Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Huu ndiyo ukweli mchungu, wale waliojiongeza kwenda kusomea ualimu daraja la 111A, unesi na ukunga pamoja na fani zingine zikiwemo upolisi kimtindo mikeka yao imetiki means walichukua kidogo ila...
4 Reactions
8 Replies
391 Views
Hili siyo mara yangu ya kwanza kushauri, utaratibu huu utawawezesha vijana kujiongeza zaidi. Kwa Sasa maisha ya mtaani ni magumu sana tofauti na kipindi kile graduate anamaliza chuo na kupangiwa...
2 Reactions
6 Replies
208 Views
Tafiti zimeonesha mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya ukatili miongoni mwa wenza kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukosefu wa uhuru wa kiuchumi kwa wanawake na malezi. Mikoa...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Mnatia aibu kina Ngosa madhara ya kudharau elimu ndio haya mnatia aibu taifa letu. Najua itawagusa lakini huo ndio ukweli watani zangu Acheni ujinga huu mungu amewapa utajiri wa asili utumieni...
3 Reactions
8 Replies
477 Views
Jeshi la polisi mkoa wa Mara liunamshikilia mtu mmoja aitwaye Mussa Abdalah mkazi wa kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma kwa tuhuma za kufanya kitendo cha ukatili cha kumng’oa meno matatu mke...
2 Reactions
43 Replies
1K Views
Biashara ya kukopesha pesa yani ukimuona unae mdai kabeba begi yuko kwenye boda , inabidi na wewe uchukue boda fasta umfukuzie, mwisho unaona anaingia kwa dobi, inabidi upitilize na hujui...
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Will due respect Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama...
22 Reactions
52 Replies
2K Views
Wana mageuzi waliogeuzwa: Road Map to 2025. Walionja shubiri ya chamtema kuni. Unaweza pia kutumia neno "mchanja kuni." Kipigo na mateso vilionekana kama njia ya kujilinda, lakini pia vilikuwa ni...
12 Reactions
35 Replies
1K Views
Inawezekana kabisa kijana aliyefuata boda yake kwasunga. Hatunaye tena kama yule Bin Saatisa alyewahi kuambiwa atakutana na chato akiwa mwenyewe pekeyake Huyu naye kwa taarifa rasmi kabisa...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Utawala wowote dhalimu unaoelekea ukingoni huwa kama mbogo aliyejerujiwa.. Hufanya mambo ya kikatili na ya kutisha sana ikiwemo Kuteka wapinzani wake Kuwatesa Kuwajeruhi Kuwatia ulemavu Kuwaua...
23 Reactions
45 Replies
5K Views
Katika eneo kati ya Urusi na Israeli Kuna sheikh hapa Tanzania anatoa sana hotuba ya kuifagilia Urusi, akiipa sifa kana kwamba Urusi ni ukhalifa katika Uislamu. Waumini wanaomsikiliza, wanajawa...
9 Reactions
24 Replies
730 Views
Inawezekanaje huduma za; 1. Kupiga simu zisiwepi 2. Internet isiwepo 3. Sms ziwepo 4. Mpesa hakuna nk? Kwanini msiboreshe kwa zamu? Mnajua kuwa simu; 1. Huokoa maisha? 2. Internet ni ofisi za...
2 Reactions
29 Replies
862 Views
Tukio la video ya mtoto akiadhibiwa vikali na mama yake, lililopostiwa na mwanahabari Tweve Devota kupitia mtandao wa X, limezua taharuki mtandaoni. Mama huyo, anayeishi Mbezi Mwisho, Dar es...
8 Reactions
113 Replies
14K Views
Yatima wengi hawana msaada kutokana na ubinafsi wa wengi kudhamini watoto wao wa kuwazaa pekee kama unaweza kufunga basi fanya hivyo kwa ajili yao ili mungu awafanyie njia. Walio kata tamaa na...
7 Reactions
6 Replies
266 Views
Hodi hodi Tabora. Mulé mpola?! Wabéja. Haya, tuendelee sasa kuzindua miradi ya maendeleo na kuyatangaza maendeleo ya Tabora. Ikumbukwe, mkoa wa Tabora tayari umeshapokea takribani Trilioni 1.1...
14 Reactions
30 Replies
1K Views
Katika Mathayo 11:16-19, Yesu anatoa mfano wa kizazi cha wakati wake, akisema: “Nitakifananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wanaoketi sokoni, wakawapigia wenzao kelele, wakisema...
0 Reactions
6 Replies
304 Views
Tatizo la ajali za barabarani linazidi kuitafuna taifa la Tanzania na kuwaacha wananchi wakiwa kwenye misiba mizito ya wapendwa wao, pamoja na na simanzi zisizoisha, ni jambo hilo ndilo...
11 Reactions
103 Replies
2K Views
Master plan ya wakoloni ilitaka mji au jiji la Dar es Salaam lijengeke kuelekea Pugu.majengo yaliyopo mtaa wa Nkrumah ,viwanda Pugu Road,na uwekezaji mwingine kwa njia hiyo ni ushahidi tosha...
2 Reactions
3 Replies
492 Views
Vijana wengi wanaelekea kukata tamaa na kusema hakuna ajira. Lakini ukweli ni kwamba, ajira zipo—mtandaoni kuna ajira nyingi zinazosubiri kuchukuliwa. Teknolojia ya habari na mawasiliano imefungua...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za jioni! Kama kichwa kinavyoeleza, yaani ni mtu asiyefikiri sawasawa ambaye ataamini kuwa Israel hajui Mateka wake wapo wapi. Ninavyowaona Israel inajua kabisa Mateka walipo na haitaki...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Back
Top Bottom