Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Anaitwa NASSORO IDDY IGALAWA ni dereva amepatwa na umauti leo maeneo ya mbangamawe alikuwa na gari NOAH amby bado haijasajiliwa lakini documents zinaonyesha alikuwa anapeleka gari msumbiji...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Tuliowahi kupitia jandoni, tohara, mafunzo na changamoto zake tukumbushane enzi zako unakumbuka nini? Mimi ni mmoja wa vijana tulipotia jandoni nakumbuka enzi hizo Kilimanjaro hususan sisi...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Safari ya Maisha ya Bahati Katika kijiji kidogo cha Kijiji cha Amani, kulikuwa na msichana mdogo aitwaye Bahati. Bahati alizaliwa na ualbino, hali ambayo ilimfanya awe tofauti na watoto wengine...
2 Reactions
2 Replies
173 Views
Hivi mtu unajisifia una PhD kumbe PhD yenyewe ni ya sociology,law, education,public administration, accountant, public relations, community development n.k hizi PhD ambazo hazin faida yoyote zaidi...
21 Reactions
82 Replies
2K Views
Kufuatia sakata la Mfanyabiashara Deogratius Tarimo kunusurika kutekwa na watu wasiojulikana, Wakili wa kujitegemea, Jebra Kambole ameutumia ukurasa wake wa X kuukumbusha umma wa Watanzania sheria...
3 Reactions
10 Replies
584 Views
Anonymous (967b)
Mimi ni Mkazi wa Arusha, nimekuwa Mdau wa muda mrefu wa platform yetu hii ya JamiiForums kwa muda mrefu, kero yangu mimi ni kuhusu Daladala kukatisha ruti na kuongeza nauli kinyume cha Sheria...
0 Reactions
3 Replies
612 Views
Changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kijiji cha Oltepes kilichopo Kata ya Orbomba, wilayani Longido huwalazimu wasichana na wanawake wa eneo hilo kutumia siagi ya ng’ombe ili kudhibiti damu ya...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Moderator: naomba Uzi huu sio wa uache uwe huru na ujitegemee wenyewe lengo ni kujifunza Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Kisiasa, kiuchumi, kijamii Karibuni Muwe na...
2 Reactions
26 Replies
691 Views
Kuna wasiaminini , walisema Mungu haonekani, hasikilikani, hupati hisia ya harufu yake, wala hisia ya aina yoyote ya uwepo waje . Kwa hivyo hakuna Mungu. Jibu alilojibiwa Jee hayupo au humjui...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Vita si jambo la kushabikia sana, lakini nchi kama Urusi, Iran, Korea Kaskazini, na China zinaonekana kushabikia vita. Wanafikiri pengine ni wao pekee wenye nguvu kubwa za kijeshi na silaha za...
2 Reactions
10 Replies
459 Views
Wanabodi Japo hili ni Jukwaa la Siasa, unapozumgumzia mambo ya fedha, wengi wanadhani fedha ni uchumi tuu, kumbe sio kweli, fedha ni siasa, fedha ni uchumi, fedha ni jamii, fedha ndio kila kitu...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Mabinti wengi sasa wanejiajiri kutingisha makalio TikTok na Instagram huku wakionyesha sehemu za kwa vinguo vyao vya uchiuchi. Yote hii ni effects of poverty. Umaskini wa kichwani plus umaskini...
6 Reactions
20 Replies
818 Views
Inasikitisha sana! 1. Mtu "anatekwa" Mchana kweupe huku watu wakishangaa mithili ya nyumbu wa Serengeti? 2. Mtu anapiga kelele za kuomba msaada lakini hakuna hata anayejaribu "kuigiza" kusaidia...
1 Reactions
8 Replies
425 Views
Kigamboni (sasa ni wilaya) ni sehemu ya jiji la Dar es Salaam ambayo tofauti na maeneo mengine ilichelewa kuendelezwa kimiundombinu mpaka kufika miaka ya 90. Watu walichelea kuishi huko kutokana...
79 Reactions
499 Replies
67K Views
Wadau hamjamboni nyote? Chema chajiuza kibaya chajitembeza walinena wahenga Kwaya ya Kanisa la Waadvetista Wasabato kurasini dar es salaam imejizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri mkubwa...
0 Reactions
5 Replies
277 Views
Nashauri serikali iondowe kodi kwenye peds na pampasi na zigawiwe bure kwenye shule zote za serikali na binafsi,pia hata kwa wenye mahitaji maalum. Kwa mfano kuna kijana wa kiume jirani yangu...
1 Reactions
7 Replies
319 Views
Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni. Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu! Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami...
10 Reactions
65 Replies
2K Views
Ujira kwa watoto bado upo, na hii inasababishwa na hali duni ya familia zao ambapo inabidi waingie nao mtaani kujitafutia riziki wakale wao na famila zao. ==================== Baadhi ya wanafunzi...
0 Reactions
4 Replies
290 Views
SERIKALI SIKIVU YA Rais Samia Suluhu Hassan "Tunaomba ianze kuitambua Elimu ya Shahada ya Pili kwenye Utumishi wa umma kwa kuiwekea Salary scale" Africa pote Masters degree inatambulika kasoro...
14 Reactions
152 Replies
8K Views
Back
Top Bottom