Waasi ambao inadaiwa wana uhusiano na kikundi cha Oromo Liberation Army wamelaumiwa kwa kuhusika katika tukio hilo la utekaji wa wafanyakazi zaidi ya 10 wa kiwanda cha simenti kinachomilikiwa na...
MAKOMBORA 81 YALIRUSHWA NA JESHI LA URUSI NA KULENGA MAENEO MUHIMU.
Mkuu wa jeshi la Ukraine ameswma kwamba, jeshi la Urusi limerushwa makombora 81 yakiwemo makombora sita ya Kinzhal.
Makombora...
Moja kwa moja.
Mamlaka ya mji wa Berlin nchini ujerumani imepitisha uamuzi huu baada ya mwanamke aliyeondolewa kwenye bwawa la kuogelea bila nguo kuchukua hatua za kisheria.
Mamlaka zinadai kuwa...
According to The Bhutan Live, India and Bhutan share a special bilateral relationship.
Bhutan has the most significant share of the allocated budget for the Ministry of External Affairs (MEA)...
Mamlaka ya elimu nchini Malawi imezifunga shule katika wilaya 10 kutokana na wasiwasi wa usalama baada ya Kimbunga Freddy kusababisha uharibifu katika nchi jirani ya Msumbiji.
Kwa mujibu wa BBC...
Polisi nchini Malawi wamesema takriban watu 15 wamefariki na wengine 16 hawajulikani walipo kutokana na uharibifu uliosababishwa na dhoruba ya kitropiki Freddy.
Pamoja na kukatika kwa mawasiliano...
Jana ulikuwa usiku muhimu kwa ulimwengu wa sanaa ya filamu duniani. Tuzo kubwa na maarufu zaidi duniani katika sanaa ya filamu za Academy au maarufu kama Oscar Awards zilitolewa kwa washindi...
Mexico imevutiwa na muungano wa BRICS na imetoa maombi ya kujiunga.
Naona kifo cha Dola na Ubeberu wa Washington kinafuata
Watu wengi hawaelewi dhamira ya Russia kupigana kwa kurelax huko...
UNITES ARAB EMIRATES YATAMKA KUACHANA NA MANUNUZI YA MFUMO WA ULINZI WA ANGA KUTOKA ISRAEL.
Urudishwaji wa mahusiano mema kati ya Saudia na Iran umeanza kuathiri Israel mara baada ya raisi wa UAE...
Kwanini serekali wanatumia nguvu nyingi kubagua sisi watu ambao tumetoka katika mikoa ya waswali.
Yaani kukitokea mtu yeyote ambaye ametoka katika mkoa wa waswali na akawa mpinzani anapewa uraia...
URUDISHWAJI WA MAHUSIANO MWEMA KATI YA SAUDI ARABIA NA IRAN KUTAIFANYA SAUDIA KUJIUNGA NA BRICS
Saudia ina nafasi nzuri kwa kujiunga na Brics kutokana na kurudisha uhusiano mwema na mpinzani...
Wengi bado hawajaelewa kwanini Urusi hatumii Nguvu kubwa kupigana huko Ukraine anarelax hizi ndo sababu hadi mabeberu wameshamshtukia.
1. Urusi anarefusha hii vita kwa maksudi akijua ni jinsi...
Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa wa ADF, jana Machi 12, 2023 waliwauwa takriban watu 17 Mashariki mwa DRC, maafisa wa eneo hilo wamesema, siku chache tu baada ya kundi hilo lenye mafungamano na kundi...
Mimi sina mengi, hii ni taarifa kutoka kwa Pro Ukraine" kutoka huko twitter!
Pia haya makombora yana uwezo wa kubeba mabomu ya nyuklia, makombora haya yanaogopwa sana NATO/USA!
NB: Taifa...
Marekani yakiri kuwa mfumo wa Patriotic hautoweza kuisaidia Ukraine kuzuia makombora yenye kasi ya Russia
THE PATRIOTS AIR DEFENCE SYTEM WILL NOT HELP UKRAINE AGAINST RUSSIAN CRUISE MISSILES...
Buhari ametumia miaka yote serkalini kujaribu kuifanya nchi ya nigeria iwe na utamaduni wa mashariki ya kati.
Nigeria inafanya uchaguzi hivi karibuni na kwa makusudi amempa mwislamu mwenzake...
Branch Davidians lilikuwa kundi la kidini lililojiengua kwenye dhehebu la Ki-adventist baada ya Bwana Houteff kupishana na viongozi wa kisabato kwenye mambo fulani fulani. Kundi hili lilianzishwa...
Wakati Marekani imeamua kupeleka Patriot nchini ukraine ikasemekana kuwa muarobaini wa mashambulizi ya anga ya urusi nchini ukraine umepatikana!! Kumbe hakuna kitu! Patriot ni kama midoli tu mbele...
Wana siasa wakongo wanalazimisha wananchi wa Kongo kumchukia moise katumbi kwa lazima
Viwanja viwili vya Kongo vimekataliwa na shirikisho la mpira caf kuchezewa michezo ya kimataifa kwasababu ya...
Ndani ya wiki mbili Kimbunga Freddy kumesababisha madhara mbalimbali ikiwemo kusababisha kifo cha mtu mmoja kilichotokana na kuangukiwa na nyumba, kuharibu nyumba na kusababisha moja ya bandari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.