Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari za juma pili wana na binti za Mungu! Ningependa kufahamu ni adhabu gani anastahili kupewa mtoto kwa kuzingatia kigezo cha umri. Hapa nitawagawa watoto katika makundi mawili; 0-6 years 6-17...
0 Reactions
12 Replies
296 Views
Biashara za Mtandaoni bhana zina Changamoto sana, tunajitahidi mno kuendana na Wakati lakini wafanya biashara wengi hawajui kwanini wanafanya biashara na ipi ni namna nzuri ya kufanya biashara na...
1 Reactions
6 Replies
265 Views
Katika historia mbali mbali zinaonyesha tangu zamani kwamba mwafrika amekuwa tabaka la chini katika kila jamii ya mtu mweupe aliyekua nae. Kutokana na hayo shauku yangu kuu na maswali yangu ya ni...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Maombi n silaha Kama alivyokuja nchini Rais wa Mozambique aliomba tuwaombee Matokeo yametoka ya uchaguzi Gen z wako barabarani siku ya 14 leo Ofisi zimefungwa Biashara zimefungwa
3 Reactions
22 Replies
979 Views
Jamaa yangu aka yake KIMBU. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya" Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za...
18 Reactions
71 Replies
5K Views
Serikali imeahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kukomesha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ambavyo vinakiuka sheria, taratibu, mila na desturi pamoja na kuwakamata wanaojihusisha, sambamba...
2 Reactions
52 Replies
2K Views
Mzee wetu ni katiri hasa, kiasi kwamba ametufanya vijana wake wote tumuachie kila kitu. Sasa jana nmejikuta nalia ghafra baada ya kuwaona ndugu wanaoshirikiana na wamepiga hatua kimaisha...
13 Reactions
60 Replies
1K Views
Wakati akichambua magazeti leo asubuhi katika kipindi cha Watanzania Tusikilize Magazeti cha Radio Free Africa kapotosha kwamba SGR ni STIGLERS GORGE. Hii inamaanisha kwamba Watangazaji wetu huwa...
8 Reactions
23 Replies
721 Views
Katika Bahari ya Pasifiki Kusini kuna makaburi ya mamia ya vyombo vya angani vilivyoanguka. Sehemu hiyo inajulikana kama "Point Nemo" kwa lugha ya Kilatini ikimaanisha "Hakuna Mtu" au "No One"...
2 Reactions
6 Replies
408 Views
Anonymous (34f9)
Habari ndugu wadau!? Kuna nini kinaendelea kwenye mifuko ya uwekezaji UTT Amis? Huduma zao kwenye upande wa kupokea simu imekuwa ni janga, hazipokelewi ziadi ya kukatwa. Hii inatia wasiwasi kwa...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
UFAFANUZI: NAULI TRENI YA SGR DAR- DODOMA KWA 40,000 NA 31,000 KWA KAWAIDA SIYO SAWA UFAFANUZI ; Nimepokea ufafanuzi kutoka kwa wadau ,NAULI YA TRENI SGR asubuhi ni shilingi 40000 na 31000 jioni...
5 Reactions
12 Replies
10K Views
Habarini za usiku huu poleni na kazi, Noambeni mawazo na ushuhuda wenu kwa waliowai kutumia whey protein mass tech Nina mwili mwembamba sana, nataka kuanza mazoezi na kutumia iyo kitu japo...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Samahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi. Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya...
12 Reactions
137 Replies
6K Views
Habari za muda huu wanajamvi. Katika harakati zetu za utafutaji Kuna mambo mengi hautokei, mengi hutuimarisha lakini hata kutuvunja moyo pia. Naamini Kila anaepambana awe mwanaume/mwanamke...
13 Reactions
29 Replies
1K Views
Kwema wakuu, Kesi ya Jamiiforums (Jamii Media) vs Oil Com ni moja ya kesi yenye mvuto wa aina yake hasa yale maswali ya mawakili wa JF na kivutio kikubwa zaidi ni majibu ya mashahidi wa upande wa...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Dar es Salaam - 13,719 Shinyanga - 12,300 Mara - 9,823 Mwanza - 9,242 Geita - 7,697 Kigoma - 7,544 Kagera - 7496 Tabora - 7,471 Ruvuma - 7,425 Tanga - 6,827 Chanzo: Wizara ya Afya
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Jambo Jambo? Kama kuna mtu ameishi kahama na ni mtu wa starehe na muhudhuriaji mzuri wa kumbi za starehe maarufu na zisozo maarufu hapa kahama, Utakubaliiana na mimi au kufunguliwa akili na hiki...
30 Reactions
86 Replies
17K Views
Anonymous (1fb7)
Mimi ni miongoni mwa wakazi wa Kata ya Tura, Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora, ninaiomba Taasisi ya TANESCO kushughulikia suala la ukatikaji wa umeme kwani kumekuwa kikwazo kikubwa kwa biashara...
0 Reactions
2 Replies
400 Views
Dini ya kislam ni dini nzuri saana napenda wanavyomtii Mungu wao allah Na mtume wao napenda wanavyoheshimu mila na desturi zao Ila nachukia sana kwa tabia zao Tabia Za kujiona bora kuliko...
8 Reactions
21 Replies
819 Views
Back
Top Bottom