Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Sabuni pia zinasemekana kuwa na kemikali zinazoathiri mbegu za wanaume Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hutumiwa kila siku kama vile dawa ya kusugua meno, sabuni na mafuta...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ninasumbuliwa na macho, ni hospital gani ya private naweza pata daktari mzuri wa macho siku ya leo? Msaada wenu kwa anayefahamu tafadhali.
0 Reactions
61 Replies
22K Views
Salaam JF Doctors Wakuu hapa nilipo sijalala nafikicha tu pua. Nina allergy kali ya baridi, manukato na Vumbi. Kibaya zaidi tatizo limewakumba hadi watoto. Kila wakati ni Chafya na kufikicha tu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawauliza wajuzi watujuze kuhusu huu upepo unaojaa ndani ya uke wakati wa ngono huwa unasababishwa na nini? Nahitaji na suluhu yake maana huwa unaharibu raha yote ya kufanya mapenzi.
2 Reactions
112 Replies
14K Views
Amani iwe nanyi wakuuu. Mimi napenda kujifunza vitu vipya kupitia kwenu wadau.Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu hili ila sijawahi kuuliza. Pindi mtu umezapa dawa ya aina yoyote ile haushauriwi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Iwapo shinikizo la damu liko juu sana(zaidi ya 200/120mm /Hg) Shinikizo la damu la juu sana hata baada ya matibabu kuzingatiwa Kushindwa kuona kwa sababu ya shinikizo la damu Kuwepo kwa protini...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu nataka kujua hivi vidonda vya tumbo vinaweza sababisha presha kuwa juu?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Jaman nipeni ushauri me nasumbuliwa na kichwa huwa kinauma upande mmoja sana na nikipima typhod hamna malaria hamna na hata damu haijazid na huwa situmii kachumbali wa chakula chabarid wala...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau, nina tatizo la tumbo linatoa mngurumo ni kwa muda mrefu sana. Nimekwenda hospital nyingi na kuonana na madaktari wengi pamoja na kutumia madawa mbalimbali lakini sikuweza kupata...
2 Reactions
12 Replies
13K Views
Habari madaktari na wazoefu... Nina mwanangu (mtoto wangu) hapa ambaye mpaka hivi leo naandika ana umri wa miezi mitatu na siku nne Mtoto huyo juzijuzi hapa akawa anaharisha sana na mama yake...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Naombeni msaada: tuna dada yetu anatakiwa kukatwa mguu anaumwa kisukari. Sasa hatuna mtu yeyote tunayemjua Muhimbili, tumepata dokta mmoja kasema laki 4, sjajua kama ni sawa. Kama...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Bado sijapata jibu maana kuna wakati naamua kutolala ili nijue ni muda gani mida ya usiku ndio mdomo unaanza kutoa harufu. Mwenye uzoefu na hili atueleze mdomo unaanza kunuka sangapi usiku.
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau kwa nini ukitumia kondomu, ukipiga bao la kwanza huwa jamaa anakufa tena huenda usipate kabisa hamu ya kurudia tena, nini kinasababisha, najua wahanga tuko wengi.
3 Reactions
65 Replies
8K Views
Chakula tunachukula kina uhusiano mkubwa na hali zetu za kupenda au kutopenda kufanya mapenzi. Kiujumla chakula chenye virutubisho vya kuusaidia moyo na mishipa ya damu kufanya kazi zao vizuri...
5 Reactions
46 Replies
13K Views
Bila shaka wazima wa afya. Kama wiki moja imepita mke wangu amekuwa anaugulia maumivu ya tumbo, Hali hiyo baada ya kuzidi leo tumeenda hospital na baada ya vipimo imeonekana ana Mimba na imetunga...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Hy Doctors..!! natumaini kuwa mko poa kabisa na mnaendelea vizuri kuisongesha hii Swaumu. Bila kupoteza mda All doctors napenda kunielezea mechanism nzima about ejaculation process for men...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
"Nataka kutumia kilainishi wakati wa sex nitakapohitaji kumpa mpenzi wangu mimba, lakini nitumie ipi" Swali kama hili wengi hujiuliza inapofika hatma na wakati wa kutafuta mtoto unapowadia. Na...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Inatokea mara kwa mara, nawasha sehemu yoyote ya mwili (ngozi) nikikuna nahumuka, then after few minutes km 30 na kuendelea panakuwa sawa. Binafsi nimekuwa nikihisi labda ni mzio. Karibu.
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Wasalamu, Mtu anayependa kung'ata kucha na kuzila kuna madhara yeyote kwa huyo mtu. Na je kipi afanye ili aache hiyo tabia.
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Utafiti uliowasilishwa katika kikao cha kisayansi cha Chuo Kikuu cha Cardiology cha Marekani uligundua kuwa watu waliolala masaa 6-7 usiku walikuwa na uwezekano mdogo zaidi wa kupata mshtuko wa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom