International Forum

News and Stories from rest of the World
Confucius (551-479 KK) Confucius ni mwanafalsafa maarufu zaidi wa kichina. Confucius (551 - 479 KK) alikuwa mwanafalsafa na mwanasiasa wa kichina katika kipindi cha masika na kipindi cha...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkosoaji mkubwa wa rais wa Urusi, Alex Navalny amelalamikia kitendo cha walinzi wa gereza aliloshikiliwa kumlazimisha kusikiliza hotuba ya Rais Vladimir Putin kwa muda wa siku mia moja mfululizo...
18 Reactions
30 Replies
3K Views
Picha huzungumza vizuri zaidi, hasa kama ikipigwa bila mtu kujua anapigwa picha!! Kwenye picha hii Zelensky anaonekana kuduwaa, kushangaa, haamini kama kikao kimekwisha na wajumbe wote wako bize...
15 Reactions
45 Replies
4K Views
Ili Ukraine ijiunge na NATO inabidi vita kati yake na Urusi ikome. Na kwa Tafisiri ya UKraine ambayo NATO wataitumia kuamua kama vita imekoma ni kuona Crimea na majimbo mawili ya DONBASS yamerejea...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Nyaraka hizo za siri za pentagon zilizovuja zimeonyesha hali ya vita Ukraine hasa kwa upande wa maendeleo ya silaha za marekani zilizokuwa uwanja wa vita. Nyaraka hizo zimeeleza kuwa Russia...
10 Reactions
71 Replies
6K Views
Russia anatakiwa kukutana na wendawazimu kama Finland, hao ndiyo hata yeye Russia anawagwaya. Mwaka 1939 aliivamia Finland ili kuitanua himaya yake ya Soviet, pamoja na uhodari wa Jeshi lake na...
26 Reactions
102 Replies
9K Views
Kampuni ya Mercedes-Benz, Ijumaa ya Mei 20, 2022 iliweka rekodi ya kuuza gari la gharama zaidi Duniani, ambalo ni Mercedes-Benz 300 SLR ‘Uhlenhaut Coupe’ ya mwaka 1956 kwa kiasi cha dola milioni...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Haya makombora ya "Storm Shadow" ni habari nyingine. A high-ranking Russian general has been killed in Ukraine’s Zaporizhzhia in an airstrike carried out using British-supplied Storm Shadow...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Uasi uliomtetemesha Putin ulipoisha kumekua na matukio ya watu kutoweka huku uchunguzi ukiendelea, mpaka sasa majenerali wawili hawafahamiki waliko, japo mmoja (Sergei Surovikin) inasmekana...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amesema jaribio la uasi wa Wagner nchini Urusi limemdhoofisha Rais wa nchi hiyo Vladimir Putin Trump ambaye kwa muda mrefu amekua akivutiwa na rais wa...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Hii ni orodha ya nchi sita zenye pato kubwa katika Afrika na nchi maskini sana katika Afrika. https://a-z-animals.com/blog/richest-countries-in-africa-today-ranked/ Did you know that the highest...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Katika kile kinachoonekana Uturuki kutamani sana na kuumizwa sana kwa kuwekwa mkwamo kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya, Rais wa nchi hiyo Erdoğan sasa ameamua kutumia turufu yake dhidi ya Sweden...
12 Reactions
137 Replies
6K Views
An opponent, deputy, and former minister of the Democratic Republic of Congo (DRC), Chérubin Okende, part of the party of presidential candidate Moïse Katumbi, was found dead Thursday in Kinshasa...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Waliopotea ni wahamiaji kutoka Afrika ikidaiwa boti yao iliyokuwa ikitokea Tunisia kuzama baharini ikiwa ni ajali ya tano ya boti ndani ya siku mbili, watu saba wakithibitika kupoteza maisha na...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Raia wa Nigeria, Tembu Daniel maarufu kama ‘Towncryer’ ameshindwa kufikia lengo lake la kuweka rekodi ya dunia kwa kulia kwa saa 100 mfululizo ambapo amekomea saa 6 na sekunde 42. Ash
5 Reactions
9 Replies
851 Views
Mapema mwezi huu, Serikali ya Japan ilitangaza mwongozo mpya kuhusu matumizi ya akili bandia (artificial intelligence -AI) kwa vyuo vikuu, ikilenga; kusaidia walimu na wanafunzi kuelewa sifa za...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Takwimu zinaonesha kiwango hicho kimeshuka ndani ya kipindi cha miaka mitatu tangu alipotoa kauli za kukosoa na kupuuza mamlaka za fedha za China pamoja na Benki. Ripoti ya Mabilionea ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hiki kinacho endelea ndani ya nchi zidi ya rais mstaafu Joseph Kabila. Mimi kwangu naona safi kabisa ikiwezekana Felix amuweke ndani hata kwa kesi ya uongo Joseph Kabila ndiye alikimbiza moise...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
1) Alifanikiwa kuwapunguzia au kuwafuta kabisa Watu wanao unga mkono maadui wa Russia (Fifth column) wakati inchi ikiwa kwenye migogoro au vita. 2) Aliwatuliza wana jihad wa Chechnya ambao...
23 Reactions
33 Replies
3K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo ameidhinisha kurejeshwa kwa Julian Assange nchini Marekani ambapo mamlaka nchini humo zinamtafuta kuhusiana na nyaraka zilizofichuliwa na mtandao huo mwaka wa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom