Ukraine ilipiga kambi mbili za Urusi nchini urusi mamia ya maili kutoka mpaka wake kwa kutumia drones za enzi za Usovieti za Tu-141 zilizofanyiwa marekebisho.
Marekebisho hayo yanaonyesha uwezo...
Moja kwa Moja kwenye mada.
Kama ilivyo Ada Dunia inazidi kuwaamini wanawake huku Marais wa Kiume wakionekana Ni mafisadi wasiojali.
Hii inajili baada ya Bunge la Peru kumuondoa Madarakani Rais...
Serikali imetangaza ni tukio la kwanza la kunyongwa hadharani kwa Mohsen Shekari aliyekutwa na hatia ya kufanya uhalifu ikiwemo kumshambulia Askari kwa Kisu na kufunga Barabara
Adhabu hiyo...
Notice to Moderators:This is an important post to Tanzanians and all of humanity,please let everybody read it.Do not accept to be used as a tool in the evil being carried out against humanity...
Wanachama wa mtandao wa majambazi na makundi yenye uhusiano na shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel wamenyongwa alfajiri ya leo nchini Iran.
Vyombo vya habari rasmi vimesema kuwa...
Piga ua Zaragaza zika fukua Volodymyr Zelenskyy rais wa Ukraine lazima awe Times Person of the year 2022.
Tutamlaumu Putin kwa kumkosesha Mwamba Freeman Mbowe hii nafas. Ilishapangwa na Ilibidi...
Bunge linatarajiwa kuipitisha sheria hiyo mwezi huu Desemba 2022 ambapo adhabu yake ni kifungo cha hadi mwaka mmoja.
Sheria hiyo ikipitishwa itawahusu raia wote wazawa na wageni na piaitaruhusu...
Baadhi ya watu wanakula chakula cha wanyama wafungwao 'Pet' wakati wengine wanajaribu kupasha chakula kwenye radiator.
Haya yamesemwa na Mark Seed, mkurugenzi wa mradi wa chakula cha jamii huko...
Bunduki aina ya machine gun iliyosheheniwa kwenye juu ya gari inatumika kufanya mauaji kwa raia, serikali inapambana kumpigania "mungu" wa kiislamu kwa kuua wananchi.
Wana wamembip tu wala hajaguswa vizuri tayari keshaanza kuita vikao ndani kwa ndani, baada ya kambi za ndani ya Urusi kulipuliwa tena ndani kabisa mleee! Alishasema Urusi ikishambuliwa atafanya...
Mashambulizi ya Russia kuharibu miundombinu ya umeme in hatari asema Mayor was Kiev.
Kiev mayor warns of ‘apocalyptic’ winter
Be prepared to evacuate but don’t panic, Vitaly Klitschko tells...
Msanii huyo wa Afrobeats amekamatwa kwa madai ya ulaghai baada ya mamilioni ya dola yaliyokusudiwa kuwasaidia vijana wasio na ajira kuanzisha biashara kuripotiwa kupotea.
Msanii huyo ametajwa...
Mdemokrati Raphael Warnock Amemshinda Uchaguzi wa marudio wa kiti Cha Useneta katika Jimbo lililokuwa na ushindani mkali la Georgia siku ya Jumanne,na kuongeza udhibiti wa Chama chake katika Jimbo...
Putin drives over repaired Crimean Bridge (VIDEO)
The strategic landmark was damaged by a massive explosion that Moscow blamed on Kiev
President Vladimir Putin visited the Crimean Bridge on...
Aminu Adamu (24) alikamatwa kutokana na ujumbe wa Twitter ambapo anadaiwa kumtuhumu mke wa Rais kwa kutumia vibaya pesa za umma na kushtakiwa kwa kueneza habari za uongo
Kukamatwa na mashtaka...
Kuna mliokua mkikejeli madubwana yaliyopelekwa Ukraine ya kulinda dhidi ya drones, mkachekelea kwamba hayana kazi, haya hapa matokeo yake, drones zinapigwa chini hamna hata moja inamudu kupita...
Charles Michel, Rais wa Baraza la Ulaya, amekutana na kuzungumza na Rais Xi Jinping katika ziara yake rasmi nchini China. Katika mkutano huu.
Michel alimwomba Xi kutumia ushawishi wa Beijing kwa...
Sheria za kiislamu za wanaume kuhangaika na nywele za wanawake, zitaondolewa na pia kikosi kilichokua kinafukuzia nywele za wanawake kimevunjiliwa mbali....labda hii itapunguza maandamano maana...
Hapo juzi mataifa ya G7 yakiongozwa na Marekani yalipitisha azimio la kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya kutoka Urusi.
Katika mpango huo nchi hizo zimekubaliana kuwa bei ya mafuta ya Urusi isizidi...
Safari ya kufika Crimea bado iko pale pale, Zelensky ametembela eneo la Sloviansk ambalo lilikua limekaliwa na Warusi tangu 2014 na sasa lipo mikononi mwa wazalendo wa Ukraine.
Vita kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.