Putin alimtumia Marekani barua kwamba akiendelea kusaidia Ukraine kijeshi asubiri kitakachotokea, Marekani amejibu kwa kutoa msaada wa kufa mtu, dola milioni 800 sio mchezo aki ya nani huu ni...
Kiongozi wa Jimbo la KwaZulu-Natal, Sihle Zikalala amesema idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mvua kubwa zilizopeleka maporomoko ya ardhi na mafuriko imeongezeka kufikia 443
Mbali na vifo...
Kundi la wezi likiwa na vifaa vizito nchini India wameliiba daraja la chuma lenye uzito wa tani 550.Tukio hili limefanyika kwenye mto wa Ara Sone jimbo la Bihar .
Wezi hao walifanikisha wizi huo...
Muda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa...
In South Africa, the week leading up to Easter is a time when people should be preparing for the holiday, but unfortunately that isn't the case. Many people were left homeless as a result of...
Kwa nini taifa la Marekani hawaoneshi silaha zao na vifaa vyao vya kijeshi. Hata maonesho yao ya gwaride la kijeshi hakuna kama wafanyavyo China na Russia. Kuna usiri gani kutoonesha. Najua humu...
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi ya Russia ni kwamba meli ya kivita ya Urusi iliyoko Bahari Nyeusi inazama.
Awali jeshi la Ukraine lilisema limeipiga mituringa
Urusi wakasema ni ajali ya kawaida...
Finland na Urusi wanachangia mpaka wenye urefu zaidi ya kilomita 1,300km
Urusi amejiingiza kwenye vita dhidi ya Ukraine akiwa na nia ya kuonyesha makucha yake kwa majirani wote, na kuwaonya...
Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia...
Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kuonyesha kuwa, mbali na kuboronga katika uzungumzaji, anazidi kupungukiwa na fahamu pia baada ya kupotea njia ya kuelekea ofisini kwake katika Ikulu ya White...
Zaidi ya miili 900 ya wananchi wa kawaida imebainika kuwepo katika Jiji la Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine baada ya kuondoka kwa majeshi ya #Russia, mingi kati ya hiyo ikiwa imeshambuliwa kwa...
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa...
Imekuwaje NATO kuingia Ukraine wakati operation ya kijeshi ya Mr. Putin ilipoanza hawakuingia sasa wameona hasara inayopatikana Ukraine ndio waingie tena kwa mikoa miwili tu, kuna nini?
Sent from...
Mei 9 hutumika kama maadhimisho ya kijeshi ya kusheherekea ushindi dhidi ya Hittler, na kawaida wanajeshi Warusi hufanya gwaride zao kwa mbwembwe na huonyesha zana zao za kivita kama mikwara kwa...
Russian military publishes Ukrainian casualty numbers
Moscow claims Kiev has lost 23,367 combatants combined from the army, national guard and foreign mercenaries
Ukraine has suffered the...
Umeshudiwa ugeni mzito nzito Kyiv Ukraine, katika kipindi hiki cha mgogoro.
Rais wa umoja wa Ulaya amefika Kyiv. Mawaziri wakuu toka Czech, Slovenia, Poland na juzi UK nao wamefika pale...
Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika...
Urusi hajapoteza chochote ktk hii vita Ukraine na NATO wamepoteza kila kitu
Ukijaribu kuangalia hasara ya kiuchumi alopata Ukraine ni takriban sawa na trilioni 1400 za kitanzania hadi sasa...
Kwa kujibu Rais wa Ukraine, wanajeshi wake zaidi ya 3,000 wameuawa. Hii ni mbali na raia wa kawaida. Russia wamepoteza si zaidi ya 1500 soldiers (according to official news). Zile takwimu za...
Russian Cargo Ships Spotted 'Going Dark' to Evade Sanctions
March 29, 2022 1:32 AM
Rob Garver
FILE - A seagull flies by a tanker near a liquefied natural gas plant on Sakhalin island outside...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.