International Forum

News and Stories from rest of the World
Baada ya kuigawa Gaza vipande viwili, sasa magaidi yaliachwa kaskazini, Israel wamekua wakiyabamiza bila upinzani wa maana na tayari kuingia mjini kati usiku wa leo..... ================= Israeli...
11 Reactions
140 Replies
8K Views
Kuna taarifa zenye utata ya kuwa viongozi wa Iran wamesemea hawatoi msaada kwa Hamas eti kwa vile hawakuwaeleza mapema kuhusiana na shambulio lao la okotoba 7. Hizbolah nayo ya Lebanon iliwahi...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
RE: ISRAELI CRIME IN GAZA STRIP AND THE WEST BANK FACTS AND FIGURES "In Gaza, one has to stand in line for hours to get anything... water, the toilet, bread. Everything except death, no line is...
0 Reactions
5 Replies
478 Views
Sisi tulipofika Israel na kuzuru maeneo Matakatifu katika Nchi ile nzuri tunaitetea Nchi ile Takatifu aliyoibariki Mungu wa Mbinguni mwenyewe Ezekiel 34:29 Kwamba Waisrael hawa wa Leo ni Taifa...
8 Reactions
131 Replies
5K Views
Rais Xi Jinping wa China na mwenyeji wake Joe Biden wamekutana na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana yaliyokuwa yanasubiriwa kwa muda mrefu na wadau wengi wa mambo ya uchumi na siasa. Kwenye...
2 Reactions
4 Replies
519 Views
Quran imeeleza wazi Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Rais Xi Jinping wa China anatarajiwa kufanya ziara nchini Marekani kati ya Novemba 14-17 ambalo atakuwa na mkutano na mwenzake wa Marekani na pia kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Ushirikiano wa...
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Rais wa China Xi Jinping amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Marekani Joe Biden kabla ya Mkutano wa Viongozi wa Ushirikiano wa Kiuchumi wa Asia na Pasific (APEC) wa mwaka huu, ambayo...
0 Reactions
0 Replies
270 Views
Uzi mfupi tu! Nauliza, ni nani hayupo tayari kuishi na mwenzake kati ya Muisrael na Mpalestina. Kuna ugumu gani hizi jamii ziishi kama nchi moja ili mgogoro huu uishe. Yaani Wapalestina wawe...
10 Reactions
109 Replies
3K Views
Kwamba Mgambo wanapigana na Jeshi la Israel ft USA kwa zaidi ya mwezi mmoja bila kusalimu Amri? Kama hawa ndio Mgambo, basi Africa bado tuna safari ndefu sana Nawatakia Dominica Njema 😀
27 Reactions
209 Replies
9K Views
Neno Corona, hakika sitakuwa nimekosea nikisema linatawala vinywani mwa wanadamu kwa sasa kuliko maneno mengi tunapoongelea magonjwa ya mlipuko. Hii imetokana na uzito wa maradhi yenyewe, hasa kwa...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Attending an official funeral to pay tribute to the bodies [emoji736]of 5 military generals and [emoji736]50 Israeli officers, soldiers, and conscripts who were killed during the last 5 days of...
7 Reactions
72 Replies
4K Views
Urais wa Mwanasoka wa zamani na Mwanasiasa wa Liberia, George Weah uko shakani kutokana na Kura za Marudio kuonesha anazidiwa na mpinzani wake Joseph Boakai Hadi sasa inaripotiwa kuwa Matokeo ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa hawachoki, yaani ndio kama wanaanza vile.............. Clashes involving armoured vehicles and heavy weapons continued between the Sudan Armed Forces (SAF) and Rapid Support Forces (RSF)...
2 Reactions
98 Replies
4K Views
Vita dhidi ya Hamas inaigharimu Israel dolla za kimarekani 260 milioni kila siku (sawa na 260,000000 x 2500 = 650,000,000,000 TZ sh). Hii imeelezwa na Idara ya fedha ya nchi hiyo. Hiki ni kiwango...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Kila kitu kina mwisho wake, HAMAS waliofanya hospitali kuwa makao makuu yao ndio mwisho wao sasa, makomando wa Israel wameanza kuingia kiaina fulu mpambano....yaani movie. Israel’s military has...
13 Reactions
125 Replies
6K Views
Israel kamatia hapo tu... Hauwezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia, amini usiamini itakupa tabu...Bahati Bukuku https://www.youtube.com/watch?v=vbRCT38Y-Gs Nearly 300,000 people rallied...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
In economic front Nigeria beats Iran by far Nigeria is a quarter more GDP than Iran Wana njengo kifupi Nigeria ni tajiri kuliko Iran kiuchumi!! Viva nigeria
1 Reactions
58 Replies
3K Views
Nigeria ilituma maombi ya Kujiunga BRICS na Kukataliwa Kwa sababu za Kisiasa.Sasa imetuma maombi ya Kujiunga na G20 kundi la Mataifa yenye Uchumi mkubwa Duniani. Je watakubaliwa au watachinjiwa...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Taasisi ya kwanza ni Zionists ama Wayahudi. Hawa ni nambari Wani. Tunakumbuka walivyompokea Yesu akiingia Yerusalemi. Walidiriki hata kumtandikia kanga apite juu asikanyage ardhi tena akiwa juu ya...
1 Reactions
11 Replies
771 Views
Back
Top Bottom