Huyu kichaa ataachiwa apigane mwenyewe.... Kuna wanajeshi wameamua liwalo na liwe hawapigani.
_________________
More Russian soldiers refuse to fight in Ukraine
Prepared to face consequences...
Mwanafunzi wa kike Debora Samuel (baadhi ya taarifa kaitwa Debora Yakubu) wa chuo cha elimu cha Shehu Shagari kilichopo Sokoto state nchini Nigeria ameuwawa na wanafunzi wenzake kwa kupigwa mawe...
Wizara ya Usafirishaji na Miundombinu Nchini Uchina imezipiga Marufuku ndege za Urusi Aina ya Boeing na Airbus Kupita kwenye Anga la China kwasababu za Kiusalama.
Hii inakuja baada ya Shirika la...
Narudia tena kuuliza...wazungu wanaajenda yao kwenye mzozo wa Ukraine au ni ubinaadamu tu wa kupinga Ukraine kuonewa?
Hatimaye waziri mkuu wa uingerezani
Bwana Boris naye anamtazamo kama wa USA...
Kwa mtazamo wangu nilipenda Sana dunia ipate machungu Kama wananchi wa Ukraine wanavyopata machungu ,Jambo moja ambalo dunia haitambui tatizo lingekwisha kitambo Sana endapo Ukraine ingeamua...
Marekani imetakiwa kuhakikisha inawezesha kiuchumi suala la ulinzi wa shule za taifa hilo badala ya kutumia fedha nyingi kuisaidia Ukraine katika vita yake dhidi ya Urusi.
Ushauri huo umetolewa...
Vikosi vya Urusi vimeshambulia zaidi ya miji 40 katika maeneo ya mashariki huko Donbas na Luhansk, jeshi la Ukraine lilisema.
"Wavamizi walifyatua risasi katika miji zaidi ya 40 katika mkoa wa...
WHAT IS MONKEY POXY DISEASE?# A pandemic disease!!!!& THE ONES WHICH MAKE HEAD LINES IN CNN AND OTHER TELEVISION CHANNELS IN THE WORLD.
Tap the link below for more information from WHO Monkeypox
.
Mahakama imemhukumu Mwanajeshi wa Urusi, Vadim Shishimarin kifungo cha maisha jela kwa mauaji ya Raia. Hii ni kesi ya kwanza ya uhalifu wa kivita tangu vita kati ya Urusi na Ukraine kuanza...
Raia kadhaa wanaripotiwa wameuawa na wapiganaji waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) katika kijiji cha Beu Manyama, Beni, jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
Wengi wanaendelea kuasi na kujiunga kwenye hili vuguvugu, wakiwemo makamanda kabisa, wameona hamna haja ya kuendelea kuteseka kwenye njaa huku wakitumia zana ambazo zenyewe nyingi zimeharibika au...
Baada ya ugiriki kukamata meli ya mafuta ya Iran na kumkabidhi USA.
Iran imejibu mapigo kwa kukamata meli mbili za ugiriki ambazo zilibeba mafuta katika ghuba ya uajemi.
Ugiriki yalaani vikali...
Naomba nijue ukweli kwenye JamiiForums wengine wanasema Urusi ni nchi maskini hata Jimbo moja la marekani linazidi nchi kubwa duniani kiuchumi ambayo ni Russia.
Kama Ni hivo kwanini marekani na...
Rais wa Uturuki,Recep Tayyip Erdogan amesema nchi Yake itapiga kura ya hapana kwa nchi za Finland na Sweden kujiunga na NATO. Hilo litakuwa Pigo Kubwa kwa Finland na Sweden na mwisho wa matumaini...
Ukitilia maanani ushauri wa Henry Kissinger na kusikia kauli za kukata tamaa kwa viongozi wa Ukraine utaona ya kuwa Ukraine imeishiwa nguvu na haina tena wa kuisaidia. Hii inaweza ikawa ni habari...
Kampuni ya Twitter nchini Marekani mapema wiki hii, imepigwa faini ya Tsh. bilioni 349,050,000,000 sawa na dola Milioni 150 za Marekani, baada ya kudaiwa kutumia kinyume cha sheria taarifa za...
Ukraine imeikashifu sana ujerumani. Kisa ni kwamba ukraine iliiomba ujerumani msaada wa silaha nzito za kurusha makombora lakini mpaka sasa ujerumani haijatekeleza japo milikubali. Sasa ukraine...
Kauli hiyo imetolewa leo hii na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz wakati akihutubia kwenye kongamano la kiuchumi la dunia huko Davos.
Kauli hii inamuacha Putin na wakati mgumu sana, ukizingatia...
Baadhi ya wanaomuunga Mkono Rais Faustin-Archange Touadera wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) wameshauri Katiba kubadilishwa na kuondoa ukomo wa Ugombea Urais, ili aendelee kuwania nafasi hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.