International Forum

News and Stories from rest of the World
Mataifa karibu yote duniani yenye raia zao Sudan wanashindana kuwakimbiza nchini humo. Imekuwa kama ni siasa kuwahi kuwaondoa raia hao kwa mbinu tofauti. Nchi inayochelewa kufanya hivyo kama...
7 Reactions
113 Replies
5K Views
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema wanajeshi wa Urusi wamefanikiwa kuzidhibiti wialya tatu zaidi kwa upande wa magharibi mwa mji mji wa Bakhmu Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema wanajeshi wa Urusi...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Siku tatu tangu maafisa wa Ubalozi wa Marekani kuhamishwa kwa helikopta za jeshi na kupokelewa nchini Saudi Arabia kwa vishada vya maua,wale raia wapatao 16000 wengi wao wakiwa raia pacha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilikumbwa na mabishano makali kati ya Urusi inayoshikilia urais wa zamu wa Baraza hilo na mataifa ya Magharibi yanayoilaani kwa uvamizi wake dhidi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
𝐻𝑎𝑏𝑎𝑟𝑖𝑛𝑖 𝑧𝑎 𝑀𝑢𝑑𝑎 ℎ𝑢𝑢 𝑤𝑎𝑛𝑎 𝐽𝐹 𝑤𝑒𝑛𝑧𝑎𝑛𝑔𝑢. 𝐻𝑖𝑖 𝑀𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑛𝑖𝑛𝑔𝑒𝑓𝑢𝑟𝑎ℎ𝑖 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 𝑖𝑤𝑎𝑝𝑜 𝑖𝑛𝑔𝑒𝑐ℎ𝑎𝑛𝑔𝑖𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑢 𝑤𝑒𝑛𝑦𝑒 𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑎 𝑘𝑢ℎ𝑢𝑠𝑢 𝑚𝑎𝑠𝑢𝑎𝑙𝑎 𝑦𝑎 𝑑𝑖𝑝𝑙𝑜𝑚𝑎𝑠𝑖𝑎 𝑧𝑎 𝑘𝑖𝑚𝑎𝑡𝑎𝑖𝑓𝑎, 𝑛𝑎 𝑠𝑖𝑦𝑜 𝑤𝑎𝑝𝑖𝑔𝑎 𝑠𝑡𝑜𝑟𝑖 𝑧𝑎 𝑣𝑖𝑗𝑖𝑤𝑒𝑛𝑖 𝑎𝑚𝑏𝑎𝑜 𝑛𝑖...
20 Reactions
177 Replies
7K Views
Rais huyo wa Marekani mwenye miaka 80 ametangaza nia yake leo Aprili 25, 2023 licha ya utafiti ulifanywa na Kituo cha Runinga cha NBC kuonesha 70% ya Wananchi hawataki Biden agombee tena Urais...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Shirika la Afya duniani linasema kuna hatari kubwa ya magonjwa ya mlipuko kutoka Sudan na kusambaa kwingine. Wanamgambo wa RSF wametwaa maabara ya kitaifa yenye sample mbalimbali za magonjwa...
0 Reactions
1 Replies
329 Views
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe. Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo...
19 Reactions
211 Replies
10K Views
Majenerali hasimu nchini Sudan wamekubali kusitisha mapigano kwa siku tatu, waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken alisema Jumatatu, baada ya siku 10 za mapigano katika maeneo ya mijini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kongo tunahitaji kiongozi mwenye akili kubwa saana. Uongozi wa kibabe bila akili ni matumizi mabaya ya muda Leo hii kagame anatusumbuwa kwasababu anatumia akili kubwa kutengeneza vikosi vya waasi...
0 Reactions
0 Replies
363 Views
Raia wa Uchina anayefanya kazi katika mradi wa umeme wa maji amekanusha madai yaliyotolewa na wafanyikazi wenzake wakidai alikufuru kwa kutoa maneno ya kashfa kwa Mungu na Mtume Mohammed hali...
3 Reactions
12 Replies
974 Views
Idadi ya Nchi zinazowahamisha raia wake kutoka Sudan inazidi kuongezeka kutokana na mapigano yanayoendelea kuwania madaraka katika Jiji la Khartoum. Baadhi ya mataifa yanayoondoa raia wake ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Fox News, kampuni kubwa ya habari huko Marekani ya mrengo wa kulia imekubali kulipa kitita cha dola za Kimarekani milioni 787 kwa kampuni ya Dominion Voting Systems inayohusika na kutoa huduma za...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Walianza kama utani kulaumiana nani kaboronga kwenye shughuli ambayo imekwama kwa sasa, ghafla wakaanza kufyatuliana risasi na baadhi kuuawa maeneo ya Stanytsia Luhanska. Nasemaje!!! Safi sana...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Tangu Urusi iivamie Ukraine mwezi February mwakajana bila uhalali wa sababu, wananchi, hata wale ambao mwanzoni waliona maamuzi hayo ya Putin hayawagusi moja kwa moja, sasa taratibu kila mmoja...
22 Reactions
145 Replies
6K Views
Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwanasiasa mwingine akiri: Marekani iliunda kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) Apr 21, 2023 08:22 UTC [https://media] Mwanasiasa wa Marekani ambaye ametangaza nia yake ya kugombea katika uchaguzi...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Hizbullah: Tutatumia nguvu za kijeshi ikiwa Israel itachimba mafuta na gesi kabla ya kufikiwa mwafaka Oct 07, 2022 11:42 UTC [https://media] Mwakilishi wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Urusi ilibugi sana kwa kushindwa kutekeleza malengo ya kuiteka Kyev pale mwanzo, sasa kinachofata ni aibu tupu maana tayari wamekwama Bakhmut, wameshindwa kuteka hako kamji licha ya kupoteza...
12 Reactions
122 Replies
7K Views
Katibu Mkuu wa Nato, Jens Stoltenberg, amesema nchi zote wanachama zimekubaliana kwamba hatimaye Ukraine itajiunga na muungano wa kijeshi unaovuka Atlantiki pindi vita vitakapomalizika, kabla ya...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom