International Forum

News and Stories from rest of the World
Ifuatayo ni orodha ya nchi 20 zinazoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia duniani, Tanzania gesi yetu ni cha mtoto. 1. Marekani 2. Russia 3. Iran 4. China 5. Canada nk. Endelea kusoma hapa chini...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Korea Kaskazini imerusha kombora lake ambalo linaelezwa limefika katika êneo la bahari karibu na Japan, na kuzua wasiwasi wa kiusalama wa kikanda. Msemaji wa Baraza la Usalama, Adrienne Watson...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
In a bid to end US hegemony and bullying,top Arab leaders including Saudis and Iranians are meeting in China to plot ‘end’ of American global dominance.While nations are now openly challenging US...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Serikali ya Marekani pamoja na wizara ya Ulinzi na makao makuu ya kijeshi Pentagon bado wapo na kitendawili cha kutegua mtu alievujisha taarifa za siri za kijeshi kuhusu vita ya Ukraine. Hadi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
TCG Anatolia, melivita mpya ya Mturuki yenye uwezo wa kubeba helicopter nk imezinduliwa na mbabe wa kivita Erdogan na ameahidi inakwenda kuwapa ufalme wa Black Sea muda si mrefu. Kwa wenye...
2 Reactions
64 Replies
4K Views
Rais Lazarus Chakwera ametangaza idadi ya watu waliofariki kutokana na Kimbunga #Freddy nchini #Malawi imeongezeka na kufikia zaidi ya watu 1,000. Hakutoa maelezo ni kwa nini idadi ya vifo...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Katika siku za hivi karibuni viongozi wa nchi za magharibi wamekuwa wakifanya ziara kadhaa nchini China, wakitafuta njia mbalimbali za kuhimiza ushirikiano kati ya nchi zao na China. Mwishoni mwa...
0 Reactions
2 Replies
559 Views
Baada ya kupost kwamba data za siri juu ya vita ya Ukraine kuna "wamarekani wa chato" walisema zimetengenezwa na Urusi. Sasa USA orijino wenyewe wamekiri data zimevuja! NB: Lazima tujue Urusi sio...
3 Reactions
8 Replies
836 Views
Katika kile kinachoonekana kama kuchoshwa na vitendo vya serikali ya Israel, Rais Erdogan ametoa onyo kali kwa israeli na kuwataka kutokuvuka red line wanapokuwa wanapamabana na wapigania Uhuru wa...
11 Reactions
81 Replies
4K Views
[emoji1134][emoji1193][emoji845]Pictures of the k!lled IDF soldiers in yesterday's shooting operation by Palestinian Armed group. Nimeangalia hii picha nikajisikia vibaya sana even kusikitika...
11 Reactions
89 Replies
6K Views
Mongolia is a country that is not exactly at the heart of any kind of conflict. If you have heard of country, then it is probably from a book on history. If we go back, a couple of centuries we...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Tusipoteze wakati, Ukiwaambiwa watu raisi anakutana na USA, watu watalalamila USA wanaleta ushoga, Ukiwaambia tumesaini mkataba na umoja wa Ulaya watasema masuala ya ushoga, ukiwaambia naenda USA...
3 Reactions
11 Replies
711 Views
Kwa mara nyingine Marekani imekamatwa ikidukua Nchi rafiki na viongozi wa nchi hizo Uvujaji wa Siri siku za hivi karibuni umefichua umbali ambao Marekani imeenda kupata taarifa hadi milangoni mwa...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Umoja wa Mataifa unaangazia kusitisha shughuli zake nchini Afghanistan baada ya Taliban kuwazuia wanawake kufanya kazi kwenye mashirika ya umoja huo nchini humo. Taarifa iliyoachapishwa mapema...
0 Reactions
3 Replies
640 Views
Bunge la Iran limeidhinisha mapendekezo ya kutoa adhabu kali kwa wahusika wa ukatili dhidi ya wanawake, mapendekezo ambayo yanaweza kupitishwa na kuwa sheria ndani ya miezi michache. Yakianzishwa...
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Mrusi ametupia kila kitu hapo Bakhmut, "mizoga" ya Warusi kila siku inaongezeka kwa maelfu lakini wazalendo wa Ukraine wamesimama kidete, wanapambana kuingia kwenye historia kama Daudi dhidi ya...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
China imeyapa upya majina maeneo 11 yanayogombaniwa kati yake na India mwaka huu baada ya kufanya hivyo tena kwa maeneo 15 mwaka jana katika eneo kubwa la mpaka kati yake na India lenye mgogoro wa...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
LONDON, Aprili 11 (Reuters) - Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilisema Jumanne kwamba kulikuwa na "kiwango kikubwa cha taarifa kutokuwa sahihi" katika uvujaji unaoripotiwa na wengi wa madai ya siri...
1 Reactions
6 Replies
872 Views
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amethibitisha kuachiliwa kwa wafungwa wa kivita kama sehemu ya makubaliano kati ya Ukraine na Urusi. Makubaliano hayo yamefanikisha kiasi cha wanajeshi 200...
3 Reactions
6 Replies
924 Views
Wiki hii imekuwa mbaya sana kwa Marekani na ulimwengo wote wa kielektronik baada ya siri zote za Marekani za karibuni kumwagwa hadharani kwenye mitandao. Mwanzoni Pentagon ilisitasita kukubali...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom