Nafikiri huu ndio wakati wa wakatoliki kusilimu au kurejea kwenye dini za mababu.
Sisemi kuwa miongoni mwa waislamu hakuwa watu wanao fanya mambo hayo? La haha! Mambo hayo yanafanywa na watu wa...
Ikiwa sasa imepita takribani masiku zaidi ya thelathini ya kushindana kumwaga damu za wasio na hatia kwa pande zote, basi nimekua nikifatilia na kutafakari jinsi haki inavyotafutwa hasa kwa hii...
Israel wakikubali kusitisha mapigo kwa walau siku tatu, mateka 15 wataachiwa huru.............
Negotiations are continuing between Israel and Palestinian group Hamas, mediated by Qatar in...
US President Joe Biden speaks to United Auto Workers at the Community Building Complex of Boone County, November 9, 2023, in Belvidere, Illinois. (AP Photo/Paul Beaty)
US President Joe Biden...
Nauliza tu ndugu Zangu huu Ukatili tunaoushuhudia unamtoa machozi kila Mwenye Mapenzi mema
Hawa ni mayahudi au machotara kwa sababu Wayahudi wa zama za Kati walikuwa na Huruma kidogo
Mungu wa...
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema kuwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ndiye atakayelipa gharama ya "mauaji" ya Israel huko Gaza, shirika la habari la Anadolu limeripoti. "Kwa sasa, kati...
Erling haaland ametoa ujumbe mzito na wa waziwazi kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina akisema kwamba "haistahili watoto wasio na hatia kufa".
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Kwa Madiba kuna mambo,
Jamaa amefanya kitendo cha kinyama sana kuutoa uhai wa mtu mwingine bila hata chembe ya huruma
Muuaji alikua na bifu na Marehemu na alimfuata mpaka sehemu ya kazi...
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa...
Nimeona watu wengi wakitoa historia uchwala. Wengine wakijaribu kulazimisha kwa kuweka baadhi ya vifungu/ aya za kwenye bible. Tujiulize kwa akili ya kawaida tu, wazungu wamefikaje mshariki ya...
Malema kamkosoa Ruto akiwa humo humo ndani ya Kenya na kusemea ahadi alizoahidi Ruto wakati wa kampeni.
Ikumbukwe Malema ni raia wa South Afrika ila ameamua siasa zake zivuke mipaka ya nchi...
Macron kwenye mahojiano na bbc amewaomba waisrael wasitishe mauwaji ya wanawake na watoto huko gaza
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za...
Hapa chini ni orodha ya nchi tano zenye uelewa mpana wa lugha ya kiingereza barani Afrika.
https://africa.businessinsider.com/local/lifestyle/5-best-english-speaking-countries-in-africa/pv1ks82
John Obi Mikel: "My dad got kidnapped while I was playing for Nigeria at the 2018 World Cup in Russia."
"We were about to play against Argentina. Two hours before the game I got a phone call from...
Wana Bodi,
Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!
Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?
Na kwanini usiichukie Israel kwa...
Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa
Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye...
Liberals na policies zao za kufungua dunia. Immigration policies mbovu za mataifa haya kwa kudhani kupokea watafutao maisha bora, asylum na hifadhi kwamba wata adapt na misingi ya west kumbe...
Nchi za D8 zataka kutumia sarafu ya taifa katika biashara zao
Katibu Mkuu wa kundi la nchi 8 za Kiislamu zinazostawi maarufu kwa kifupi kama D8 amesema nchi wanachama zinafanya jitihada za kufikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.