International Forum

News and Stories from rest of the World
Urusi ndio taifa pekee ambalo limekua likipelekeshana na Marekani kichwa kwa kichwa kwenye masuala yote yakiwemo ya kijeshi tangu tangu, Marekani ilijaribu mbinu nyingi sana za kuizamisha Urusi...
5 Reactions
42 Replies
3K Views
(1) Kalenda ya Korea Kaskazini inategemea mwaka wa kuzaliwa wa mwanzilishi wa nchi hiyo, Kim Il-Sung. Mwaka huu 2023, Korea Kaskazini itaadhimisha mwaka wa 112, kwa vile Kim Il-Sung alizaliwa...
11 Reactions
23 Replies
3K Views
Kila mwaka, Mei 9 Warusi husheherekea ushindi wao kwenye vita vikuu vya pili vya dunia, huwa na mbwembwe kama zote za kutunisha misuli, mwaka jana kwenye hotuba ya sikukuu, Putin alibwatuka...
3 Reactions
45 Replies
2K Views
Wamewahishwa kuleeee. ========= The Somali National Army (SNA) says it has killed dozens of Al-Shabaab fighters in a morale boost against the militant group. Haradhere District Commissioner...
1 Reactions
6 Replies
584 Views
Wakati west wakiendelea kuhakikisha vita haviishi na watu hawapatani China yeye kaendelea kupambana kuhakikisha walio gombana wanapatana! Urusi yeye kaamua kuhakikisha anasaidia majirani zake...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Huko DRC Tembo Kavamia Makazi kakuta Gongo lita 200 kanywa Nakulewa sasa Wanakijiji waliokuwa wamekimbia sasa Wanaburudika na Kupiga Picha.
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Al Shabab wamepiga marufuku kutengeneza na kula sambusa - Somalia. Hii ni kutokana ina shape ya pembe tatu, yaani ni kiwakilishi cha Ukristo (Utatu Mtakatifu/Trinity) Hichi kitu kimenishangaza...
45 Reactions
434 Replies
16K Views
Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani Mei 1, 2023 inasema Nchi hiyo itaondoa lazima ya Chanjo kwa wasafiri wote wa Kimataifa wanaoingia Nchi hiyo kuanzia Mei 11, 2023. Hii inafuatia amri ya...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Singapore,China na sasa India ni miongoni mwa Nchi barani Asia ambazo zinapose jeuri ya kutaka kuwa Nchi zenye chumi kubwa duniani ndani ya miaka kumi ijayo! Uchumi wa China unatarajiwa kuizidi...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
A Chinese research team has successfully completed the country's first full-size superconducting test run for an ultra-high-speed magnetic levitation (maglev) train, which, once completed, will be...
19 Reactions
135 Replies
8K Views
Walalamika kila siku wanapoteza wanajeshi elfu, haivumiliki tena maana Urusi haiwapi silaha ipasavyo, wametelekezwa.....wamechoka maana wazalendo wa Ukraine bado wanatembeza kichapo, yaani ndio...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema pendekezo la kuhamisha makao makuu ya Umoja wa Mataifa kutoka New York hadi nchi nyingine ni wazo zuri na linafaa kuzingatiwa. Sergei Lavrov, ambaye yuko...
32 Reactions
92 Replies
6K Views
Huu umoja ni kama muunganiko fulani wa kigenge cha kahawa na wapiga soga tu. Umeshindwa kumaliza au kutatua changamoto za msingi za bara hili. Vita vimekuwa haviishi hapa Africa, baadhi ya sehemu...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Tusichanyanya mafile, hatuzungumzii biblia bali tunazungumzia uenyeji wa ardhi husika Tuliza kicha tafakari hili swali Hivi mfano pale Mecca pangevavamiwa na wagiriki kisha waarabu wa hapo...
11 Reactions
120 Replies
4K Views
Leo naomba niwe newtro kidogo. Sorry pro-west wenzangu. Miaka ya 1900+ kama sjakosea, USA alisaidia kuunusuru uchumi wa russia kwa kuhofia russia angeuza tech ya nuke. ili kukabiliana na makali...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
Katika ziara ya kushtukiza rais wa Urusi Putin ametembelea eneo la vita la Lugansk kukagua operation ya kivita inao endelea! Hii ni baada ya kutembelea crimea na maeneo mengine yaliyo jiunga na...
11 Reactions
72 Replies
5K Views
Mapacha walioungana, Lupita na Carmen Andrade waliozaliwa nchini Mexico na kukulia Connecticut nchini Marekani, wamezua gumzo kubwa baada ya mmoja kati yao kueleza kwamba yupo kwenye uhusiano wa...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
An 11-year-old girl who was allegedly raped by her brother gave birth at home, and now he and their parents are facing criminal charges. The girl gave birth to a boy in a bathtub in St. Charles...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Watu wawili wameuawa ikiwa ni matokeo ya mashambulizi kutoka Ukraine yaliyokilenga kijiji kimoja ndani ya mkoa wa Bryansk ndani ya Urusi. Hayo yamesemwa na Gavana wa mkoa huo kama alivyonukuliwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom