International Forum

News and Stories from rest of the World
As local bills on gender, sexuality and diversity make their way through Florida’s state legislature, new legislation would ban any discussion of menstrual cycles in school before sixth grade...
0 Reactions
3 Replies
563 Views
Wafuasi wa Upinzani Afrika Kusini Waandamana kama Wafuasi wa Upinzani Kenya. Rais Ramaphosa aonya dhidi ya uhalifu wa Mali. --- Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amewaambia raia wa nchini...
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Hatua hiyo imetokana na mazungumzo yaliyofanyika #Mombasa kati ya Viongozi wa Kundi hilo na Rais Mstaafu wa Kenya, #UhuruKenyatta ambapo wameahidi kusitisha mapigano siku chache zijazo...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Na wataendelea kufagiwa na kufyekwa.... The Wagner Group is now resorting to hiring its fighters through recruitment hubs set up at sports centers across Russia, while representatives are...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Idadi ya waliofariki kutokana na Kimbunga #Freddy kilichodumu kwa takriban mwezi mmoja, imeongezeka hadi 522, kulingana na mamlaka nchini Malawi, Msumbiji na Madagascar. Shirika la hali ya hewa...
2 Reactions
3 Replies
612 Views
Rais Vladimir Putin wa Urusi amezuru eneo la kusini la rasi ya Ukraine la Crimea, ambalo Urusi ililitwaa miaka tisa iliyopita Shirika la habari la Urusi limeripoti kwamba Putin alitembelea...
12 Reactions
71 Replies
3K Views
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili. Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza...
7 Reactions
105 Replies
4K Views
Kuna tetesi nyingi sana jamaa anapitia hali mbaya hata ameshindwa jambo muhimu sana la kuhutubia taifa ambayo ni desturi yake kila mwisho wa mwaka... Vladimir Putin has pulled out of his "giant...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, ambayo inajiona kuwa mahakama ya kwanza ya kudumu ya kimataifa inayoshughulikia...
6 Reactions
12 Replies
965 Views
Ukweli ni kuwa Putin atatiwa kitanzi kama yule gaidi wa Iraq. Putin atawajibishwa na mahakama za nchi yake, ni muda tu. Watu wa magharibi ni watu wa mipango na wanaishi kwenye mipango yao no...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Wiki iliyopita Benki ya Marekani Silicon Valley Bank ilipatwa na bank run(watu wengi kutaka kutoa pesa benki kwa pamoja) na kupelekea kufilisika. Tena benki ya pili, Silvergate, imepatwa na kitu...
14 Reactions
159 Replies
10K Views
The former British Medical Journal (BMJ) editor Richard Smith penned an opinion piece for the journal suggesting that health research has become so corrupted and untrustworthy that people should...
3 Reactions
1 Replies
388 Views
The 70s plus must go:- 1. Paul Biya 90 2. Yoweri Museveni 78 3. Bola Tinubu 70 4. Cyril Ramaphosa 70 5. Emmerson Mnangagwa 80 6. Denis Sassou Nguesso 79 7. Hage Geingob 81 8. Salva Kiir...
0 Reactions
9 Replies
462 Views
Papa anadai kuwa takwa la mapadri kutooa lilikuwa ni la muda tu(Takwa hilo lilianza karne ya 11). Anasema hakuna utata wowote iwapo watawa wataoa. Anadai mapadri wa kanisa la mashariki wanaoa na...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Polisi wameimarisha usalama kwenye majengo yote ya makanisa baada ya kupata taarifa kuhusu tishio la waislamu kupanga kuyalipua..... Austrian police warned Wednesday of a possible...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Rais wa zamani wa Ufaransa ameitaja Ulaya kuwa bara lenye unyama mkubwa zaidi duniani, ambako vita vya kikatili zaidi hufanyika. Nicolas Sarkozy, ambaye kwa sasa ni mjumbe wa Baraza la Katiba la...
3 Reactions
4 Replies
644 Views
Dahh siyo poa mfalme Charles ameukataa mkono wa mtu mwenye asili ya Afrika hawa Jamaa ni wabaguzi.
0 Reactions
13 Replies
925 Views
Huu ni mwezi wa Matetemeko.. Nchini Ecuador watu 12 wamepoteza maisha baada kuangukiwa na vifurushi vya majengo kufuatia tetemo ukubwa wa 6.8 kwenye kipindi Cha ritcher kuipiga Nchi hiyo...
0 Reactions
4 Replies
434 Views
Ndege ya kivita ya Urusi ilijaribu kutumia anga ya Estonia kupokea mafuta angani, hiyo ni baada ya kusahau hako kataifa ka Estoni kako ndani ya NATO, ghafla ndege za Ujerumani na Uingereza...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Baada ya kutolewa kwa Hati ya kukamatwa kwa rais wa Urusi Vladimir Putin watu wengi wamekuwa na shahuku ya kujua hati hii itafanyaje kazi? Na je raisi huyu anawezaje kukamatwa huku akiwa...
18 Reactions
96 Replies
5K Views
Back
Top Bottom