International Forum

News and Stories from rest of the World
Kwa mara ya kwanza duniani, wanasayansi wa Marekani katika Maabara ya Lawrence Livermore katika jimbo la California kupitia process ya nuclear fusion wameweza kuzalisha nishati kubwa zaidi kwa...
3 Reactions
7 Replies
757 Views
Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Sharia, Jimbo la Kano baada ya Abduljabar Nasir Kabara kukutwa na hatia ya kumkufuru Mtume Muhammad na uchochezi kupitia baadhi ya mahubiri yake, ingawa...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Katika tukio lisilo la kawaida, Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir mwenye miaka 71 ameonekana akitokwa na haja ndogo wakati wa hafla ya Kitaifa na wimbo wa Taifa ukipigwa. Kitendo hicho kinaibua...
19 Reactions
198 Replies
16K Views
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kuhutubia kabla ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Dunia kati ya Argentina na...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Nimefika hapa Qatar toka tarehe 11.12.2022 kwa ajili ya kushuhudia mechi ya France vs Morocco ila jambo moja nimeshuhudia hawa wenyeji washenzi wa tabia. Vijana toka Afrika wanadhalilishwa na...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress kimewateua wajumbe wawili kugombea nafasi ya uongozi wa chama hicho. Mshindi wa kinyangànyiro hicho atagombea urais katika uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Rais wa Sudan Kusini: Tumeshafikia makubaliano na Machar ya kuunda serikali ya umoja Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema, yeye na aliyekuwa kiongozi mkuu wa waasi Riek Machar leo wamefikia...
1 Reactions
6 Replies
994 Views
Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 20 amehukumiwa kifungo cha miezi sita baada ya kukubali kosa, awali alihukumiwa kifo kwa kupigwa mawe, lakini baada ya malalamiko ya wanaharakati na taasisi...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Naona taarifa mbili zinarushwa kwa kurudiwa rudiwa sana na Al jazeera Moja ni Rais Biden akikutana na Viongozi wa Afrika Mbili, Rais Biden akisaini Sheria ya kuruhusu Ndoa za Jinsia Moja...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Twitter yasitisha akaunti za waandishi wa habari wanaoandika habari za Musk Twitter ilisimamisha akaunti Alhamisi ya zaidi ya wanahabari nusu dazeni waliokuwa wakiandika kuhusu kampuni hiyo na...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa kweli hi hali inatisha na inashangaza sana sijui hi Dunia itakuwaje kwa vizazi vya kesho Maana Sasa tutashuhudia nyimbo na movie nyingi zikihamasisha haya mambo (CNN)President Joe Biden...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Mobior Garang mtoto wa rais wa kwanza wa Sudan Kusini, alikuwa waziri wa maji na alifanikiwa sana kuhakikisha kila mahali nchini kwake Kuna maji. Hapa bongo kwa muonekano wa huyu mshikaji hata...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
As for me I have this kind of a passion of going to a celebrity previous interview and do my analysis on how the celebrity is growing or maybe falling. I want to hear from you guys lets share...
1 Reactions
1 Replies
683 Views
Bunge la Afrika Kusini limepiga kura kumlinda Rais Ramaphosa kuondolewa madarakani. Chama tawala ANC kimemkingia kifua huku wabunge wanne tu kutoka chama hicho waliounga mkono hatua ya...
2 Reactions
10 Replies
942 Views
Tofauti na "Ngozi nyeusi" wengi tunavyoamini au kuaminishwa, Hakuna mataifa yenye waarabu yalioyo barani africa hupenda kutambuliwa kama waafrika. Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye...
12 Reactions
63 Replies
4K Views
Watoto kadhaa nchini Misri wanaripotiwa kufariki baada ya kupewa kimakosa antibiotics bandia. Katika kisa kimoja mtoto wa umri wa miaka miwili aliyekuwa na joto kali alifariki baada ya madaktari...
0 Reactions
1 Replies
450 Views
Barua ya Dkt. VG Somani, Mdhibiti Mkuu wa Dawa iliyotumwa kwa Mkurugenzi Shirika la Afya (WHO) anayesimamia Udhibiti na Sifa za Dawa imesema dawa hizo zilizingatia Viwango vyote vya Usalama. Dawa...
0 Reactions
1 Replies
435 Views
Donetsk kumewaka moto, Warusi wapoteana....viongozi wa Urusi wanasema hawajashuhudia aina hii ya mashambulizi kwa miaka mingi. MOSCOW, Dec 15 (Reuters) - Ukrainian forces shelled the...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
#AFG Taliban wamemshikilia na kumtesa mwandishi wa habari wa eneo hilo, Zabiullah Noori ambaye anafanya kazi katika Radio Takharestan katika jimbo la Takhar, Kaskazini-mashariki mwa Afghanistan...
1 Reactions
2 Replies
456 Views
Back
Top Bottom