International Forum

News and Stories from rest of the World
Historia inaonyesha kuwa madola koloni yalipokaribia kudondoka, yaliingia vitani. Kadhalika Marekani iko kwenye kadhia hii. Imekuwa ikisaidia vita Ukraine na sasa Mashariki ya Kati. Inamwaga...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Mukhtasari wa kauli ya Kansela wa Ujerumani Scholz na Raisi wa Ufaransa Macron katika Franco-German meeting jijini Humburg #Ujerumani na Ufaransa inakemea vikali mashabulizi ya kigaidi ya Hamas...
1 Reactions
9 Replies
516 Views
Ni jana tu wapalestina walishangilia na kufurahi uvamizi kwenye ardhi teule na kuua wateule na wengine kuwateka. Sasa hivi ni vilio husikii tena nderemo. Licha ya vipondo vimekatiwa umeme na maji...
29 Reactions
296 Replies
21K Views
Huu ni umati wa Mayahudi wakiwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben Gurion wakitoroka mapigano kati ya Hamas na serikali ya kizayuni ya Israel. Hatukutarajia kuona scene km hii Kwakuwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mkuu wa taifa la Iran Ayatollah Ali Khamenei amesema nchi yake haihusiki kwa namna yoyote na Mashambulio ya Hamas dhidi ya Israel Source Al jazeera
1 Reactions
2 Replies
667 Views
Zoezi hilo linafanyika kwa kukamilisha kipindi cha kwanza cha miaka 6 cha utawala wa aliyewahi kuwa Mwanasoka Bora wa Dunia wa FIFA mwaka 1995, George Weah ambaye aliingia Madarakani mwaka 2017...
0 Reactions
3 Replies
891 Views
Lt Col. Alim Abdallah, is a Muslim and he got killed today fighting for ISRAEL. But some Illiterates are busy burning Israel flag because of religion. Before the coming of Christianity or Islam...
1 Reactions
2 Replies
939 Views
Barua hii nimeitoa Ukurasa rasmi wa ofisini ya Serikali kuu mtandao wa X na nitaiweka kama ilivyo na nitaiweka kwa tafsiri ya kiswahili kwa msaada wa Google Translator. Naomba radhi kwa namna...
12 Reactions
101 Replies
9K Views
Wamasai wameishi Ngorongoro maelfu ya miaka, wameondoshwa ili wapishe wageni, Mwaka 2100 Mmasai akirudi Ngorongoro wageni wana haki ya kumuita mmassai ni mvamizi? ndivyo ilivyo nao waisrael...
13 Reactions
48 Replies
3K Views
Majasusi waliokuwa wakitazama taarifa ya Habari katika chumba cha Hoteli, waligonganisha glasi na kushangilia "Ndiyo" alisema mmoja wao. "Alifanya hivyo!" "Alifanya hivyo!" walikuwa wakimtazama...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Siku ya leo ni siku muhimu sana kwa nchi za Afrika ya Kati yaani Msumbiji, Malawi, Zambia na Zimbabwe kwani nchi hizi zitaanza kupitisha mizigo yake kwa kutumia reli fupi ya Nacala kuzifikia nchi...
17 Reactions
56 Replies
3K Views
Wapiganaji 4 wa Kikundi cha wanamgambo wa Hezbollah wa Lebanon wameuawa baada ya makombora ya Israel kuvurumishwa kuelekea huko. Hayo yanajili ikiwa ni baada ya wanamgambo hao kurusha Marocket...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Rais Joe Biden kwa muda wa siku mbili zilizopita alishiriki katika mahojiano ya hiari na wakili maalum Robert Hur kama sehemu ya uchunguzi wake wa nyaraka za siri, Ikulu ya White House ilitangaza...
0 Reactions
3 Replies
590 Views
Watu zaidi ya alfu mbili wameangamia kutokana na tetemeko la ardhi Na maafa yanazidi kuongezeka Afghanistan ni nchi ya kidini
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Ujumbe wa faili la sauti ya mateka wa Israel anayeshikiliwa na wanamapambano wa Palestina. Katika kipindi cha sasa kiwingu cha kiwewe cha kisiasa na kijeshi kinaendelea kutanda katika ardhi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Kufuatia vita vikali kuwahi kushuhudiwa inayo endelea kati ya Israel na kundi la hamas, Israel meomba msaada wa silaha kutoka Marekani ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa silaha unao ikabili ili...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Jihad al Islami: Kambi ya muqawama haitoruhusu adui kuwa na utulivu Msemaji wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amegusia mazungumzo yaliyofanyika baina ya wakuu wa kambi ya muqawama huko...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Kufuatia shambulizi la Wanamgambo wa Palestina dhidi ya Taifa la Israel lenye Jeshi kamili,je nguvu za Israel zimeanza kupungua?,au Marekani imeacha kuilinda Israel.
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Wajuzi wa mambo mnaofatilia, bila shaka mtakubaliana na mimi kua haya mashambulizi ya leo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa na yamesababisha Casualties kama vifo vya wanajeshi pamoja na vifaa...
8 Reactions
102 Replies
11K Views
Back
Top Bottom