Habari jf doctors
Nina mtoto wangu ana mwaka na miezi 10.
Kinywa chake kinatoa harufu mbaya,najitahidi mno kumfanyia usafi wa kinywa lakini tatizo linakuwa. Bado lipo.
Najisikia vibaya pale...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
SALAM,
Hivi, nini chanzo cha kutapika safarini kwa watoto na watu wazima? Jee kuna kinga ama kinga yoyote?
Msaada tafadhali.
---
Wakuu...
Nikianza na Taarifa zangu za awali.
Age: 24
Jinsia: mwanaume
Kuoa: Sijaoa
Urefu: 5.9ft
Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg
Ulemavu: Sina ulemavu
Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia...
Habari zenu wote wanajanvi katika jukwaa letu pendwa, naamini kabisa hapa ndio mahari ambapo tunapata suruhisho na mwongozo ufaao tunaouhitaji.
Moja Kwa moja kwenye maada , nina mwanangu wa...
Kuna jamaa yangu ameugua ugonjwa wa tete kuwanga.Na yeye ni zaidi Ya miaka 14 sasa naona ameshamuambukiza kaka yake mwenye umri wa zaidi ya miaka 24. Nimepata wasiwasi huenda anayefuatia kuugua ni...
Habari wana JF, mimi ni kijana umri miaka 30. nina familia mtoto mmoja na nimeajiriwa kazi nzuri tu. Kwa haraka haraka naweza kusema maisha yangu ni mazuri kwa hilo nashukuru Mungu. Kilichonifanya...
JF Doctors,
Greetings.
Kuna wakati flani 2011 nilifanyiwa Orthopaedic Surgery, to be precise ORIF(Open Reduction Internal Fixation)- yaani niliwekewa vyuma (metallic plates) katika mkono wangu...
Habari wanajanvi,
Samahani kama uzi upo sahihi ama la mnivumilie kwa uandishi naweza kukokesea kutokana na hali niliyonayo kwa sasa sipo sawa.
Nina watoto mapacha wawili wakiume na kike wote...
Habari wakuu natumaini ni wazima
Niende moja kwa moja kwenye mada nina tatizo langu ni maumivu kwenye mbavu pale ambapo ni kiinama upande wa kushoto nasikia maumivu
Ila tofauti na hapo hamna...
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nimeenda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano 7 za ceftriaxone na pamoja na co-amoxiclav tables ya siku saba...
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nilienda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano saba za ceftriaxone pamoja na co-amoxiclav tables nazo za siku...
Habari naombeni ushauri. Mimi Ni baba wa watoto watatu. Wa Kwanza miaka nane wa pili miaka mi nne huyu watatu ndio anaenda miezi miwili. Changamoto niliyo nayo huyu wa tatu amegoma kuengeza kilo...
Eti mimba inaanza kuonekana muda gani baada ya kuingia? yaani kama ikiingia leo, baada ya muda gani ndiyo itaonyesha kuwa ni positive?
MASWALI YA WADAU WENGINE KUHUSU DALILI ZA MIMBA
Helow,
Ni...
Habari, nawasalimu,
Barua yangu ni fupi tu kwenu,
Nimekua rafiki yenu hapa kwa Muda sasa, na nimeandika hapa mara kadhaa kwa mambo mbali mbali, hata hivyo tatizo hili sijawahi kulisema kwa aibu...
Naomba msaada matibabu,,, baada ya tendo,, siku tatu au nne natokwa na vipele pembezon mwa uume ambavyo huwasha sana na ukivikuna vinabaki vidonda,, nilichoma sindano ya ppf lakin tatizo lipo pale...
Habari ndugu zangu
Kiukweli natesekaa sana, mimi siyo mchafu ila kinywa kimekuwa changamoto nimetumia dawa nyingi za meno mpaka sasa mouthwash ila hakuna matokeo nanukaa sana mdomo
Hivyo naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.