Wakuu,
Fanyeni hivi:
Chukua ndizi Saba au nane zilizoiva kabisa.
Zioshe kwanza kwa maji Safi.
Menya (toa maganda) halafu hayo maganda weka kwenye sufuria Safi,weka maji kwenye sufuria kama lita...
Wana JF habari za Jumapili.
Naombeni msaada wenu nina changamoto ya hili tatizo kwenye picha yapata sasa kama miezi 6 yamenipata haya nimetumia kila aina ya dawa hospital nimejaribu kubadisha...
Niende kwenye Topic muhimu direct mimi King Kakaa na rafiki yangu tulie shibana sana jina Kapuni.
Rafiki yangu huyo naishi nae jirani hapa mjini ila Mkewe mwajiriwa Mkoa mwingine tofauti na...
Shirika la Afya Duniani, (WHO) limeonya kuwa Afrika inakabiliwa na hatari ya kuongezeka ya milipuko ya Magonjwa, ambayo huenea kutoka kwa Wanyama hadi kwa Binadamu kwa asilimia 60 kwa zaidi ya...
Nimefanya majaribio mwenyewe asubuhi tu nikiamka kabla sijafanya mazoezi nachemsha Maji naweka chumvi kijiko kimoja Na limau.baada ya lisaa limoja utaenda toilet kutoa uchafu.
MziziMkavu uje utie...
2010 nikiwa kidato Cha kwanza ndipo tatzo lilianza japo nilion ni Hali ya kawaida tu lakin kadiri muda ulivyoenda limekuwa tatizo sugu kwangu mpaka namalizs fomu 4 sikuwa na rafiki Wala ukaribu na...
Nadhani humu kuna wataalamu wanaweza kufanunulia vizuri juu ya kwamba mtoto anaweza kuchelewa kuzaliwa na akawa premature (amezaliwa mzazi wake akiwa kambeba tumboni kwa miezi kumi na 2 siku...
Msaada anayejua dawa ya maambukizi kwenye ulimi kwa jina la Geographical toungue kama inavyoonekana hapo kwenye picha.
Niliambiwa ni upungufu wa vitamin C, nikaandikiwa dawa za Vitamin C...
Habari Wana JF,
Mimi Ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 24 nikiwa na umri wa miaka 19 niliingia katika mkumbo wa kupiga punyeto nikajikuta nimezama humo hadi sasa huku nikifikiri kuwa...
Habari ndugu na jamaa naomba kujua kutokwa na jasho jingi wakati wa sex ina sababishwa na nini kila ninapo fanya sex baada ya dakika moja na kuendelea natokwa na jasho lingi sana kama nacheza mpira.
Magonjwa mengi ikifika usiku makali huongezeka ila kukicha tu nafuu hupatikana.
1. Jino usiku ni balaa
2. Magonjwa mengine usiku ni balaa
3. Hata Vifo vingi hutokea usiku
Naomba kujua Usiku huwa...
Wana JF Doctor,
Naomba msaada wenu, napata maumivu sana.
1. Usiku wakati wa kutaka kulala nyonga yangu huniuma sana mpaka nitulie kwa kulala chali.
2. Asubuhi nikitaka kuamuka napata maumivu...
Mke wangu tumezaa mtoto mmoja miaka 3 na nusu sasa imepita hajashika mimba.
Hospital amepima ana chronic PID.
Ni wapi atapata msaada zaidi maana madawa ya hospital kama hayatoi majibu hivi...
Kweli wanawake wengi wanadhani kuwa hawawezi kupata ujauzito kipindi wananyonyesha hasa kutokana na kutopata hedhi au kupata hedhi kidogo katika miezi ya awali tangu wajifungue.
Kitabibu ni...
Kujifungua kwa njia ya kawaida kuna tofauti na kujifungua kwa upasuaji. Pamoja na furaha yote, lakini kumbuka kwamba kujifungua kunakuja na mzigo mwingine hasa wa mabadiliko ya mwili wako.
Shepu...
Staili ya kufanya mapenzi huchangia sana urahisi au ugumu wa kupata mimba kwa mwanamke.
Pamoja na hayo; KIFO CHA MENDE ndiyo inayotajwa kuongoza kuwa ni staili pekee yenye uhakika wa kutungisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.