions
183 Replies
3K Views
Back
Top Bottom