Watoto Njiti huwa kwenye hatari kubwa ya kupatwa na Vifo vya Ghafla kutokana na Sababu zisizojulikana wanapokuwa kwenye Mazingira yaliyochafuliwa na Moshi wa Sigara
Mazingira ya aina hii hudumaza...
habari wana jf!!! natumaini ni wazima wa afya.
nina ndugu yangu akikojoa mwishoni mwa mkojo unauma sana na wakati mwingine anatoa damu kidogo... ila hapati maumivu ya tumbo wala homa.
ameenda...
umri wake ni miaka 47 Kwa Sasa amekuwa akisumbuliwa na tatizo la tumbu yaani akienda hospital kupima anakutana na shida za kawaida tu kama typhoid au minyoo au vidonda vya tumbo na wakati mwingine...
Habari wana jf,
Kama kichwa kinavyosema, nimekua nikiangaika na tatizo la nywele kua nyeupe sehem za siri nimekua nikinyoa lakini bado hazibadiliki naombeni dawa
Nawasalim ktk jina la jamuhuri.
Binafsi nimekua na tatizo la kupatwa madonda ya kooni (tonsels) kwa muda mrefu sasa na hutokea pale ninapotumia vinywaji baridi wakati mwingine hunipelekesha hadi...
Mimi nina mtoto wa kiume sasa ana miezi sita. Gesi zilimsumbua sana, huku niliko tumezoea kuita mchango. Nilitumia sanaaaa dawa za hospital, ila mchango ulikua mkali sana na unajiludia malakwa...
Daktari bingwa wa afya na magoniwa ya akili wa Hospitali ya Rufani ya Kanda ya KCMC, Dk. Editruda Gamassa, amesema hivi sasa wanapokea wagonjwa wa nie wenye matatizo ya afya ya akili, zaidi ya 300...
Bila kuwachosha naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Kipindi cha nyuma kama miaka 6 hivi (2014 au 2015) nilimgonga wife akiwa katika siku zake. Kipindi hicho bado nilikuwa sijamuoa, ndio...
KWANINI UNENE(OBESITY) UNAZIDI KUONGEZEKA KWA KASI SIO TANZANIA TU DUNIA NZIMA
Somo ili linaletwa kwenu na DR KAMALA
Janga la unene au uzito uliopitiliza limezidi kuongezeka kwa Kasi sio tu kwa...
Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo...
Habarini,
Wadau hebu tujadili hili suala mara nyingi mwanamke baada ya kujifungua wengine huchelewa kuanza kupata ada ya mwezi kwa mwingine huchukua miezi kadhaa hata miaka miwili bila kupata...
Wakuu heshima kwenu
Tatizo hili silielewi kabisa; siwezi kulala chali zaidi ya dakika 10, na nikizidisha hapo napata maumivu makali ya tumbo kiasi kwamba inanilazimu niamke nikae kwanza kama dak...
Hali zenu waungwana,
Kwa atakaekuwa na ujuzi/msaada juu ya maumivu ya meno na fizi nitamshukuru mno.
Ninasumbuliwa na meno kuuma hasa ya upande mmoja wa kinywa (kulia), yanavuta mpaka kwenye...
Ndugu zangu habari za asubuhi?
Mdogo wangu wa kike kila akimaliza kuoga lazima maji yamuwashe mpaka unamuonea huruma anavyojikuna.Hata akipigwa na mvua kidogo basi inakuwa taabu kweli kweli...
Habar wadau !!!
Nimejaribu pitia majarida kadhaa uko mtandaoni zipo tafiti nyingi zinafanywa na wanasayansi kujua km upo uwezekano wa mtu mzima kuota meno km ilivyo kwa viumbe km papa.mamba nk...
Wakubwa heri ya Mwaka mpya. Pole sana na Majukumu yenu.
Moja kwa Moja bila kupoteza muda niende kwenye mada. Kuna Rafiki yangu amepata tatizo la sikio kuwa linapiga kelele sana wakati wote pia...
Mtoto aliyezaliwa kabla ya kufikisha wik 37 za ujauzito huitwa Njiti. Lishe bora ni muhimu sana kwa watoto njiti kwa sababu inachangia moja kwa moja katika ukuaji wao na maendeleo ya kimwili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.