Tunaambiwa kuwa kuishi vizuri ni pamoja na kula chakula bora na sahihi. Pia, mtu anayeishi vizuri ni yule ambaye hasumbuliwi na maradhi hatari na njia pekee ya kuulinda mwili dhidi ya maradhi...
Habari zenu waungwana, nimekuwa na tatizo kwa muda mrefu sasa, nimekuwa natokewa na vipele ambavyo baadae hubadilika na kuwa kama ni mtu aliyeungua moto.
Huwa natumia Acyclovir vinakauka na...
Kuna wakati mtu unajiona wazi kuwa uzito wako upo chini na pengine ungehitaji ungeongezeka kidogo uzito na unene wako kwa ujumla.
Tuachane na wale wanaotaka kuongeza sehemu za kukalia na mapaja...
Habari zenu, poleni na mihangaiko ya siku.
Naumwa tokea jana. Shida ilianza asubuhi nikawa nahisi tumbo kuuma baadae nilipoenda kujisaidia ile haja ilikuwa nyeusi kama oil chafu, shida nini...
Niende moja kwa moja kwenye maada. Kuna dada mmoja alipatwa na bawasiri ila ile bawasiri ilipona kwa dawa pasipo kufanyiwa operation's. Kilichojitokeza sasa ni jipu pembeni ya tundu la haja kubwa...
Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!
Ndiyo maana...
Habari zenu wapendwa,
Jamani wapendwa naombeni ushauri nimefanya mapenzi kwenye siku ya hatari lakini jamaa alimwagia nje, sasa tarehe ya siku zangu (bleed) imefika na sijaona siku (bleed)...
Mkuu shida mkojo nikikojoa hauishi moja kwa moja kuna matone yatakuja baada ya kukunguta yanachafua nguo pia nikiingia bafu naweza kujoa nifikap hila baadae kidogo nikusukuma tena unatoka kama...
MARADHI YOTE YA MOYO [emoji117]Jiusi ya limau kikombe 1
[emoji117]tangawizi Juisi kiKombe 1
[emoji117]vitunguu Saumu Juice ki Kombe 1
[emoji117]Siki ya Apple (tufaha) ki Kombe 1
Changanya yote...
Wakuu pole na shughuli,
Nasumbuliwa sana na nta kwenye sikio, nta ujirundika ndani na sikio huanza kuniuma.
Nilikuwa naenda Kairuki hospital nasafishwa nakuwa vizuri tu.
Sasa hivi nipo Arusha...
-Nimeota vipele vidogo ( kama vya baridi kifuani mabegani na usoni
Ni mwaka Sasa sijatumia dawa yoyote ( haviwashi)
- Usiku napata mafua na kikohozi
Mchana nakua vizuri tu
- Napata maumivu ya...
Mimi ninafanya kazi kama freelance, ninalipwa kutokana na shift ninazofanya. Tarehe 5 usiku niliamua kufanya night shift amabayo hunilipa malipo zaidi kuliko day shift. Kwakuwa Nina mambo...
Habari zenu wana jamvi nimekuwa ni mtumiaji wa miwa kwa muda mrefu sasa naomba kufahamishwa faida na hasara za miwa. Nawasilisha karibuni kwa maoni na ushauri.
==========================
Michango...
Habari wakuu,
Nilitoka matembezini kidogo na wife ambae ni kijacho sasa kutokana na hizi mvua tukapanda bajaji ambapo barabara ni mbovu kweli kweli na makorongo ya kutosha, japo tulienda salama...
Wakuu na wataalamu,
Naomba kujua kama kutakuwa na madhara kiafya kwa mtu aliyemeza mbegu ya ubuyu kwa bahati mbaya.
Je hii mbegu itatoka kwa njia ya choo au itabakia tumboni tu?
Ahsante
Salamu waheshimiwa.
Nilipata chanjo ya homa ya ini (hepatitis B) dozi ya kwanza tarehe 26/3/2021, nikaambiwa nirudi kupata dozi ya pili baada mwezi mmoja yaani dozi ya pili natakiwa nipewe tarehe...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungani Wa Tanzania, naomba wataalam wanisaidie kwa hili ili nipate ufumbuzi.Nimepatwa ugonjwa wa kuharisha na imeanza jana kwa siku kama ×3 na usiku hivyo...
Wanajamvi mimi naomba ushauri kupitia ukurasa huu wa doctor, usiku nikianza kusinzia au nikikaanga kitunguu, yaani koo linawasha natamani kujikuna na kidole ila siwezi.
Naomba ushauri na tiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.