Afrika ina idadi kubwa zaidi ya wagonjwa wa malaria duniani na jitihada zinafanywa kupunguza mzigo huo.
Malaria inasalia kuwa moja ya magonjwa hatari zaidi barani / Picha: AP
Muungano wa...
Ndugu Wana JF,
Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa.
Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane...
Kwanza niwatoe hofu kwa wale wote ambao wamepatwa na Hali hii na kudhani ya kuwa ni mambo ya kishirikina, kisayansi Hali hii inaitwa SLEEP PARALYSIS.
Sleep paralysis ni Hali ambayo inawapata watu...
Habar wakuu presha ya kawaida kwa mjamzito miez 8 huwa inacheza ngap kitaalamu
Mke wang amefanya clinic zahanat hapo hivi sasa ana miez 8 ya ujauzito presha yake inacheza 135 kwa 88 baadae...
Maambukizi ya utando wa kinywa (Stomatitis), inahusu kuvimba na uwekundu wa utando wa mdomo (oral mucosa) ambayo husababisha maumivu na ugumu wa kuzungumza, kula, na kulala. Inaweza kuathiri...
Wakuu habari ...
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mucus kwenye koo linalopelekea nitoe makohozi yenye harufu mbaya sana na kinywa kunuka sana.
Nimekwenda hospitali nikabainika tatizo la post...
Punyeto ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa...
Wakuu poleni na majukumu!
Naomba mwenye kujua tiba ya kifua iwe mbadala au ya kisasa kwa mtoto mwenye kusumbuliwa na kifua kilichosababishwa na kuvuta maji machafu wakati wa mama kujifingua...
Kuna jamaa yangu age yake ni kati ya miaka 29-30, huyu jamaa shida yake muda wote kuongea peke yake tena, muda mwingine Kwa vitendo kabisa.
Yaani huyu jamaa anaweza kuanza kuelezea mipango yake...
Jamii imetakiwa kuwa makini na matumizi ya vidonge na njia mbalimbali zinazotumiwa kwa lengo la kutoa mimba kuwa zinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya na hata kusababisha kifo.
Baadhi ya dawa...
Heri ya mwezi mpya!
Wakuu toka utoto wangu hadi umri huu, nina uoga wa ajabu sana nipandapo kwenye 'tall structures'.
Utotoni michezo ya kupanda miti mirefu, nilikuwa naogopa sana kiasi cha...
Wataalam macho yangu sehemu ile ambayo inatakiwa kuwa nyeupe yenyewe yana rangi ya uwekundu wekundu kama mvutasigara au bangi, mnywa pombe kali na hili nimeliona kwa watu wengi wa bongo.
Kama...
Habari wanajamii forum,Niende moja kwa moja kwenye mada,ninae mtoto wa kike alikuwa mzima anasikia vizuri kabisa!Sasa changamotoimekuja baada ya kwenda form five term ya pili2022Akiwa huko akawa...
Wataalamu habari!!
Hivi hii Hali ni kawaida au Mimi tu ndo natatizo
Kila nikimaliza kufanya mapenzi
Afu nikaenda kukojoa basi huwa napata maumivu fulani kwenye kichwa Cha uume kwa ndani yani...
Mwanangu wa kike mwenye miezi 6 amedevelop tabia ambayo nadhani ni zaidi ya jambo la kawaida.ameanza kutingisha kichwa kwa namna ile mtu afanyavyo kuonyesha kukataa jambo.mwanzo tuliona ni mchezo...
Ukienda kupata matibabu Zahanati/Kituo cha Afya/Hospitali ya Wilaya/ Hospitali ya Rufaa au Mkoa/ Hospitali ya Kanda na Hospitali ya Taifa Muhimbili kitu gani kina kukera ili Wizara ichukue hatua...
Mungu ameumba miti na mimea kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.