Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Je, mgonjwa wa figo ambaye zimesha haribika na yuko kwenye dialysis huwa maisha yake yakoje? haswa mgonjwa aliye kijana na mwanaume. Je, huwa anaweza ishi maisha ya kawaida, yani kufanya mazoezi...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Wapendwa kwema? Jamani nasumbuliwa na muwasho kwenye njia ya mkojo unaoambatana na mkojo wenye harufu kali. Nimeenda muhimbili, nimepiga xray, nimeotesha mkojo(urine curlture) lakini nimeambiwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za uzima ndugu zangu, Naomba kuuliza kuna kozi za afya ambazo ukiwa na degreee sio rahisi sana kupata kazi tofauti na mtu mwenye diploma??? Au ni rahisi kupata kazi ukiwa na degree tofauti...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Salaam Wana-JF Doctor! Niende moja kwa moja kwenye mada! Mtoto wa sister yangu mwenye umri wa miaka 3 anateseka sana kwa ugonjwa ambao hapo kabla tuliamini ulitokana na kula samaki. Kwa kifupi...
1 Reactions
69 Replies
26K Views
1. Unazalisha takriban mililita 500 hadi 1,500 za gesi kwa siku, na kuitoa kwa mara 10 hadi 20. 2. Unaweza kuiwasha gesi ya kijambo kwa moto. Ina gesi aina ya methane na hydrogen ambazo zinawaka...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari Team Hii ni wiki sasa, palianza kama uvimbe mdogo (kigololi) then pakawa panawasha sn. Nilipataje? Siku moja nilitoka shamba baada ya kumalizia shughuli za shamba gafla nikaanza kusikia...
0 Reactions
9 Replies
531 Views
Nitumie dawa gani kupata nafuu maana uume umeshindwa kusimama kabisa.
14 Reactions
72 Replies
4K Views
Habari wakuu. Kuna kipind nilikuwa nahisi dalili kama maumivu chini ya kotovu na homa kali nilivyopima nikabainika nina U.T.I nikaanzishiwa Dozi, baada ya mda nikawa sawa kabisa, Ila baada ya mda...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
MAZIWA YA NG'OMBE HALISI NA UNGA WA KARAFUU NI TIBA YA MARADHI MENGI. Kijiko kidogo cha Unga wa karafuu ya kusaga changanya na glasi moja ya maziwa chemsha kwa dakika 5 Kisha Kunywa kwa kila...
16 Reactions
33 Replies
8K Views
Habari wakuu nimeandikwa dawa ya zink tablet Naomba kujua ina faida gani mwilini.
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Februari 6 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukeketaji. Mila hii ingawa inapingwa vikali, bado inaendelea kufuatwa na baadhi ya makabila. Rhobi (sio jina lake halisi) ni binti wa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Bandhugu' Nasikia hii ni dawa nzuri sana Urine therapy refers to one of several uses of urine to prevent or cure sickness, to enhance beauty, or to cleanse one's bowels. Most devotees drink...
0 Reactions
35 Replies
24K Views
Tatizo la kuharisha safarini linatatiza sana na pia huabisha. Shida hii husababishwa na sumu zilizotengenezwa na bakteria au virusi uliowameza kwenye msosi. Ni jinsi gani ya kujizuia. 1. Usile...
4 Reactions
24 Replies
16K Views
FAIDA YA KEGEL NA JINSI,YA KUFANYA MAZOEZI YA KEGEL (Wanaume) Kufanya mazoezi ya Kegel ni muhimu kwa kila mwanaume, nasema hivi kwa sababu ni zoezi ambalo kila aliyelifanya mara kwa mara ndani ya...
7 Reactions
24 Replies
8K Views
Habari wana JF, Ni muda sasa umepita hii halii siioni tena kwani kipindi cha nyuma nilikuwa wakati nikienda haja kubwa ni lazima uume usimame haswa ila kwa sasa sioni ukisimama; sasa najiulizaa...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Hebu Tazameni hii operation madaktari mtueleze ni nini hii.
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Habar wakuu nauliza madhara ya dawa ya vigomaxforte na madhara yake ni nin
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu naomba kufahamu dalili za ugonjwa wa appendex. Pia naomba kufahamu matibabu yake. Vilevile nikifahamu visababishi vya ugonjwa huu itakuwa bora zaidi Nawasilisha ======================...
0 Reactions
17 Replies
58K Views
Kama heading ilivo naombeni kujua dawa ya huu ugonjwa maana nimetumia sana cotrimazle cream inapona Kwa mda tu inarudi nisaidieni aiseee
0 Reactions
0 Replies
2K Views
pombe ni nini? pombe ni neno ambalo linajumuisha aina zote za vilevi unazozifahamu, pombe za aina mbalimbali zinatengenezwa na kutumika na jamii zote duniani japokua kuna baadhi ya dini haziruhusu...
2 Reactions
24 Replies
26K Views
Back
Top Bottom