Bila huruma U.S.A. imeanzisha harakati za kuipindua Serikali ya Sudan miezi miwili tu baada ya Sudan kufikia makubaliano na Urusi kuanzisha kituo cha kijeshi.
15 APRILI 2023
Miezi miwili...
Shambulizi la Ndege isiyokuwa na Rubani ya Ukraine imeshambulia hifadhi kubwa ya mafuta katika kambi ya wana anga wa Urusi ya SEVASTOPOL katika rasi ya Cremia mda huu.
Mayor wa mji huo amesema...
Juzi Mhe Rais Paul Kagame akiwa ziarani huko Benin ametaja kuwa mgogoro wa DRC na M23 chanzo chake ni wakoloni kumega ardhi ya dola ya kale ya Rwanda na kuzipa nchi jirani.
Bw. Kagame ametaja...
Elimu ni kitu cha maana sana....
Somalia’s President Dr. Hassan Sheikh Mohamud has joined the club of Africa’s most educated presidents after attaining a Ph.D. in peace studies.
Other presidents...
Israel new proposal law banning spread of Christianity in Israel
Legislation, if passed, would send violators to prison for 1–2 years
Forbidden to talk about Jesus": shock proposal in Israel...
Mahakama Nchini Zimbabwe imetoa hukumu hiyo dhidi ya Jacob Ngarivhume kutoka Chama cha Transform Zimbabwe kwa kuitisha Maandamano ya kupinga Serikali.
Ngarivhume alikamatwa Julai 2020 baada ya...
Europe Reveals a suicidal plan and map to break Russia into 41 new countries
27 APRIL 2023
Gunther Fehlinger, Chairman of the Austria NATO non-governmental organization (NGO), publicly...
Mwanaume mmoja raia wa Uholanzi anadhaniwa kuzaa watoto zaidi ya 550 kulingana na mbegu za uzazi alizotoa na hivyo kuamriwa kuacha kutoa mbegu hizo.
Kuna uwezekano kwa mwanaume huyo Jonathan M...
Jonathan M. (41) anaweza kutozwa faini ya zaidi ya €100,000 (£88,000) iwapo atajaribu kuchangia tena
Alipigwa marufuku kuchangia Kliniki za uzazi nchini Uholanzi mwaka 2017 baada ya kubainika...
Robo ya Wamarekani wanalala na njaa
Apr 23, 2023 07:04 UTC
[https://media]
Robert F. Kennedy anayewani kuwa mgombea rais wa Marekani amesema hali ya kiuchumi na kijamii katika nchi hiyo ni...
NEW Delhi April 28
A former member of the US House of Island who is running for the Senate next year, Bob Lancia
Representatives from Rhode has released a video message expressing his excitement...
Je una habari kwamba baadhi ya nchi zenye waislamu wengi barani Afrika kama Libya, Algeria na Tunisia ndizo zinazoongoza kwa unywaji wa pombe katika Afrika?
Hebu soma hapa chini...
Ahmad Shams ni mfanyabiashara aliyekimbia vita vya wenyewe nchini Lebanon takriban miaka 17 iliyopita.
Akiwa Sudan alifanikiwa sana kibiashara baada ya kuanzisha mkahawa karibu na uwanja wa...
Grereza la Kober analoshikiliwa aliyekuwa rais wa Sudan, Omar Albashir limevunjwa na mahabusu wote kukimbia. Vikundi vinavyopigana kila kimoja kinaonesha kutokuwa na uhakika wa sehemu alipo...
Lu Shaye, balozi wa China nchini Ufaransa ametoa kauli kwamba mataifa ya zamani yaliyokuwa yanaunda umoja wa kikomunisti wa kisovieti (USSR) hayatambuliki kikamlifu katika sheria ya kimataifa kwa...
Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.