Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Jamani nina miezi kaadhaa naangaika na tatizo la kuvimba upande wa jicho la kushoto mpaka mashavuni, nilipomuona daktari awali aliniandikia dawa hizi Celestamine na gluslovin but still tatizo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu.Nina shida ya mafua kwa siku tatu sasa nimejaribu kupiga nyungu ila wapi,Nasikia vitunguu swaumu vinasaidia ila sijui namna ya kuvitumia naomba msaada. Au kama kuna dawa yeyote ya...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Njia tano za asili za kuondokana na miguu kuwaka moto Huu ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi sana na mara nyingi humfamnya mtu mwenye tatizo hilo kushindwa kusinzia japo anahisi kusinzia. Miguu...
6 Reactions
9 Replies
94K Views
Mei 24 kila mwaka, dunia inaadhimisha Siku ya Ugonjwa wa Skizofrenia (World Schizophrenia Day). Huu ni ugonjwa unaoathiri fikra, hisia na kumfanya mtu kushindwa kujitambua vizuri. Hakuna chanzo...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataalam habari za Muda huu? Naomba msaada wa elimu katika hili. Baada ya kuishi na mke wangu kwa muda wa miaka mitatu Sasa bila kupata hata dalili yoyote ya mimba maana hata period yenyewe...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Mimi ni mmoja wa watu wanaoishi kwenye ndoa. Nina jambo ninataka kushirikiana nanyi. Je ni vibaya au ni vizuri kwa mtu kuchukua kufuli/chupi ya mkewe au mke kuchukua ya mumewe na kuinusa kila...
1 Reactions
56 Replies
16K Views
Ningependa kufahamu iwapo mtu akiwa na mazoea ya kumeza makohozi anaweza kupata athari zozote kiafya. Na kama athari zipo ni zipi?
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Habari ndugu wanajukwaa, Nauliza ukiachilia mbali kuvumilia mpaka muda fulani vipoe na usiwashwe au kupaka mchanga majivu na mbinu nyingine za kawaida je, kuna dawa ya vitu vinavyowasha kwa mfano...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari naomba huu uzi tuelimishane kuhuusu ukosefu wa mbegu za kiume na kutosimamisha vizuri, kunaweza leta ukosefu wa kupata mtoto kwa Wanaume. Leo kuna Rafiki yangu kaenda Kwenye herbal Clinic...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Katika mada yetu ya leo tutalijadili tatizo la kukusa hedhi ambalo kitaalamu huitwa amenorrhea. Mwanamke anakuwa na tatizo hilo pale ambapo anakosa hedhi kwa kipindi cha miezi mitatu mfululizo, au...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wakuu na madaktari wa hili jukwaa. Nimepata changamoto ambayo imebidi nije wajuzi mniambie what could be wrong. Few month ago kama miezi miwili hivi nilianza kuwasha juu ya ngozi kifuani...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari, Mimi na mtoto wangu macho yanatuwasha sana hasa kipindi tukitoka kulala. Nlianza mimi baba leo naona binti yng wa 2yrs nae pia. Msaada pls
0 Reactions
2 Replies
761 Views
Habari wapendwa, Ebu nipeni ujasiri jamani! Yaani naogopa vibaya mno kwenda "ANGAZA". Nikiwaza kwenda huko tu tumbo linauma naahirisha siendi tena! Tatizo gani hili nishaurini basi namna ya...
0 Reactions
64 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, Naomba msaada wa kidaktari, mimi mwana Jf mwenzenu ninatatizo la kiafya linalonipelekea kuhisi kwamba mwili wangu hauko timilifu kiutendaji, yaani mfumo wa fahamu unafanyakazi...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari, nina shida ya mawe kwenye Nyongo. Nimejaribu kumuona Daktari anashauri nifanyiwe operation ya kutolewa nyongo yote. So naombeni ushauri waliowahi kupitia hayo mambo huwa wanaishi kwa muda...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Mke wangu siku za karibuni ana uchafu mweupe mwingi tofauti na zamani, Kila nikimaliza tendo nikitoa dushelele linazungukwa na uchafu mweupe mwingi. Hakua hivyo zamani ,upendo unazidi kupungua...
0 Reactions
170 Replies
67K Views
Habari, mara kadhaa unaweza kumuona tabibu akimchoma sindano mgonjwa kalioni, Mara nyingine Humchoma Mkononi, Kuna tofauti gani ya sindano hizo
4 Reactions
24 Replies
6K Views
Ukiacha mifupa,mishipa na nyama,mwili wa binadamu una asilimia 75 ya Maji na 25 ni damu. Kwa wale wanaotumia kilevi(alcohol),Unadhani Kwa nini hulewa?
0 Reactions
3 Replies
695 Views
Gharama za upimaji wa vinasaba kwa Tanzania ni shilingi laki 1 kwa sampuli ya mtu mmoja. Hii inamaanisha kuwa kwa sampuli za watu 3, yaani baba, mama na mtoto gharama itakuwa jumla ya shilingi...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Tafiti zimebainisha kuwa mtu anashauriwa kutumia maganda ya ndimu kama ambavyo anatumia juisi ya limao kwani maganda hayo yanavirutubisho muhimu sana katika mwili wa binadamu hasa katika kupambana...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom