Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Jamani msaada wapi ntapata huduma ya operation ya kidole tumbo?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, nimefanyiwa Tohara wiki na nusu sasa lkn doctor aliniambia nyuzi zitatoka zenyewe na uume utajirudi vizuri lkn hadi sasa nyuzi hazijatoka, Je nyuzi hutoka baada ya mda gani na hutoka...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna hili tatizo lakutoa harufu puani, Nina rafiki yangu nashindwa kumueleza kutokana na ukaribu nilionao nayeye hakika ukiakaa karibu nae anatoa harufu mbaya puani nashidwa kulewa tatizo nn...
3 Reactions
32 Replies
18K Views
Niliingia period trh29 mwezi wa 6 uwa Nina tatizo la kutokomaa kwa mayai hvo unaipelekea kuchelewa kupata hedhi, siku ya 5 ambayo ilikuwa trh 3 nilitumia dawa ya kupevusha mayai iitwayo Over mit...
1 Reactions
53 Replies
15K Views
Habari za humu ndani ndugu wataalam, Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, nina mtoto wa mwaka na nusu, kuna kitu nimekinotisi kwenye mkojo wake. huwa mkojo wake unakuwa na harufu kali sana kuliko...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari zenu wapendwa? Naombeni ushauri wenu tar 11/7 ni tarehe yangu ya kuingia period na huwa naumwa sana tumbo siwezi kufanya chochote, tatizo linakuja hiyo tarehe 11 ndo siku ambayo tumepanga...
2 Reactions
14 Replies
7K Views
Magufuli alipokuwa rais walikuwa wanazaliwa watoto wenye vipaji. Kwa mfano yule mmoja aliyekuwa wapi sinui,hodari wa hesabu ambaye hata Waziri Ndalichako alikwenda kumuona. Mwingine tena mtoto wa...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Hello wakuu, hasa madaktari, msaada wenu wa ushauri. My friend amenionesha huu ugonjwa wa ngozi kwa picha akauliza kwa nini imetokea hivyo nikashindwa kujua shida ni nini na afanye nini ili hali...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
HAPANA shaka kuwa wanawake ni moja ya makundi muhimu katika jamii yetu. Mwanamke ni mama, na ndiye kiumbe pekee ambaye hufanya kazi ya kuleta uhai duniani. Lakini mwanamke huyu hivi sasa yu...
0 Reactions
132 Replies
88K Views
Mke wangu ni mjamzito na yupo hatua za mwisho Nurse alimwambia atajifungua tareh 10 hadi leo tareh 12 kitu ni bila bila sasa leo ananiambia kuna viuchafu kidogo huwa vinamtoka tena anadai tokea...
0 Reactions
3 Replies
909 Views
UPUNGUFU WA DAMU KIPINDI CHA UJAUZITO (ANAEMIA IN PREGNACY) Upungufu wa damu (anaemia) hutafsiriwa kama kupungua kwa kiwango cha hemoglobin katika damu damu chini ya kiwango kinachokubalika...
3 Reactions
4 Replies
14K Views
Habari mkuu, Nimebahatika kupata mtoto wa kike mrembo kweli kweli, lakini mpaka Sasa ana miezi 10 lkn ukimwangalia ni kama anamiezi 5. Bado hajakaza kukaa vizuri, akikaa kwa muda anaanguka...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
  • Closed
Kulegea kwa misuli ya kibofu na kusababisha kushindwa kuzuia mkojo Hupelekea kushindwa kutoa mkojo wote Husababisha UTI, kutokana na bakteria wanaojitengeneza kwenye mkojo Husababisha maumivu...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wana jf, Naomba msaada wa dawa ya kutibu vidonda vimejitokeza kwenye ulimi kwa sasa vina wiki 3 nimetumia dawa ya amplicox nikapata nafuu ila vikarudi tena, vinauma sana ukinywa chai au...
2 Reactions
52 Replies
9K Views
Mwanamke wa Afrika Kusini , Gosiame Thamara Sithole amejifungua watoto 10 na kuvunja rekodi ya kuzaa watoto wengi. Mara nyingi huwa ni matokeo ya kufanya tiba ya uzazi - lakini wapenzi hawa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu zangu nawasalimu nyote. Wiki mbili zilizopita nilikutana na mke wangu kwa tendo la ndoa na tukatumia kondomu kama kinga kuzuia ujauzito. Toka tulipotumia Kondomu mke wangu anatokwa na...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari za usiku wapendwa Wana jf, Jaman nasumbuliwa na allergy isiyoisha nimetokwa na vipele baadhi ya sehemu za mwili na vinawasha sana. Nimeenda hosp nikapimwa kweli nikakutwa na allergy ya...
0 Reactions
44 Replies
41K Views
Habari za leo wanajukwaa. Poleni sana na majukumu. Naomba mwenye kumfahamu Daktari mzuri wa mifupa. Naomba atanipm. Shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hapa, ninajisikia kama kufa kabisa, ijumaa nilienda kuweka kambi kwenye pori moja kwa muda wa siku 2, kulikuwepo na mbu sijapata ona, niling'atwa si kawaida kusema kweli haraka...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom