Wapendwa msaada wa dawa nzuri na ya uhakika ya mafua.
Nimejaribu coldrill hayaponi.
Nimechemsha tangawizi,vitunguu saumu na limao lakini bado.
Uuuwiii nafwaa msaada plz.
This is an eye-opener for the Thomases questioning the efficacy of the vaccine by:
Dr DP Prakash FRCS
American Eyecare & Lasik Centre
I have been reading about the vaccine [emoji382] in almost...
Hodi hodi huku ndani wakuu,
Nina msaada wa kiafya au wa saikolojia, ila natanaguliza shukrani kwa Muumba maana sio mgonjwa ila pia binadamu bila afyaa njema anakua na wakati mgumu sana...
Habari za muda wandugu na poleni kwa majukumu ya kila siku, nikiwa kama ndugu rafiki au jamaa pengine yaweza kuwa msaada kwa ndugu yangu huyu.
Matatizo ya kutokwa na damu puani hutokea tu punde...
Kuona maluweluwe kisha kupoteza fahamu
Kuanguka na kutupa miguu au mikono
Kukaza mdomo, kujing’ata na kutoa povu
Kutokwa na haja ndogo au kubwa
MUHIMU: Ukiona moja ya dalili hizi nenda haraka...
Kamati ya Bunge masuala ya Afya iliypkaa dodoma hivi karibuni , kupitia mbunge wake , ambaye pia ni daktari, imesema tiba ya nguvu za kiume ni vyakula na si madaewa, alkasusu, wala mengineyp...
Je, unapenda kuishi maisha marefu? Kwa ujumla, hakuna mtu asiyetaka kuishi miaka mingi na kuwa na afya njema. Wanasayansi na wataalamu mbalimbali wamethibitisha kuwa ukizingatia mambo yafuatayo...
Ugonjwa wa figo
Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo.
Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa...
Wadau nina tatizo la kupoteza msisimko ninapovaa mpira kuanzia bao la pili. Bao la kwanza ninaenda bila shida, ila bao la pili na kuendelea nikivaa mpira msisimko huwa unapotea nikizubaa kupachika.
Utafiti umebaini kuwa matumizi ya Paracetamol kwa siku 7 unapunguza uzalishaji wa homoni za kiume na uwezo wa watoto mvulana kuzalisha baadaye.
Wanawake wajawazito wanapaswa kutahadhari zaidi...
Nimeona huu mjadala huko jamuhuri ya Facebook wakibishana juu ya njia asilia kurudisha uke wa mwanamke aliyetoka kujifungua.
Mabishano ni makubwa wengine wakidai aoshe uke na maji baridi kila...
Yaani sijajua kama ni ugonjwa au ni hulka au ni tabia ya mtu lakini kinachonisumbua ni hicho yaani nikipiga mihayo tuu macho yanamwaga machozi hadi natoa kitambaa kabisa nafuta kama nimelia hivi...
Kwikwi hutokana na kushtuka na kusinyaa kwa ghafla kwa misuli mikuu ya upumuaji (diaphragm) ambako hujirudia rudia na kusababisha hewa kuingia kwa kasi kwenye mapafu.
Kwikwi sio ugonjwa; kwikwi...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Wakuu muu hali gani naomba kujua kinachosababisha mkanda wa jeshi na indicator zake pia madhara yake na kami huu ugongwa una tiba...
Habari wana JF,
Recently kumetokea ugonjwa wa ngozi haswa kwa maeneo ya Dar na Moro, ambapo mwili huwasha na kutoa vipelepele ambavyo hutoa kama maji maji hivi na hali hii hutokea kwa wakubw na...
Wakuu habari za jioni?
Mimi ni kijana wa miaka 32 kuna tatizo kwa kweli limekuwa likinikosesha raha sana, nimeona nikilileta hapa jamvini ninaweza kupata suluhisho.
Kama nilivyoainisha hapo juu...
Ninawasalimu katika jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania na kazi iendelee.
Tafadhali ninaomba msaada ninatatizo la kuumwa kichwa sana hasa kuanzia muda wa mchana kichwa kinauma sana hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.