Kumekucha pale Moscow, walio sema kulikuwa na Move inachezwa hope walikuwa sawa.
---
Russian President Vladimir Putin met mercenary leader Yevgeny Prigozhin after the failed Wagner group mutiny...
Urusi ilidai kuwa sababu kuu za kujaribu kuparamia Kyiv ilikua ili kuzuia Ukraine kujiunga NATO, kwamba hairuhusu majirani zake waingie NATO, sasa mpaka hapo Finland wamejiunga NATO, haya Uswisi...
Kitendo cha Viongozi wa NATO kudai Ukraine inapaswa kujiunga na Muungano wa Kijeshi wa Umoja huo siku zijazo bila kutaja muda, kimemfanya Rais Volodymyr Zelenskyy kukosoa mchakato huo dhidi ya...
Lango la Bosphorus, maarufu kama Istanbul Strait, ni njia nyembamba na asili ya maji iliyoko katika jiji maarufu Istanbul nchini Uturuki.
Uchochoro au mkondo huo unaunganisha bahari Nyeusi (the...
Hi every one!
Duniani kote kuna watu wanajifanya ma-inspire,, yaani wanasimulia walivyoaswa na kufanikiwa katika maisha.Lakini sijawahi kumsikia mtu akimzungumzia Trump.
Raisi Trump alipotangaza...
Wageni huwasha taa kuonyesha upendo wao kwa bonde hilo
Srinagar (Jammu na Kashmir) [India]
Baada ya kusimama kwa muda mrefu, wasafiri wa kimataifa kwa mara nyingine tena wanamiminika kwenye...
Siyo siri mzee mamvi tumemmiss sana kwenye siasa za Tanzania, kulikoni? Nani ana taarifa zake za hivi karibuni? Je ameamua kukaa kimya au ameamriwa kukaa kimya?
Hivi karibuni, serikali ya Marekani ilitangaza kuipatia Ukraine msaada mwingine wa kijeshi wenye thamani ya dola milioni 800, ikiwa ni pamoja na mabomu aina ya cluster ambayo yamepigwa marufuku na...
Kwa muda mrefu sasa nchi za magharibi zimekuwa na sauti kubwa kwenye sera na mipango ya maendeleo ya
uchumi duniani, kiasi kwamba imekuwa ni kawaida kuamini kuwa sera na nadharia za uchumi za...
Foreign visitors rekindle their love for the valley
Srinagar (Jammu and Kashmir) [India], July 9 (ANI):
After a prolonged hiatus, international travellers are once again flocking to thel...
Speaking to reporters in Vilnius, ahead of the NATO leaders summit, Stoltenberg said President Erdogan and Swedish Prime Minister Kristersson had agreed to terms to advance Sweden's NATO...
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa...
Taarifa za kusikitisha kutoka nchini Zambia zilianza kuenea wiki iliyopita baada ya mtoto wa mwezi mmoja na wiki tatu kufariki dunia baada ya wazazi wake kumwangukia wakiwa wanapigana.
Tovuti ya...
Hivi karibuni Marekani imeongoza “mkutano wa kimataifa wa demokrasia”, na kwenye mkutano huo nchi za Magharibi zimedai kutetea mambo ya demokrasia na haki za binadamu duniani. Kinachoshangaza ni...
Wakati wa masika miaka 10 iliopita, mwanaume mmoja mwenye miaka 41 kwa jina la Julian Assange akiwa amevalia mavazi ya wafanyakazi wa kusafirisha vifurushi kwa pikipiki, huku akiwa nywele zake...
Mimi naiheshimu sana nchi ya Uturuki ambako nimekaa kidogo na kuwa ni taifa lenye historia muhimu kwetu waislamu.Zaidi ya hivyo ni nchi yenye kujali sana kuwaendeleza watu wake.Hata ukisikia...
Ankara imekuwa ikifanya mashambulizi kadhaa ya kupambana na ugaidi kaskazini mwa Iraq ili kuwaangamiza magaidi. / Picha: Jalada la AA
Hasan, kwa jina maarufu Celal Kaya, aliyetambuliwa kama...
Waokoaji wa Uhispania wanaendelea na msako wa mashua hiyo karibu na Visiwa vya Canary ambapo inadaiwa haijulikani ilipo tangu ilipoanza safari zaidi ya wiki moja iliyopita.
Kundi la misaada la...
Baada ya Marekani kuiwekewa vikwazo sekta ya utengenezaji wa chips ya China, China nayo imelipiza kisasi kwa kuwekea udhibiti wa mauzo ya nje(export) kwenye madini ya gallium na germanium, hizo...
Habari za muda poleni watanganyika wenzangu Mungu atutie nguvu na atuepushe na yule mwovu.
utangulizi
Hivi karibuni Moja ya watu mashuhuri duniani na wenye fedha kutokana na ubunigu wao hasa hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.