Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baadhi ya wanawake waliojitosa kuwania uongozi wa kisiasa, wamesema walikumbana na udhalilishaji mtandaoni, wakiitaja mitandao ya kijamii kuwa "sumu kwa wanawake kisiasa" Kwa mujibu wa Taasisi ya...
0 Reactions
0 Replies
165 Views
Wadau nisaidieni maana ya hii statement kwa akaunti angu ya mkopo "no approved allocation breakdown available", je ni salama au ndo maumivu teari
0 Reactions
0 Replies
510 Views
Napata sana shida kwene kupata kodi ya wapangaji wanasumbua yaan kifupi hawajali mtu anakaa hata miezi mitatu halet kodi na bado anapiga chenga na kuhama hataki! Kodi inatoka kwa kusumbuana sana...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Ningepewa nafasi ya kuhudumu kama mwajiri ningebadilisha taratibu zote za UTUMISHI wa UMMA kutoka kuwa ajira za kudumu mpaka mkataba wa mwaka mmoja. Naamini hakuna anaependa kutumika maisha yake...
10 Reactions
36 Replies
1K Views
Kinachotokea Siku ile mtu anavyochukuliwa MSUKULE' 'Contents' hizi hazina lengo baya, ispokua ni elimu ya uzinduzi kuamsha bongo za watu na kufahamu changamoto mpya wanazopitia watu katika...
22 Reactions
103 Replies
12K Views
Habari zenu wakuu!? Natuamini mko pouwa kama unaumwa au una smongo wa mawazo basi polee mkuu, yanamuda tu yatakuwa poua. Niende kwenye maada. Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya ambapo kwa kuona na...
13 Reactions
51 Replies
1K Views
Jana nilimpelekea mtu moto mkaal eti baada ya mapuziko ananimbia kuwa mm natumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume," alisema mbna wee wa moto hv au umepaka mkongo nn" 🤣 😂 nikacheka akasema tena...
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Nataka nirudi kama zamani , japo kazi ninayoifanya ni ya kutumia akili sana, kwa hiyo kuna muda nakuwa nahitaji utulivu ili kazi niifanye kwa ufanisi...nilijiingiza kwenye uraibu wa kutumia pombe...
0 Reactions
2 Replies
272 Views
Wakuu habari zenu, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ame-share picha hizi akiombewa mbele ya Madhabahu na Pastor Tony Kapola katika ibada maalum. Pastor Kapola alimwombea Makonda hekima na...
1 Reactions
6 Replies
495 Views
Benki ya Dunia, imemchagua Mtanzania, Dkt. Zarau Wendeline Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania...
9 Reactions
101 Replies
4K Views
Taswira ya moja ya Jengo la Kituo cha Afya cha Murongo wilayani Kyerwa. Na Dotto Mwaibale, Kyerwa Kagera. Kutokufahamu Lugha ya Kiswahili imekuwa ni changamoto kubwa ya upatikanaji wa matibabu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu zangu Kama mnavoona heading. Hivi kuna umuhim gani wa kupigwa muhuri wa mwanasheria kwenye vyeti vya elimu. Ikiwa hivo vyeti vinatoka serikalini je Mwansheria yeye anathibitisha vipi...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Mradi wa pamoja wa mafuta kati ya Tanzania na Uganda, maarufu kama Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), umekumbwa na changamoto za kifedha. Mradi huu, unaotekelezwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
384 Views
Anonymous (8dc6)
,🥲🥲 Mimi ninaishi kata ya Saranga, kwa Mpapula jijini Dar es Salaam. Jamani huku tunahangaika maji hakuna, hatujaona maji mwaka umeisha sasa, mabomba hayatoi maji tunaishi kwa taabu sana , Kuna...
1 Reactions
3 Replies
249 Views
Tumeshuhudia anguko la goodluck gozbert baada ya kupokea zawadi kutoka Kwa nabii mkuu ..tutarajie Nini baada ya dada yetu mpendwa shusho kupokea million kumi kutoka Kwa nabii mkuu pamoja na dada...
0 Reactions
2 Replies
207 Views
Kuna wakati huku mitandaoni kulikuwa na takwimu zilikuwa zinatembea za idadi ya watu wakubwa ambalo wamefariki na kuwaacha wake zao wanaishi tena kwa miaka mingi baada ya waume zao kudanji. Zile...
19 Reactions
57 Replies
15K Views
Sifahamu, ni tatizo la kiufundi, mifumo mbovu au mazingira ya rushwa? Ukitaka kufanya malipo kwenye taasisi hizi za umma kama Tanesco, Duwasa kwa Dodoma na nyingine kama hizo, ili upatiwe huduma...
0 Reactions
2 Replies
181 Views
Nifanyaje kupata leseni ya learner na inachukua muda gani?
0 Reactions
4 Replies
141 Views
Anonymous (a986)
Serikali inapaswa kuangazia kwa makini hali ya mji wa Moshi, uliopo mkoani Kilimanjaro, ambao umekuwa ukivunja rekodi nchini Tanzania. Kuitwa mji wa kwanza kuingiza malori yenye uzito wa tani 80...
0 Reactions
4 Replies
280 Views
Jeshi la polisi linamshikiria dereva wa basi lenye namba za usajili T622 EFG linalofanya safari zake kutoka jijini Mwanza kwenda Morogoro kwa kosa la kukutwa na leseni ya pikipiki ili hali akiwa...
1 Reactions
1 Replies
317 Views
Back
Top Bottom