Wanasaikolojia nisaidieni ati Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, kupendelea sana kuangalia picha za uchi...
Habari za leo wakuu, naomba nikimbilie topic kaka yangu alianza kujisaidia kinyesi kilichochanganyika na damu ila baada ya mda ameanza kujisaidia kinyesi na dam fresh yaani namaanisha akijisadia...
Kuna ndugu yangu aliwahi kuugua kifua kikuu (TB) akapona imepita miezi 2 toka apone, sasa majuzi aliniambia ameanza kujisikia kama kikohozi kinamuanza hivi wakati wa usiku na hali fulani ya koo...
Dr. Vineett bhatera of the United States has found new cancer in human beings, caused by Silver Nitro Oxide. Whenever you buy recharge cards, dont scratch withyour nails, as it contains Silver...
Virutubisho vilivyomo kwenye maiani ya Mchaichai.
iron
calcium
enzymes
magnesium
phytonutrients
17 amino acids
vitamins A, C, E, K,
B complex
chlorophyll
proteins
Inaondoa sumu mwilini.
- kwa...
Nimesoma katika health journal moja linasema mihogo na kisamvu ni vyakula hatari kuhifadhiwa ndani ya nyumba hasa jikoni. Vyakula hivi vina sumu aina ya cyanide ambayo humuua binadamu haraka...
Nikitoka kufanya mapenzi na manzi yangu kichwa cha uume wangu kinakuwa chekundu sana saa zingine nikienda tu haja ndogo.
Nilienda hosptal wakasema nina UTI sugu maana muda uliopita nilikwenda...
Kuna kitu nimependa kupata uzoefu na nyie maana kuna mashostee zangu huwa nawasikia kua kuna kipindi ukipa mpenzi akakupa kitu roho inataka cream unatoka mahipsy na makalio pia yanakua si ya...
Wataalam wa afya, habari za muda huu na poleni na majukumu. Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Eti wataalamu... Mtoto kukohoa mfululizo, kutapika hadi wakati mwengine kuharisha, ni nini...
Baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19 Jana mida ya saa5 asubuhi, ilipofika mida ya saa12 jioni nikaanza kujisikia vibaya yaani homa ilinivamia ghafla usiku mzima nilikuwa najisikia kichwa hakipo...
Wataalam nina tatizo la kutoa shahawa zenye mchanganyiko na damu. Tatizo hili limenianza siku ya pili na ni mara ya kwanza.
Kabla sikuwahi kupata tatizo hili hata nipige goli tatu.
Nini tatizo...
“You can be wrong if you’re dealing with information that is evolving.” The data about covid-19 and the vaccines seems to change nearly every day; for those of us with potentially confounding...
Habari zenu wakuu,
Changamoto za maisha zipo kwa kila mmoja, kila mtu anapitia ya kwake tofauti ni uzito.
Kwa upande wangu, tangu 2018 naweza sema nimekuwa nikipitia kipindi kigumu sana...
Naomba tu kuelimishwa maana halisi ya " booster vaccine" kwa wale waliochanjwa Astra zeneca
Ahsante kwa ushirikiano utakaoutoa.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mdogo wangu yuko katika kilele cha balehe, sasa hakwenda shule, jana niliambiwa anaumwa, leo najuzwa kua ni ashki zimemshika sana kiasi cha kuona kuumwa. Kwakua ni mambo ya kike, na siwezi ongea...
wasalaam,
Naombeni ufumbuzi wa tatizo la mtoto kutoa mate kila mara...Hapo awali niliambiwa kuwa akikua yatakata ila mpaka sasa nina wasi wasi maana mda unaenda sioni mabadiliko.
NB: Mtoto ana...
Habari Wana Jamvi Nna Kijana Wangu ana Miaka 3 ameanza tatizo la kila akilala na Akiamka anakuwa anatokwa na mate Yenye Mapovu Na Anahema Kwa Shida.
Tumeenda Hospitali Kadhaa Akipewa Dawa...
Wanawake kuota ndevu inasababishwa na nini au ni vitu gani upelekea Mwanamke kuota ndevu?
Siku hizi asilimia kubwa ya wanawake wanaota ndevu sana hii inachangiwa na nini aswaa?
Je kuna njia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.