Habari wadau.. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu.. Nina kama mwezi sasa nasumbuliwa na kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa.. Nimeshameza dawa za minyoo lakini tatizo bado lipo.. Kwahyo...
Tafiti zimeonyesha kuwa,mdomo wa binadamu ki bacteriologia (bacteriologically) ni mchafu maradufu kuliko sehemu ya uke(vagina).
Ni vema kufahamu kuwa,katika hali ya afya,binadamu wote tunaishi...
Imeandikwa Na Smartdunia.
Utasikia "biashara ya dawa inalipa kwasababu magonjwa yapo kila siku".
Mara utasikia,"ukijisikia vibaya nenda haraka kamuone daktari usije ukachelewa".
Tena...
Mke wangu alikuwa anasumbuliwa na U.T.I na Typhoid. Akiwa kwenye matibabu pressure imepanda na kupoteza uoni kabisa.
Nini nifanye kumrudisha katika hali yake ya kawaida?
Habar zenu wapendwa naomben msaada wenu miez michache iliopita nikiwa na mpenz wangu nilijiona nawah kumaliza game sana na siku hiyo nilivokuwa namaliza nikahis na miguu inauma magotin baada ya...
Naanza kwa kuwapa pongezi nyingi sana hawa madokta wa kiume wanaowazalisha wajawazito yaani hawa ni majasiri kupita hata wanajeshi, tena ujasiri uliotukuka angalia anakabidhiwa mjamzito amzalishe...
Habari wanaJf.
"Thinking is good but overthinking can end things before they get chance to develop, it is the biggest cause of unhappness" alisikika mwalimu wangu akijaribu kunishauri.
Kufikiria...
Nimeoa mwaka wa tatu huu naenda lakin sijabahatika mtoto mimi na mke wangu.
Mwanzo mkewangu alikua na shida ya uvimbe tukafanya oparataion amekaa sawa kwamjibu wa madaktari sasa tumekua tukilima...
Wataalam wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) wanasema ushindi dhidi ya saratani ya mapafu, ini na koloni uko karibu sana.
Wataalam wanaamini kuwa ushindi juu ya saratani ya mapafu uko karibu...
Habarini za leo wana JF
Naombeni mnisaidie kunifahamisha, mtu akijifungua kwa operation ni baaada ya muda gani anaruhusiwa kufanya mapenzi?
Mimi nilijifungua kwa operation mwezi uliopita sasa...
Leo nimemsikia Dr akifafanua juu ya mathara yanayotokana na wapenzi kufanya oral sex,Dr alikuwa anahojiwa na kituo cha redio Clouds fm, Doctor alieleza ongezeko la saratani za midomo na koo hasa...
Ni mwaka wa 22 ninasumbuliwa na tumbo.
Mwanzoni ilikuwa ni mara Amiba, minyoo na kichocho cha tumbo! Kila nikitumia dawa napata nafuu kwa wiki moja au mbili kisha gwaride linaanza upya.
Mei...
Habari wana Jf.
Mimi n Mwanaume mwenye miaka 30, Nipo kwenye ndoa takriban 4yrs. Ndan ya hyo miaka sijabahitika kupata mtoto, nikahamasika kwenda hospital kupata vipimo na mke wngu ndipo ika...
Naomba kupewa ufahamu kuhusu kinyama kinachokwepo kwa nyuma kama mkia fulani hivi yaani kwenye njia ya kuelekea mkunduni (puru)
Kuna baadhi ya watu husema ukiwa ni mzazi (mwenye mtoto mchanga)...
habarin wana jf !
juzi juzi hapa jicho langu la kushoto lilikuwa likitoa matongo tongo sana wakat wa mchana kama siku mbili hivi baada ya hapo likaacha likaamia la kulia hii siku ya nne sasa kila...
Wataalamu wa #Afya wameifananisha Chanjo dhidi ya Magonjwa mbalimbali ni kama #Helmet anayovaa Dereva na Abiria wa Pikipiki.
Ufafanisho huo umemaanisha chanjo kama ya #COVID19 umetokana na ukweli...
Msaada jamani😒
Nina mtoto wa miezi 9 na week 3 sasa hawezi kaa kwa kujitegemea kwa muda mrefu akikaa kidogo anaanguka ijapokuwa yupo active kuanzia mikono kushika shika vtu na miguu kuitupa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.